Wakazi wa Dar na vitongoji vyake, Arusha si mkoani ni Makao Makuu ya EAC

Wakazi wa Dar na vitongoji vyake, Arusha si mkoani ni Makao Makuu ya EAC

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Zimekuwapo tabia mbovu mbovu za wakaazi wa Dar kuwaita wakaazi wa sehemu tofauti na Dar eti wanatoka Mikoani.

Arusha huwezi kuifananisha na Mikoa kama Njombe,Pwani,Mtwara au Songea.

Arusha ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Arusha ni center ya Utalii Tanzania.

Arusha ulikuwa Mji wa Mikutano ya Kimataifa.

Ahsante Makonda kuwafahamisha wana Mzizima, wapunguze kiherehere na kimwehumwehu.
 
Zimekuwapo tabia mbovu mbovu za wakaazi wa Dar kuwaita wakaazi wa sehemu tofauti na Dar eti wanatoka Mikoani.

Arusha huwezi kuifananisha na Mikoa kama Njombe,Pwani,Mtwara au Songea.

Arusha ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Arusha ni center ya Utalii Tanzania.

Arusha ulikuwa Mji wa Mikutano ya Kimataifa.

Ahsante Makonda kuwafahamisha wana Mzizima, wapunguze kiherehere na kimwehumwehu.
Mzee Palangyo hapo arumeru hajambo?
 
Hakuna mkoa wa Songea, kuna mkoa wa Ruvuma.

Mwenuezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Zimekuwapo tabia mbovu mbovu za wakaazi wa Dar kuwaita wakaazi wa sehemu tofauti na Dar eti wanatoka Mikoani.

Arusha huwezi kuifananisha na Mikoa kama Njombe,Pwani,Mtwara au Songea.

Arusha ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Arusha ni center ya Utalii Tanzania.

Arusha ulikuwa Mji wa Mikutano ya Kimataifa.

Ahsante Makonda kuwafahamisha wana Mzizima, wapunguze kiherehere na kimwehumwehu.
Sasa hata Dar ni mkoani sababu siyo makao makuu ya serikali
 
Zimekuwapo tabia mbovu mbovu za wakaazi wa Dar kuwaita wakaazi wa sehemu tofauti na Dar eti wanatoka Mikoani.

Arusha huwezi kuifananisha na Mikoa kama Njombe,Pwani,Mtwara au Songea.

Arusha ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Arusha ni center ya Utalii Tanzania.

Arusha ulikuwa Mji wa Mikutano ya Kimataifa.

Ahsante Makonda kuwafahamisha wana Mzizima, wapunguze kiherehere na kimwehumwehu.
Ukute unakaa Longido wewe
 
Zimekuwapo tabia mbovu mbovu za wakaazi wa Dar kuwaita wakaazi wa sehemu tofauti na Dar eti wanatoka Mikoani.

Arusha huwezi kuifananisha na Mikoa kama Njombe,Pwani,Mtwara au Songea.

Arusha ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Arusha ni center ya Utalii Tanzania.

Arusha ulikuwa Mji wa Mikutano ya Kimataifa.

Ahsante Makonda kuwafahamisha wana Mzizima, wapunguze kiherehere na kimwehumwehu.
Kutoka Geneva of Africa hadi the the home of wadudu
 
Hakuna mkoa wa Songea, kuna mkoa wa Ruvuma.
Wengi wanajua Songea ni Mkoa na Ruvuma ni Wilaya sababu Songea ni MAARUFU zaidi kuliko Ruvuma,

Kumbe masikini ya MUNGU Ruvuma ndio Mkoa wenye Wilaya zake ambazo ni

Wilaya ya Mbinga Mjini‎
Wilaya ya Madaba‎
Wilaya ya Mbinga‎
Wilaya ya Namtumbo‎
Wilaya ya Songea Mjini‎
Wilaya ya Songea Vijijini‎
Wilaya ya Tunduru‎
Wilaya ya Nyasa
 
Dar ikianguka tanzania yote mtakufa na njaa
Kwingine kote ni Mikoani, husikii mtu Arusha anakwambia naenda Mkoani akiwa anakuja Dar lazima anasema naenda Dar Ila mtu akitoka Dar kwenda Arusha/Moshi anasema naenda Mkoa ukimuuliza Mkoa gani ndio anakwambia Arusha/MOSHI
 
Kwingine kote ni Mikoani, husikii mtu Arusha anakwambia naenda Mkoani akiwa anakuja Dar lazima anasema naenda Dar Ila mtu akitoka Dar kwenda Arusha/Moshi anasema naenda Mkoa ukimuuliza Mkoa gani ndio anakwambia Arusha/MOSHI
MKuu dar lazima ipewe heshima yake kwa kuwa viwanda vingi vipo huku,hata harakati za uhuru na kupandisha bendera yetu ilifanyika dar bila kusahau makumbusho ya taifa na hospitali ya taifa(muhimbili) na pia nyerere airport na udsm
 
Back
Top Bottom