Wakazi wa Dar na vitongoji vyake, Arusha si mkoani ni Makao Makuu ya EAC

Wakazi wa Dar na vitongoji vyake, Arusha si mkoani ni Makao Makuu ya EAC

Mkoa WA katavi mwaka uliopita TRA walikusanya bilioni 14 wakati Arusha walikusanya 540! hii mikoa sio Sawa mikoa zingine ni masking Tu hawachangii pato la taifa! Sidhani kama Lindi na Katavi inahadhi kuwa mikoa nakuwa na wakuu wamikoa
 
Pwani na Dar sio mikoani.

Ni Pwani na Dar tu kama zilivyo.

Halafu kwanini watu wengi wa mikoani (Arusha,Mbeya,Kilimanjaro...)wakija pwani Bagamoyo au Kibaha wanapenda kusema tupo Dar?
😅😅😅😅😅
 
Mkoa WA katavi mwaka uliopita TRA walikusanya bilioni 14 wakati Arusha walikusanya 540! hii mikoa sio Sawa mikoa zingine ni masking Tu hawachangii pato la taifa! Sidhani kama Lindi na Katavi inahadhi kuwa mikoa nakuwa na wakuu wamikoa
Arusha pia ni mji so sishangai kuingiza pato kubwa kuliko katavi ambao si mji bali ni mkoa tu
 
Nipo arusha kwa kweli haya matope kimvua kikipitia ni shidàa
Mji mdogo sanaa.
Arusha hata na Dodoma mbali sanaa huku sirudi tena.
Baridi yote shida ya nini.
Idadi ya watu ndogo mpaka najiuliza wafanyabiashara wanapataje mizunguko ya bidhaa zao!
 
Kwa kipi haswa? Hizo dagaa mchele au?
Mnajua kulima nyie mazao ya chakula na biashara?
Kama unajua maana ya uchumi na maana ya mapato basi DAR ES SALAAM ndio inaendesha hii nchi.
Mkilima hizo ndizi zenu soko kuu lipo wapi kama sio Dar es salaam!?
Biashara kuu na kubwa zipo wapi kama sio Dar es salaam?
Ni lipi jiji la kibiashara Tanzania kama sio Dar es salaam?
Mkiagiza mizigo kwa meli magari na vinginevyo hupitia wapi kama sio bandari kuu ya Dar es salaam?
Takriban 55+% ya ANNUAL GDP inazalishwa Dar es salaam.
Sasa limeni halafu bakini na mazao yenu muone soko kuu liko wapi.
Kajiulize kwanini New York city ni mji muhimu USA.
Au kwanini Shanghai ni mji muhimu China.
Au kajifunze maana ya financial hub.
 
Kama unajua maana ya uchumi na maana ya mapato basi DAR ES SALAAM ndio inaendesha hii nchi.
Mkilima hizo ndizi zenu soko kuu lipo wapi kama sio Dar es salaam!?
Biashara kuu na kubwa zipo wapi kama sio Dar es salaam?
Ni lipi jiji la kibiashara Tanzania kama sio Dar es salaam?
Mkiagiza mizigo kwa meli magari na vinginevyo hupitia wapi kama sio bandari kuu ya Dar es salaam?
Takriban 55+% ya ANNUAL GDP inazalishwa Dar es salaam.
Sasa limeni halafu bakini na mazao yenu muone soko kuu liko wapi.
Kajiulize kwanini New York city ni mji muhimu USA.
Au kwanini Shanghai ni mji muhimu China.
Au kajifunze maana ya financial hub.
We usitutishe wengine tunategemea miji kama lusaka(zambia) Kinshasa's,lubumbashi kwaajili ya masoko dsm pananuka magurio ya k'koo.🐸👈.
 
We usitutishe wengine tunategemea miji kama lusaka(zambia) Kinshasa's,lubumbashi kwaajili ya masoko dsm pananuka magurio ya k'koo.🐸👈.
Yategemea biashara ufanyayo.
Soko lina uwanda mpana,litafakari tena neno soko.
Ila ukitaka biashara yako inawiri tafuta soko Dar japo nalo la ushindani.
 
Yategemea biashara ufanyayo.
Soko lina uwanda mpana,litafakari tena neno soko.
Ila ukitaka biashara yako inawiri tafuta soko Dar japo nalo la ushindani.
🐸👈 we chura, siwezi fanya biashara kwenye maguruo ya 'K' nikachaa kufanya lubumbashi ambako ni kalibu kuliko ata uko kwenye magurio ya "K'koo.
 
🐸👈 we chura, siwezi fanya biashara kwenye maguruo ya 'K' nikachaa kufanya lubumbashi ambako ni kalibu kuliko ata uko kwenye magurio ya "K'koo.
Sawa bro labda kama interests zako zipo huko.
Ila umeshikilia magurio ya k/koo mzee doh!
Mbona sie masoko yetu pembezoni mwa mji!?
Tegeta huko na pahala pengine.
 
Sawa bro labda kama interests zako zipo huko.
Ila umeshikilia magurio ya k/koo mzee doh!
Mbona sie masoko yetu pembezoni mwa mji!?
Tegeta huko na pahala pengine.
Gharama za bidhaa lubumbashi sometimes zinakua x2 ya dsm,
Ndo kitukinaipa market ya drc kua nzuri.
 
Nakupinga.
Dec nilienda Dar
Mtu wa Arusha ananiuliza upo wapi, nikamwambia nipo mkoani one time. Means sipo Arusha
Ulimwambia hivyo ili asikuagize vitu, unajua fika ungemwambia uko Dar angeleta mambo mengi.
Uliposema mkoani akajua uko Mwanza au Tanga, akakupotezea.
 
Nipo arusha kwa kweli haya matope kimvua kikipitia ni shidàa
Mji mdogo sanaa.
Arusha hata na Dodoma mbali sanaa huku sirudi tena.
Baridi yote shida ya nini.
Idadi ya watu ndogo mpaka najiuliza wafanyabiashara wanapataje mizunguko ya bidhaa zao!
Watu wote wa mikoani including Arusha ndoto zao ni kuja Dar na Pwani.

Nilishawai kuishi himo vijana kuanzia asubuhi mpaka jioni ndoto zao ni kuja Dar.

Unaweza kuta hata muandika uzi yupo Dar manzese anauza mitumba yake safi kabisa.
 
Nakupinga.
Dec nilienda Dar
Mtu wa Arusha ananiuliza upo wapi, nikamwambia nipo mkoani one time. Means sipo Arusha
Ulim mislead mwenzako.

Mwenzio ulivyomwambia upo mkoani akajua upo Mbeya au Iringa.
 
Back
Top Bottom