Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hivi huyu wakazi....ukiachana na kujimwambafai ni hit song gan anayo?
Huyu jamaa sio nshomile kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu wakazi....ukiachana na kujimwambafai ni hit song gan anayo?
Watu wanamjua au mafanikio ni pesa tuAna mafanikio Gani kimuziki
Wakazi nilianza kumfahamu alipoenda peform Big Brother Africa na kipindi hicho nilishtuka kuona msanii gani wa Tz anapewa platform kubwa kama ile na simjui..Mafanikio makubwa kwenye career yake ni kupiga picha na Kanye west & Wiz khalifa. Music content wise ni 0 yani Sifuri. Anaupenda sana muziki ila muziki haumpendi, angewekeza jitihada zake kwenye angle nyingine ya muziki kama vile Promotion au management inawezekana angekuwa na mafanikio zaidi
Wivu ni kama kipande cha kuni kwemye moto, mwenye wivu ndio huteketea kuliko anaeonewa wivu.[emoji23][emoji23] na anawivu na waliofanikiwa
Hayo sasa ni mtizamo na kipaumbele cha mtu na mtuTuzo.....show kubwa za kimataifa....na international hit songs
umeambiwa mziki ni kitu subjective alafu bado unashangaa mtu kusikiliza mziki wakufoka.Sahihi Mkuu....hata Mimi Huwa nashangaa mtu anasikiliza mziki wa kufoka
ChaiMafanikio hayatokani na ubora. Songa aliwahi kusema "unaweza ukawa bora hata usipo win"
Trust me Wakazi anaweza asiwe kwenye top ten zenu ila kichwa chake ni asset kubwa kwa sanaa yetu.
Na haipingwiiiiiAnasema ukweli lakn wakt wengine wanaota na kutumia nguvu nyingi kufika majuu yeye huko alishafika kitambo
Job really reallyJob true true
Mafanikio makubwa kwenye career yake ni kupiga picha na Kanye west & Wiz khalifa. Music content wise ni 0 yani Sifuri. Anaupenda sana muziki ila muziki haumpendi, angewekeza jitihada zake kwenye angle nyingine ya muziki kama vile Promotion au management inawezekana angekuwa na mafanikio zaidi
Hata hit moja hana zaidi ya kusema kafika amerika.“Tangu 2013 nilikuwa sijaenda America mpaka 2021 sababu nilidhamiria kujijenga na kufanya vizuri zaidi kwenye local market (Tanzania) wakati mimi naweka nguvu zaidi kutaka kujijenga zaidi local, wasanii wengi wa Tanzania wanataka kwenda international, na mimi huko ndio nyumbani!” -Wakazi
Hivi huyu wakazi....ukiachana na kujimwambafai ni hit song gan anayo?
Anaitwa Webiro. Schoolmatewakazi wassira....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipindi kile sidhani kama alikua ameiva, alikua mgeni sana kwenye industryAliwahi kuwa manager wa dadaake Lady Jay Dee uliza alimfikisha wapi 😅
Pia walivyonavyo wasanii wetu wakazi hana.diamond anamwita mchambuz wa muziki sio mwanamuzikiWakazi kichwani yupo vizuri huwa namsikiliza Ana kitu Fulani special ambacho wasanii wetu hawana.