Wake wa Marais wetu na Mambo yao

Wake wa Marais wetu na Mambo yao

mama ana mkapa anadai anataka kujenga sijui shule ya kimataifa, na wafanyakazi hao inabidi whame

Hatumtaki Mbeya, tutapiga mawe hiyo shule yake, asije akatufundisha ufisadi bure.

Wakati mwingine serikali ikishindwa kuwajibika, itabidi wananchi tutumie hata mawe kurudisha vilivyo vyetu.
 
Hatumtaki Mbeya, tutapiga mawe hiyo shule yake, asije akatufundisha ufisadi bure.

Wakati mwingine serikali ikishindwa kuwajibika, itabidi wananchi tutumie hata mawe kurudisha vilivyo vyetu.

kwi kwi kwi..

Mimi nimeanda ambulance kukusanya majeruhi
 
Bado sijaelewa hiyo habari. Unaongelea mamlaka mbili tofauti yaani Wizara ya ujenzi na Halmashauri ya Manispaa, kwamba Wizara imeuza nyumba husika kwa watumishi walioishi humo kwa muda mrefu (thats right). Pia Halmashauri ya jiji la Mbeya limeuza nyumba hizo kwa Mama Anna Mkapa.

Mimi naona hapa kuna gap of information. Halmashauri haiwezi kuuza nyumba bila kukubaliwa na Kamati ya Fedha na Uongozi na Baraza la madiwani. Kamishna wa Ardhi (Wizara ya Ardhi) hawezi kutoa hati ya umiliki wa ardhi ya nyumba iliyokuwa ya serikali ya mtaa (Halmashauri) bila Mihtasari ya kamati ya fedha na ule wa Baraza la Madiwani.

Afisa ardhi wa jiji hana uwezo wa kuuza mali (ardhi) ya Halmashauri wala Kamishna wa ardhi hawezi kumkubalia.

Mauziano ya ardhi ni lazima yahusishe Mwanasheria mwenye uwezo wa kiapo, hivyo isingekuwa rahisi kwa afisa ardhi kutekeleza hayo anayotuhumiwa eti kwa kuwa yupo karibu na mama Anna Mkapa.

Mkuu naomba ufuatilie vizuri hizo source, kwani kuna watu wengine siku hizi wanapenda kusukuma jambo wanalotaka kwa kupitia nguvu ya tuhuma za mtu mkubwa. Inawezekana hao jamaa wanahitaji hati za kumiliki ardhi na wameambiwa masharti ambayo wanahisi ni magumu (just my assumption).

Kama ulivyo eleza, kwamba nyumba hizo zipo katika eneo moja (inawezekana kikawa ni kiwanja kimoja) hivyo haiwezekani kutolewa hati kwa watu tofauti mpaka iffanyike plot sub-division, ambayo inamlolongo wake mkubwa tu. au watu hao wakubaliane kisheria kumiliki eneo hilo kwa hisa ie asilimia 8 kwa kila mmoja.

Kama kweli pameuzwa kwa Anna Mkapa, wakati tayari palisha uzwa kwa watu waanaoishi hapo basi waliuza ni Wizara ya ujenzi siyo jiji. Siwatetei jiji ila sababu nilizoeleza hapo mwanzoni zinaondoa uwezekano wa Halmashauri ya jiji kutenda kosa hilo.
 
Wakuu wenye data watuorodheshee 'tujisenti' twa hawa partners ANBEN maana inaonekana list ni ndefu. Nianze na zinazotajwa sana

1. TanPower/Kiwira
2. Bank M
3. Ikulu ndogo Lushoto
4. Hotel SA
5. ...

Mkuu Ikulu ndogo Lushoto hapana, ila ana miliki nyumba, nadhani na hoteli huko kwa kina Shetani.
Si alisema yeye si tajiri? Mbona hamuelewi? Kwani mtu kuwa na tubilioni tuchache ni utajiri?
Hata hivyo kama BMW angetaja mali zake baada ya kutoka pale Magogoni..tungeweza kulinganisha za za alipoingia Benzi 1, Isuzu trooper, Shamba, nk.
 
Kwahiyo Unatamka Hazarani Na Kuonyesha Chuki Yako Dhidi Ya Muwekezaji Mzalendo ?

Je Angekuja Andrew Clay ?
 
kazi kweli kweli

kila siku mambo mapya na wanapojitokeza hadharani ndo mengi yanafichuka ! mwacheni mungu aitwe mungu !hakuna lisilo na mwisho.naona mwisho umekaribia
 
mama ana mkapa anadai anataka kujenga sijui shule ya kimataifa, na wafanyakazi hao inabidi whame

Hayo mafuko ya fedha walioanzisha huko ikulu hayawatoshi hadi wapore vijumba vya wanyakyusa?Another vanity under the sun
 
Kwahiyo Unatamka Hazarani Na Kuonyesha Chuki Yako Dhidi Ya Muwekezaji Mzalendo ?

