Ukienda tena mwambie aje nimpe ndoo safiView attachment 3063170
unatembea zako ghafla unaitwa,
zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu
mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.
mwisho wa siku anakwambia "ahsante Kwa kunichangia, hiyo buku tu"
Sawa mkuu ..Akikujib nitag bas
Hapo mwnye matatizo wewe. Yaani unapewa juice tena na mwanaume mwenzako unadhani ni ukarimu?View attachment 3063170
unatembea zako ghafla unaitwa,
zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu
mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.
mwisho wa siku anakwambia "ahsante Kwa kunichangia, hiyo buku tu"
Pia Soma - Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?
Yupo mwisho wa fensi ya kiwanda chaTBLMi sijawahi kutana hizo ishu kila siku napita hapo....
Si hao wala boda boda
Kwa nyuma huku unakuta kuna jamaa wameweka kacha chiniYupo na
Yupo mwisho wa fensi ya kiwanda chaTBL
Ndio namfahamu juice sikuimalizaKwa nyuma huku unakuta kuna jamaa wameweka kacha chini
Yaaah mda mwingine watu wanashangaa mno...Wakikuona umekaa kijanja wanakuwa waoga kukuletea shobo
Aahahaha sawa sawa...Ndio namfahamu juice sikuimaliza
Ahahahah watakurogaNiliwahi mfurushaa na hakuaminiii yeye mwenyewee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nimecheka hiii π π π πAkikuona umekaa kishamba shamba ndio anakushobokea.
Ndio ukweli huo mkuu, ingawa mchunguIla nimecheka hiii π π π π
Daslam wa Kuja wengi na ndio anaowapiga yani mm nikiwa Town ninavokuwa busy na mishe zangu ataanzia wapi kuniita...Na hata akiniita naanzaje kumsikiliza hadi kusimama na kuanza kunywa juiceView attachment 3063170
unatembea zako ghafla unaitwa,
zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu
mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.
mwisho wa siku anakwambia "ahsante Kwa kunichangia, hiyo buku tu"
Pia Soma - Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?
Si unajua tena mibongo kwa kupenda kula kula tu hovyohovyoMtakuja kulishwa sumu..yaani unaanzaje kunywa/kula kwa stranger?
Kumbe jf kuna wanywa juice za mitaani za maji ambayo hayajachemshwa?π€π€π€! Mimi nilidhani humu wote matajiriDah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
Atakudhibiti,maana unakua unafanya jaribio la wizi,hivi inakuaje unywe juisi bure,yaani mtu asukume jaba zima la juisi kugawa watu?Huo ni utapeli,usipomlipa napo aanze kulalamika