Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 386
- 680
Kumbe jf kuna wanywa juice za mitaani za maji ambayo hayajachemshwa?🤭🤭🤭! Mimi nilidhani humu wote matajiriDah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
OkeiiiSawa mkuu ..
Maaana naona kuna mda huwa anapenda kuizungumzia sana
Amekufanyia???Dah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
Ubunifu mzuriDah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
Dah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
Kwa anaye stahili kupewa juice ya bure ni mwanamke?Hapo mwnye matatizo wewe. Yaani unapewa juice tena na mwanaume mwenzako unadhani ni ukarimu?
Kabla sijarogwa mie, watarogwa wao kwanii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahahahah watakuroga
HUNA AKILI NA UNAWEZA KUOLEWA KIRAHISI SANA. HUWEZI KUWA NA AKILI TIMAMU UNAPEWA TU JUICE UNAKUNYWAView attachment 3063170
unatembea zako ghafla unaitwa,
zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu
mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.
mwisho wa siku anakwambia "ahsante Kwa kunichangia, hiyo buku tu"
Pia Soma - Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?
Kwa nini mnywe matakataka ya barabarani, hamuogopi kipindipindu ?View attachment 3063170
unatembea zako ghafla unaitwa,
zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarim...
Hapa nakataaa, huyu baba kazi yake kuvamia mtu na kujifanya anakujua huku ana kukarimu ukijaa bas kinakulambaa.Jitahidini muwe mnajiweka nadhifu/smart mpaka unasimamishwa unapewa lijuice la ajabu ajabu jitafakari. Unaonekana mzururaji tuu.