Wakazi ni mjuaji na anafikiri tunaposema kutoboa kimataifa tuna maanisha kuishi au kufika Marekani…lah asha…Wakazi anatakiwa kujua kuwa kuna wasanii wanaishi marekani lakini hawajatoboa kimataifa and their still local artist…. Na hata yeye uko marekani bado hajafikia level ya kuitwa local artist kabisa na sidhani kama kuna anayejua kama anaimba!
Tunaposema international artist ni kutoboa nje ya mipaka yako ukiwa tayari umetoboa kwako halafu internatinal ni zaidi ya marekani kuna kusikika Ulaya,Asia na Africa!
Wakazi alifikiri akijua kingereza ingetosha kutoboa kuwa international artist au kuwa best artist lakini sivyo ndio maana alidhani akirudi Tanzania akaanza kuimba basi itakuwa rahisi kwake kutoboa na kusikika kimziki hadi nje ya Tanzania ikimaanisha Africa,europe and America….
Lakini imekuwa tofauti kwani Wakazi hata soko la nchini ameshindwa kupenya vilivyo sasa atapenya vipi kusikika America,Africa and Europe?
Wakazi ni muongeaji sana lakini ukweli ni kwamba swala la muziki limemshinda kwani toka mwanzo alishindwa kutofautisha kuwa mwanamziki bora na kujua kingereza au kujua kingereza na kuwa mwanamuziki wa kimataifa!