KERO Wakazi wa Goba njia ya Tegeta A kwenda Madawa na Kulangwa tuna changamoto kubwa ya Barabara

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wewe ndiye mjinga kwa sababu hujui unabishana na nani, na hujui unabishania nini; una upeo finyu kiasi kwamba hujui hata Wilaya yako ni ipi!
Ukijiangalia kabisa unajiona hustahili kuwepo nafasi uliyopo ila ndo utafanyaje ushaumbuka.

Hata akili unazotumia sio za kichwani bali makalioni.

Kwa hiyo hoja nzima unai crash kisa mipaka ya jimbo😂 hoja ni barabara na nime specify kabisa SERIKALI YA MTAA WA GOBA. Ningesema mtaa wa kibamba nayo ungesemaje? Wahusika mshajitaja na kazi mtafanya. Kinachofata ni kuja kuchukua video ya hizo njia tumpelekee mama samia kabisa aone uozo wenu. Na tutahoji wananchi na ushahidi juu kuhusu mnavyowajibu kuhusu vibali vya barabara
 
Kichekesho, yaani kamradi ka bajaji ka mtu mmoja kazuie maendeleo ya watu wengi? Viongozi wa namna hiyo hawatakiwi katika jamii. Angekuwa Arusha Makonda angemkomesha.
 
Wewe ni punguani maana sielewi hata unachobishania ni nini? Ina maana Tegeta A iko matumbi? Au hata hujui kama wanapaita Goba Tegeta A. Mbwa wahedi
Siyo rahisi uelewe kwa sababu mwenyewe hueleweki
 
Nimetoka kuandika uzi kuhusu Goba kulangwa hata siku mbili hazijapita tumenusurika maafa makubwa nusura tupoteze watoto. MAMA SAMIA TUSAIDIE BARABARA ZA GOBA KULANGWA KUREKEBISHWA NA KUWEKEWA CARAVAT. 1. KUNA BARABARA YA KARIBU NA KITUO CHA AFYA CHA ST YOHANNE GOBA KULANGWA KUELEKEA TEGETA A, IMELIKA HAKUNA MFANO, TUNAHITAJI CARAVAT. NA PIA KUTOKEA TEGETA A SHULE YA MSINGI KUELEKEA MAKANISA YA CATHOLIC NA ANGLIKANA TEGETA A kukatisha mtoni pale hakuna Caravat Mama. Tuokoe na watoto wetu! Sijui lami inashindwa vipi kuwekwa zile njia.

TUNAELEKEA KUPOTEZA WATOTO SIJUI TUSEMEJE MTUSIKIE AU MNASUBIRI MAAFA MJE KUSIKITIKA KWENYE MITANDAO.

Na jamii forum naombeni MUACHE kuturekebishia post zetu. Tunajua tunachokiandika tunataka ujumbe ufike kama ulivyo. Kwenye post yangu nilimwita mama samia nyinyi mmekuja kurekebisha mmetoa hiyo point.

GOBA KULANGWA NI JANGA KWA BARABARA NA SIKU SI NYINGI MTASIKIA MAAFA MABAYA ZAIDI

TUNAOMBA MAREKEBISHO MAKUBWA NA CARAVAT. Tumenusurika kupoteza watoto leo kwasababu ya ubinafsi.

Wewe Kindeena na kiherehere chako haya njoo ubishane na hapa
 

Attachments

  • IMG_6371.jpeg
    444.8 KB · Views: 10
  • IMG_6372.jpeg
    625.4 KB · Views: 11
  • IMG_6373.jpeg
    406.3 KB · Views: 10
  • IMG_6374.jpeg
    584.9 KB · Views: 9
  • IMG_6375.jpeg
    435.8 KB · Views: 8
  • IMG_6376.jpeg
    400.6 KB · Views: 10
KUKAZIA HAPO, Ni bora mngeweka mitaro kwenye zile sehemu korofi. Na hata ile barabara kubwa ya vumbi ikiwekwa mitaro itapunguza kumong’onyoka
 
Naona kinondoni mitaa hot yote sahivi lami inarudishwa iwe kama zamani
Kinondoni itabaki kuwa kinondoni

Ova
 
We jamaa ni mjinga sana, ni mjinga sana. Yani kichwani mwako humo ji empty kabisa. Haya mpaka leo hyo barabara imejengwa. Wew unafikiri kwa kutumia tumbo, huko kichwani ni kweupe kabisa
 
We jamaa ni mjinga sana, ni mjinga sana. Yani kichwani mwako humo ji empty kabisa. Haya mpaka leo hyo barabara imejengwa. Wew unafikiri kwa kutumia tumbo, huko kichwani ni kweupe kabisa
Alikua anatetea cheo chake. Katupigia kelele humu hadi saizi barabara tunazolalamikia hazijajengwa. Alafu wanataka kugombea tena vyeo.
 
We jamaa ni mjinga sana, ni mjinga sana. Yani kichwani mwako humo ji empty kabisa. Haya mpaka leo hyo barabara imejengwa. Wew unafikiri kwa kutumia tumbo, huko kichwani ni kweupe kabisa
Sasa povu la nini? Jenga hoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…