mama ana mkapa anadai anataka kujenga sijui shule ya kimataifa, na wafanyakazi hao inabidi whame
Hatumtaki Mbeya, tutapiga mawe hiyo shule yake, asije akatufundisha ufisadi bure.
Wakati mwingine serikali ikishindwa kuwajibika, itabidi wananchi tutumie hata mawe kurudisha vilivyo vyetu.
Wakuu wenye data watuorodheshee 'tujisenti' twa hawa partners ANBEN maana inaonekana list ni ndefu. Nianze na zinazotajwa sana
1. TanPower/Kiwira
2. Bank M
3. Ikulu ndogo Lushoto
4. Hotel SA
5. ...
mama ana mkapa anadai anataka kujenga sijui shule ya kimataifa, na wafanyakazi hao inabidi whame
Kwahiyo Unatamka Hazarani Na Kuonyesha Chuki Yako Dhidi Ya Muwekezaji Mzalendo ?
Je Angekuja Andrew Clay ?
Hivi jengo la ikulu hawakujiuzia kweli hawa watu? Mimi naanza kuwa na wasiwasi.....
Hivi jengo la ikulu hawakujiuzia kweli hawa watu? Mimi naanza kuwa na wasiwasi..... Isije ikawa Rais wa sasa analipia kodi kukaa Ikulu, na ndio maana Mkapa akafanyia biashara kwa kutumia address ya Ikulu bila wasiwasi wowote.
Inabidi tuwe waangalifu. Viongozi walijiuzia nyumba za serikali walimokua wakiishi. Mkapa kipindi kile alikuwa akiishi hapo Ikulu. Hamwezi kujua, labda na yeye alitumia logic hiyo (ya kijinga) kujiuzia Ikulu.... Na ndio maana anasema bila kuona aibu kuwa tunamwonea wivu....
Nimesema Maro Hao Sio Maro Mimi Naomba Usipotoshe Jamii
hUYU MAMA CHIBOKO HASAA...MAANA KILA SEHEMU ALITIA MGUU WAKE ....NA SIDHANI KAMA BWM ALIKUWA ANAJUAA YOTE HAYOO...........BADO NASUBIRIA ACTION YA BWANA MKUBWA SIJUI ATAAMUAJE.......
Wakuu wenye data watuorodheshee 'tujisenti' twa hawa partners ANBEN maana inaonekana list ni ndefu. Nianze na zinazotajwa sana
1. TanPower/Kiwira
2. Bank M
3. Ikulu ndogo Lushoto
4. Hotel SA
5. ...