Wakazi wa Tarakea wachota maji Kenya

Wakazi wa Tarakea wachota maji Kenya

We acha tu, Sasa hivi hatuna uongozi wa kujali watu wa kawaida. Ni Bora tu kuwa na teknolojia ya kuvuna maji nyumbani kuliko kutegemea haya maji ya Serikali. Malamba mawili nasikia miezi 5 hakuna maji. Inasikitisha...
 
Niliwahi fika huko Tarakea miaka mitatu iliyopita niliona tatizo la maji lipo na Boda boda kukamatwa na Askari wa Kenya wakipitisha magendo pana nyumba nyingi nzuri zimejengwa huko kama zimeoteshwa wengi wao maji wamechimba visima na wengine ndio hawa wanaenda kununua kwa walio na visima niliona usalama pia kwa wauza maduka ni mdogo sana wanafunga duka saa kumi kuogopa kuibiwa...tukijaaliwa ntarudi tena Desemba hii mpaka Holili huko..
 
Niliwahi fika huko Tarakea miaka mitatu iliyopita niliona tatizo la maji lipo na Boda boda kukamatwa na Askari wa Kenya wakipitisha magendo pana nyumba nyingi nzuri zimejengwa huko kama zimeoteshwa wengi wao maji wamechimba visima na wengine ndio hawa wanaenda kununua kwa walio na visima niliona usalama pia kwa wauza maduka ni mdogo sana wanafunga duka saa kumi kuogopa kuibiwa...tukijaaliwa ntarudi tena Desemba hii mpaka Holili huko..
Karibu Rombo..
Upitie na mtaa wangu wa zamani huo wa maili sita hapo. Tumepangana balaa... hahaha Mr. Mtefu, Farahani, frank kichaa, maiko ngaleku shirima, msanaa, waha wa rombo green view etc.
Tarakea iko poa. Sema umafia mwingi sana huko.
 
Inasikitisha mno yaani maji yamekuwa ya shida sana hadi kupelekea wakaji wa tarakea kwenda kuchota maji kenya halafu baadae utaskia ooh mama ana upiga mwingi 🤣🤣
Na jana walikua wanajinadi stand ya tarakea na maajabu ni siku ya soko ila hakukua na watu
 
Karibu Rombo..
Upitie na mtaa wangu wa zamani huo wa maili sita hapo. Tumepangana balaa... hahaha Mr. Mtefu, Farahani, frank kichaa, maiko ngaleku shirima, msanaa, waha wa rombo green view etc.
Tarakea iko poa. Sema umafia mwingi sana huko.
We ni wa maili sita ipi bibie
 
Karibu Rombo..
Upitie na mtaa wangu wa zamani huo wa maili sita hapo. Tumepangana balaa... hahaha Mr. Mtefu, Farahani, frank kichaa, maiko ngaleku shirima, msanaa, waha wa rombo green view etc.
Tarakea iko poa. Sema umafia mwingi sana huko.
Ok ntakaribia siku nikija ntakutafuta miss Pablo...
 
Ndo tatizo la akili za ujamaa.

Inabidi watu watafakari. Kama kijiji cha watu 200 kinasuburia serikali ije iwachimbie kisima miaka nenda rudi.

Kila kitu serikali serikali, akili za ujamaa zinafuta fikra za personal responsibility kabisaaaa
Wakati kodi inachukuliwa kwenye mazao na biashara mbona kunakuwa hakuna tatizo upande wa serikali?
 
WAHA kachimba maji akataka kusambazo ROMBOWSA wakamzuia
Sema Waha alifanya ukorofi jamani. Jahaha kama kawa sikukuu za mwisho wa mwaka akaalika watu. Lakini kama ujuavyo shughuli za matajiri. Kuna matabaka. Sipemdagi kweli hiki kitu. Huwa wanawabagua sana wanakijijj wakati ndo wachimbaji wao wa makaburi. Basi wageni wenye pesa zao wakawekwa VIP halaf wa kijijin wakawekwa kivyao na pombe za hovyohovyo. Sisi tulipofika kwa kweli tukagoma jukaa VIP. Tukajichanganya kwa wanakijiji. Kwa kwwli ukiwatizama ungeweza ona masononeko yao kutengwa. Mwaka mzima tunawatenga wanakijiji halafu decembee nayo pia jamani. Tukaja na sisi kufanya tukaalika wote na tukawamix wote. Tuacjhe kuwabaguaga ndugu zetu jamani.
 
