Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Hujajibu swali MOSHI ni walaya au Mkoa, kwanini wengi husema naenda MOSHI na SIO naenda Kilimanjaro?Hamna mkoa unaitwa Moshi we nae
Ukija Mt. Kili, unalala Moshi au unajisogeza Arusha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu swali MOSHI ni walaya au Mkoa, kwanini wengi husema naenda MOSHI na SIO naenda Kilimanjaro?Hamna mkoa unaitwa Moshi we nae
Ukija Mt. Kili, unalala Moshi au unajisogeza Arusha?
Tanzania ina watu milioni zaidi ya 60,wako wapi hao wote?Hivi kwann vijana kutoka mikoa mingine huja dar kutafuta ajira
Nijibu swali? Swali gani? Kukusahisha Moshi sio mkoa umenigeuzia swali? Em usinichosheHujajibu swali MOSHI ni walaya au Mkoa, kwanini wengi husema naenda MOSHI na SIO naenda Kilimanjaro?
Sasa mapato ya serikali ndo yanamlisha mtu? Au unajua chakula ni mandazi?Kwanza serikali inapata kipato kikubwa kutoka dar na pili viwanda vya bakhresa vilivyoko huku vikiungua hamtakula maandazi wala chapati
Sina jibu sababu sipo miongoni mwa hao vijana.Hivi kwann vijana kutoka mikoa mingine huja dar kutafuta ajira
Wilaya ni Mbinga tu. Usichanganye mamlakaWengi wanajua Songea ni Mkoa na Ruvuma ni Wilaya sababu Songea ni MAARUFU zaidi kuliko Ruvuma,
Kumbe masikini ya MUNGU Ruvuma ndio Mkoa wenye Wilaya zake ambazo ni
Wilaya ya Mbinga Mjini
Wilaya ya Madaba
Wilaya ya Mbinga
Wilaya ya Namtumbo
Wilaya ya Songea Mjini
Wilaya ya Songea Vijijini
Wilaya ya Tunduru
Wilaya ya Nyasa
😆😆Ruvuma hakuna wilaya inaitwa Songea Vijijini kuna Songea DC. Ilitakiwa uandike hivi Songea MC,Songea DC,Mbinga TC,Mbinga DCWengi wanajua Songea ni Mkoa na Ruvuma ni Wilaya sababu Songea ni MAARUFU zaidi kuliko Ruvuma,
Kumbe masikini ya MUNGU Ruvuma ndio Mkoa wenye Wilaya zake ambazo ni
Wilaya ya Mbinga Mjini
Wilaya ya Madaba
Wilaya ya Mbinga
Wilaya ya Namtumbo
Wilaya ya Songea Mjini
Wilaya ya Songea Vijijini
Wilaya ya Tunduru
Wilaya ya Nyasa
🤣🤣🤣🤣🤣Sina jibu sababu sipo miongoni mwa hao vijana.
Jibu swaliNijibu swali? Swali gani? Kukusahisha Moshi sio mkoa umenigeuzia swali? Em usinichoshe
Mingine mikoa au SIO?Wilaya ni Mbinga tu. Usichanganye mamlaka
Km wewe au SIO?Humu kuna MATIKITI MAJI mengi sana aisee
Sio kweli Dar ni zaidi ya Kibera mji UNANUKA UVUNDODsm ni Dsm tu ina ladha yake, Arusha itabaki mkoani tu.
Tanzania ni Dar es salaam, na huwezi kuwa mjanja Tanzania kama hukai/haujawahi kuwa na makazi Dar es salaam.
Ndio maana wamikoani wakipata hela lazima waje Dar kuchukua maarifa na maujanja.
Hakuna wilaya ya mbinga mjini na mbinga vijijini.Mingine mikoa au SIO?
Hivi mkuu reli ya sgr inaanzia wapi,china plaza ipo wapi na pia wagonjwa kutoka mataifa mengine huja dar(muhimbili) kutibiwa na pia jia ni airport kubwa Afrika mashariki so dar ipewe heshima yakeSio kweli Dar ni zaidi ya Kibera mji UNANUKA UVUNDO
Wilaya ya Mbinga,,,Wengi wanajua Songea ni Mkoa na Ruvuma ni Wilaya sababu Songea ni MAARUFU zaidi kuliko Ruvuma,
Kumbe masikini ya MUNGU Ruvuma ndio Mkoa wenye Wilaya zake ambazo ni
Wilaya ya Mbinga Mjini
Wilaya ya Madaba
Wilaya ya Mbinga
Wilaya ya Namtumbo
Wilaya ya Songea Mjini
Wilaya ya Songea Vijijini
Wilaya ya Tunduru
Wilaya ya Nyasa