mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nimefika tarakea nmeingia chocho mpaka kenyaKaribu Rombo..
Upitie na mtaa wangu wa zamani huo wa maili sita hapo. Tumepangana balaa... hahaha Mr. Mtefu, Farahani, frank kichaa, maiko ngaleku shirima, msanaa, waha wa rombo green view etc.
Tarakea iko poa. Sema umafia mwingi sana huko.
Nachofahamu huko kuna mto unaitwa
Ungwasi uko tz na kenya ila kwa kenya ndiyo kuna maji,labda watu huko wanayafata maji hayo
Ova