Wakazi wa Dar, ulishawahi kuitwa na kuingia kwenye mfumo wa huyu muuza juice pale Karume?

Wakazi wa Dar, ulishawahi kuitwa na kuingia kwenye mfumo wa huyu muuza juice pale Karume?

View attachment 3063170

unatembea zako ghafla unaitwa,

zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu

mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.

mwisho wa siku anakwambia "ahsante Kwa kunichangia, hiyo buku tu"
Ukienda tena mwambie aje nimpe ndoo safi
 
View attachment 3063170

unatembea zako ghafla unaitwa,

zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu

mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.

mwisho wa siku anakwambia "ahsante Kwa kunichangia, hiyo buku tu"

Pia Soma - Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?
Hapo mwnye matatizo wewe. Yaani unapewa juice tena na mwanaume mwenzako unadhani ni ukarimu?
 
View attachment 3063170

unatembea zako ghafla unaitwa,

zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu

mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.

mwisho wa siku anakwambia "ahsante Kwa kunichangia, hiyo buku tu"

Pia Soma - Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?
Daslam wa Kuja wengi na ndio anaowapiga yani mm nikiwa Town ninavokuwa busy na mishe zangu ataanzia wapi kuniita...Na hata akiniita naanzaje kumsikiliza hadi kusimama na kuanza kunywa juice
 
Dah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
Kumbe jf kuna wanywa juice za mitaani za maji ambayo hayajachemshwa?🤭🤭🤭! Mimi nilidhani humu wote matajiri
 
Back
Top Bottom