WAHA kachimba maji akataka kusambazo ROMBOWSA wakamzuia
Hili ndio tatizo
Shirika la maji hawawezi kazi halafu hawataki wapinzani
Huu ni ushenzi kabisa ndio mana watoto wanakufa kisa maji machafu kabla hata hawajafika mitano
Tuna bahati kuishi kwenye nchi za umasikini wa kujitakia
 
Inasikitisha mno yaani maji yamekuwa ya shida sana hadi kupelekea wakaji wa tarakea kwenda kuchota maji kenya halafu baadae utaskia ooh mama ana upiga mwingi 🤣
Inasikitisha mno yaani maji yamekuwa ya shida sana hadi kupelekea wakaji wa tarakea kwenda kuchota maji kenya halafu baadae utaskia ooh mama ana upiga mwingi 🤣🤣
Tunadumisha ujirani mwema
 
Tusiwasingizie viongozi kwa ujinga na uzembe
Kisima 3m kwani wasichange wakachimba?
Anzisheni harambee Walahi nitachangia

Yaani kiraka changu nimseme Mama hapana
Una uhakika maji yapo chini na wakichimba watayapata?

Kama wanalipa kodi kwanini serikali isiwapatie maji?

Wengine wote wenye maji walichanga wakajiwekea?
 
Inasikitisha mno yaani maji yamekuwa ya shida sana hadi kupelekea wakaji wa tarakea kwenda kuchota maji kenya halafu baadae utaskia ooh mama ana upiga mwingi 🤣🤣
Kweli? Wakati hayo maji huko upande wa Kenya yanatoka mlima Kilimanjaro?!!!
 
Bas unavyosema wakaz wa tarakea wachota maji kenya utafikir wanasafir masaa ma 5 kwenda uko kenya wakat n mtaa mmoja tunatenganishwa na bikon tu inayoonyesha apa tz upande wa pil kenya wakaz wa tz wamejenga uko na kuoa na ao unaosema wakenya wanakuja kulewea pombe kwenye mabanda yetu
 
Una uhakika maji yapo chini na wakichimba watayapata?

Kama wanalipa kodi kwanini serikali isiwapatie maji?

Wengine wote wenye maji walichanga wakajiwekea?
Hapana mkuu sina uhakika
Na ni kweli serikali ina wajibu wa kuwapatia huduma, nimetoa rai tu na sio amri.

Mimi nimeona nchi nyingi wananchi wakati mwingine wanafanya yao kama serikali inazidiwa
Najua kwa sisi sio utaratibu wetu kufanya kitu ila kusubiri serikali ifanye na silaumu hilo ni wajibu wa serikali

Mbona WaterAid wanaruhusiwa kusaidia ila kuna mdau hapo amesema kuna mtu alijitolea kusambaza maji alikataliwa na mamlaka ya maji

Inawezekana mtu ana uwezo wa kutoa huduma sasa kwanini akataliwe? Ila akija mzungu anasema ni msaada na Serikali inapokea kwa vifijo?

Umasikini na roho mbaya inawasumbua sana nchi zinazotegemea wazungu kwa kila kitu

Mbona wao wana Charities za kila aina na hata mimi nachangia kama Cancer Researchers?
Sio kwamba serikali ya Uingereza ni masikini la bali wananchi wana umoja sana na wanatoa sana kwa kuchangia mambo mengi
Kuna Charities nyingi sana hapa 🇬🇧 na wanatoa kila leo kusaidia hata hospitali pia
Kwa hiyo mkuu ni maamuzi tu na Utu na sio kila kitu lazima serikali
 
Back
Top Bottom