Je Angekuja Andrew Clay ?

shy mbona unatuzingua tena? Yaani mwizi akikuibia mbuzi halafu akaenda kumchinja halafu akarudi na kuuzia nyama yake wewe utanunua tu kwa vile mwizi kageuka mchoma nyama ya mbuzi?
 
Hivi jengo la ikulu hawakujiuzia kweli hawa watu? Mimi naanza kuwa na wasiwasi..... Isije ikawa Rais wa sasa analipia kodi kukaa Ikulu, na ndio maana Mkapa akafanyia biashara kwa kutumia address ya Ikulu bila wasiwasi wowote.

Inabidi tuwe waangalifu. Viongozi walijiuzia nyumba za serikali walimokua wakiishi. Mkapa kipindi kile alikuwa akiishi hapo Ikulu. Hamwezi kujua, labda na yeye alitumia logic hiyo (ya kijinga) kujiuzia Ikulu.... Na ndio maana anasema bila kuona aibu kuwa tunamwonea wivu....
 
Isn't it amazing how so many of today's problems are the result of yesterdays solutions.
 
Yona Maro

Anna Mkapa (nee Maro)

Something fishy?
 
Hivi jengo la ikulu hawakujiuzia kweli hawa watu? Mimi naanza kuwa na wasiwasi..... Isije ikawa Rais wa sasa analipia kodi kukaa Ikulu, na ndio maana Mkapa akafanyia biashara kwa kutumia address ya Ikulu bila wasiwasi wowote.

Inabidi tuwe waangalifu. Viongozi walijiuzia nyumba za serikali walimokua wakiishi. Mkapa kipindi kile alikuwa akiishi hapo Ikulu. Hamwezi kujua, labda na yeye alitumia logic hiyo (ya kijinga) kujiuzia Ikulu.... Na ndio maana anasema bila kuona aibu kuwa tunamwonea wivu....

kwa tamaa hii ya kina ANBEN, tusubilie mshangao wa mwaka! kwani hiyo haitakuwa ajabu hata kidogo!.. Yaani utadhani walikuwa wanakimbizana kujichukulia chao mapema lo!
 
Nimesema Maro Hao Sio Maro Mimi Naomba Usipotoshe Jamii

Mimi nimeuliza tu kama una uhusiano na Mama Mkapa na ndiyo maana unamtetea hata kwa vitu visivyo kichwa wala mguu.Wewe unaweza kuja na sababu zako murua tu za kumtetea na kuwarudishia imani wana jamiiforums kuwa humtetei mama Anna Mkapa nee Maro kwa sababu ya maslahi ya kifamilia/ kiukoo.

Hujafanya hivyo.
 
hUYU MAMA CHIBOKO HASAA...MAANA KILA SEHEMU ALITIA MGUU WAKE ....NA SIDHANI KAMA BWM ALIKUWA ANAJUAA YOTE HAYOO...........BADO NASUBIRIA ACTION YA BWANA MKUBWA SIJUI ATAAMUAJE.......
 
Ki Ukweli Tuna Mahusiano Ya Kifamilia Huko Tunapotokea Vijijini Lakini Simtetei Nimesema Kitu Ninachojua Sio Kwa Sababu Ya Ukaribu Wetu
 
hUYU MAMA CHIBOKO HASAA...MAANA KILA SEHEMU ALITIA MGUU WAKE ....NA SIDHANI KAMA BWM ALIKUWA ANAJUAA YOTE HAYOO...........BADO NASUBIRIA ACTION YA BWANA MKUBWA SIJUI ATAAMUAJE.......

Mdogo wake huyu Mama miaka ya kwanza ya utawala wa BWM alikuwa anasema kama kuna kitu dada yake anaogopa sana ni kuja kuwa na scandals kama za Mama Siti. Jamaa alimpotray dada yake kama mtu asiye makuu mlokole mlokole.Admittedly the source is not neutral lakini mtu wangu hakuwa na haja ya kunipa kanyaboya.

Inawezekana BWM ndiye aliyemsainisha madude yote katika jina lake.Word is ilikuwa waachane na BWM circa 95 lakini kifimbo ndiyo akawapatanisha ili kuokoa jahazi isije kuwa BWM anataka kugombea urais bila jiko.
 
Wakuu wenye data watuorodheshee 'tujisenti' twa hawa partners ANBEN maana inaonekana list ni ndefu. Nianze na zinazotajwa sana

1. TanPower/Kiwira
2. Bank M
3. Ikulu ndogo Lushoto
4. Hotel SA
5. ...

6.Lamada apartments (ilala- amenyang'anya toka posta).

7.Imalaseko zote

Uvumi: baada ya moto moto ya JK ameiuza Lamada apartments kwa Kishimba "mmiliki" wa imalaseko,
 
Back
Top Bottom