Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Inasikitisha mno yaani maji yamekuwa ya shida sana hadi kupelekea wakaji wa Tarakea kwenda kuchota maji Kenya. Halafu baadae utasikia ooh mama anaupiga mwingi š¤£š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusiwasingizie viongozi kwa ujinga na uzembeHuyu mama namchukia kweli yani.
NINGEKUWA na uwezo NINGEIINGILIA KATI
š¤£š¤£š¤£mambuzi
Kwa nini asiupige mwingi na uji wa mtama ni mtamInasikitisha mno yaani maji yamekuwa ya shida sana hadi kupelekea wakaji wa tarakea kwenda kuchota maji kenya halafu baadae utaskia ooh mama ana upiga mwingi š¤£š¤£
Kabisa naunga mkono hoja ššTatizo ni CCM
Kama serikali inatoa pesa mpaka 15million kununua magoli ya mpria na hili linawezekana muhimu kupaza sauti tu mpaka lifike ngazi za juuTusiwasingizie viongozi kwa ujinga na uzembe
Kisima 3m kwani wasichange wakachimba?
Anzisheni harambee Walahi nitachangia
Yaani kiraka changu nimseme Mama hapana
Ni haki ya walipa kodi na serikali pia imebeba dhamana ila kama wao hawajali ni bora kufanya yetu na likija jitu linataka lichaguliwe mnalifukuza kama mbwaKama serikali inatoa pesa mpaka 15million kununua magoli ya mpria na hili linawezekana muhimu kupaza sauti tu mpaka lifike ngazi za juu
Naunga mkono hojaKama serikali inatoa pesa mpaka 15million kununua magoli ya mpria na hili linawezekana muhimu kupaza sauti tu mpaka lifike ngazi za juu
Haya Mambuzi hayaa š āļø š š
Huo ndio ujiran mwemaInasikitisha mno yaani maji yamekuwa ya shida sana hadi kupelekea wakaji wa tarakea kwenda kuchota maji kenya halafu baadae utaskia ooh mama ana upiga mwingi [emoji1787][emoji1787]
𤣠𤣠𤣠𤣠š¤£
Ndiyo Huko Kenya Mpaka Watusaidie Na Mambo MengineInasikitisha mno yaani maji yamekuwa ya shida sana hadi kupelekea wakaji wa tarakea kwenda kuchota maji kenya halafu baadae utaskia ooh mama ana upiga mwingi š¤£š¤£