Wakazi wa Dar, ulishawahi kuitwa na kuingia kwenye mfumo wa huyu muuza juice pale Karume?

Wakazi wa Dar, ulishawahi kuitwa na kuingia kwenye mfumo wa huyu muuza juice pale Karume?

Dah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
Kumbe jf kuna wanywa juice za mitaani za maji ambayo hayajachemshwa?🤭🤭🤭! Mimi nilidhani humu wote matajiri
 
Dah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
Amekufanyia???
 
napenda juice sana, lakini ni heri niamke mapema,niandae juice angu mwenyewe nyumbani nitembee nayo kwenye kopo,,ila sio ya kununua mtaani
 
Mimi nikiiingia mjini uwa nakula BUYU LA MAANA.
Siongei na mtu labda iwe lazma.
Na sijawahi kuibiwa kariakoo
 
Dah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
Ubunifu mzuri
Wapenda vya bure ndiyo wataumia
 
NJAA ZINAUAA IMAGINE KAWEKA SUMU ANAWAONDOA WANGAPI KWA STHLE HIOO

MKUU SIKUHIZI HATA HARUSI ZA NDUGU TUNAENDA NA MAJI YETU SEMBUSE HUKI DOH

KIBOKO AKIRUDI NTAKUJUZA UKAOMBEEWE
 
Dah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice

Mm aliniita lakini sikunywa juis, nibak namwambia anikumbushe tumeonana wapi akashindwa nikajua huyu tapeli
 
Kunajamaaa wawili wabauza nguo wako pale karume wana degree ya bachelor of law sasa uwe makini agent zao haoo wanajiongeza wanazipataje hela zenu
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
View attachment 3063170

unatembea zako ghafla unaitwa,

zinaanza stori "vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu

mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.

mwisho wa siku anakwambia "ahsante Kwa kunichangia, hiyo buku tu"

Pia Soma - Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?
HUNA AKILI NA UNAWEZA KUOLEWA KIRAHISI SANA. HUWEZI KUWA NA AKILI TIMAMU UNAPEWA TU JUICE UNAKUNYWA
 
Back
Top Bottom