Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Doh! [emoji851]Umetaja kuhamishwa kupisha miradi ya maendeleo.
Hawa hawahamishwi kupisha mradi wa maendeleo.
Bali wanafukuzwa kupisha waarabu wa Oman wakawinde na kubeba wanyama hai.
Hiyo ndio tofauti iliyopo.
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app