greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Duh,,,chuki binafsi zinaweza kukukaba roho.Sio kweli Dar ni zaidi ya Kibera mji UNANUKA UVUNDO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,,,chuki binafsi zinaweza kukukaba roho.Sio kweli Dar ni zaidi ya Kibera mji UNANUKA UVUNDO
We ulivyokuja Dar ulidhulumiwa nini?Sio kweli Dar ni zaidi ya Kibera mji UNANUKA UVUNDO
Dar maeneo masafi yapo na maeneo yaliyopangika yapo pia.Mimi sijaongelea usafi na mpangilio wa mji bali nimezungumzia ladha ya mji na mihangaiko yake yautafutaji hela.
Yaani dsm pahovyo sana yaani unapigwa telo mchana kweupe na akuna mtu anakusaidia.We ulivyokuja Dar ulidhulumiwa nini?
Sasa uchafu wa tandale pekeake ukiukusanya unajaa kijiji chote cha njombe🖕.Dar maeneo masafi yapo na maeneo yaliyopangika yapo pia.
Huwenda jamaa kaishi Tandale na Manzese au Mabibo.
Akakae Kijichi,Kigamboni,Ununio,Mbweni n.k n.k
Ni mji bro.Sasa uchafu wa tandale pekeake ukiukusanya unajaa kijiji chote cha njombe🖕.
Katavi pia kuna mji WA Mpanda sema ni maskini hamna kitu. hoja yangu kwa nini Katavi inahadhi WA mkoa? gharama Katavi kwa nini Arusha walipie?Arusha pia ni mji so sishangai kuingiza pato kubwa kuliko katavi ambao si mji bali ni mkoa tu
ukute jamaa toka asubuhi hajui hata hali ya wazazi wake ila anamwaga baraka kwa raisi asiejali wala kumjua sisimizi huyo chawaRais kafikaje hapa?
Katavi ni mkoa we mr Mr's lakini siyo level za Arusha.Katavi pia kuna mjo WA Mpanda sema ni masking hamna kitua hoja yangu kwa nini Katavi inahadhi WA mkoa? gharama Arusha walkie?
Watu wote wa mikoani including Arusha ndoto zao ni kuja Dar na Pwani.
Nilishawai kuishi himo vijana kuanzia asubuhi mpaka jioni ndoto zao ni kuja Dar.
Unaweza kuta hata muandika uzi yupo Dar manzese anauza mitumba yake safi kabisa.
We ulifuata nini shekilango au ulienda kuuza ndizi?Pale Shekilango karibu na lile soko chafu chafu pana nuka sijui kuna shida gani na usafi watu wa Mkoa wa Dar.
Kwa HIO Madaba IPO au HAIPO?Wilaya zipo tano tu...
Madaba ni mji mdogo....
Ni Isawa unaposkia halmashauri ya Ifakara,,Ifakara siyo Wilaya ila ni mji mdogo...
Hadhi za Halmashauri ni
1.Mji mdogo
2.Wilaya
3.Mji
4.Manispaa
5.Jiji