Wake wa Marais wetu na Mambo yao

Wake wa Marais wetu na Mambo yao

Pakacha,
mm nasema haswa kile ninachokiona kwa macho au kuthibitisha baada ya kusikia au ww hali halisi unaionaje, kwa mfano Zanzibar mpaka sasa hakuna gazeti huru, absolutely huru,T.V huru(sjuwi saivi maana cable si kila mchakura jaani kama mm anaimudu),hata hao wajuba na wakaidi wanaothubutu kusema hutumia majukwaa mengine au vyombo vya habari vya bara. SMZ haijaelewa kitu fulani ambacho SMT wana enjoy kule bara, kwamba, kuwa na uhuru wa maoni na vyombo huru vya kutolea maoni kunaisadia serikali na vyombo vyake kuwa karibu na wananchi kwa kujikosoa,kujitathmini na kujirekebisha, huwezi kukiona kisogo chako ila mtu aliyenyuma yako. Leo kama si uhuru wa vyombo vya habari kule bara, kwa mfano tu, watu kama kina Abdallah Zombe wangeendelea kutumia vibaya dhamana zao na kuwadhuru watu bila hatia au vita vya ufisadi visingefikia hatua ilipo(japo hairidhishi) lakini ndo mwanzo. Bado nasisitiza kuwa licha ya katiba ya zanzibar kuweka wazi uhuru wa maoni na kujieleza, bado serikali haijaachia forums za kuruhusu fursa hiyo ya kikatiba kwa uwazi. Na kwa hivyo basi ndo maana SMZ imekuwa ikiindesha nchi kama giningi, mambo siri siri tuuu na kiuchawi uchawi mpaka kuche.
Sasa junius, unataka kutuambia kuwa Zanzibar wanakulana wao kwa wao. Na si Tanganyika tena!?
 
Sasa junius, unataka kutuambia kuwa Zanzibar wanakulana wao kwa wao. Na si Tanganyika tena!?
La hasha!
Zanzibar kama nyumba kwa mfano, ina wakaazi ndani yake (households), lakini vilevile ina majirani nje yake(Tanganyika n.k), hapa nimejaribu kueleza yale matatizo ya ndani ya nyumba tu, kana kwamba namlalamikia baba mwenye nyumba(SMZ) asivyowajibikia majukumu yake, sijasahau kuwa majirani nao(Tanganyiaka n.k) haweshi kuitia chokochoko na ugombanishi na kuitazama kwa jicho husuda nyumba hiyo.
 
La hasha!
Zanzibar kama nyumba kwa mfano, ina wakaazi ndani yake (households), lakini vilevile ina majirani nje yake(Tanganyika n.k), hapa nimejaribu kueleza yale matatizo ya ndani ya nyumba tu, kana kwamba namlalamikia baba mwenye nyumba(SMZ) asivyowajibikia majukumu yake, sijasahau kuwa majirani nao(Tanganyiaka n.k) haweshi kuitia chokochoko na ugombanishi na kuitazama kwa jicho husuda nyumba hiyo.

Umesema jambo la mbolea sana hapo. Sasa kwa nini huyo baba na mama mwenye nyumba wasirekebishe mambo ndani ya nyumba kwanza? Kwa nini asipatane na watoto zake ili atakapo toka nje (Tanganyika) na kudai kuto ingiliwa mambo yake akapata sapoti ya wale walioko nyumbani kwake.
Lakini cha ajabu kila kukicha tunasikia mimi Mpemba, yule Mmakunduchi, yule sijui wa wapi. Je mtafika kule mnako kukusudia au mtaendelea kushika uchawi jilani yenu Tanganyika?

Swali la kizushi: Je Zanzibar na Pemba Wanaelewana? Au Ndio CCM na CUF?
 
Tatizo majirani wana interests na nyumba yenyewe, wanamtia chokochoko baba mwenye nyumba asipatane na wanawe, utasikia mara mtoto huyu wangu yule si wangu. Watu wa zanzibar (unguja na pemba) ni wamoja kwa damu,imani zao na kwa eneo lao tokea enzi na enzi, hawawezi kuyabagua mambo hayo hata kwa makusudi, tatizo ni wanasiasa wachaaaache(wahafidhina) wanatumia u-CCM na u-CUF kuwagombanisha kwa faida ya matumbo yao tu.
 
Tatizo majirani wana interests na nyumba yenyewe, wanamtia chokochoko baba mwenye nyumba asipatane na wanawe, utasikia mara mtoto huyu wangu yule si wangu. Watu wa zanzibar (unguja na pemba) ni wamoja kwa damu,imani zao na kwa eneo lao tokea enzi na enzi, hawawezi kuyabagua mambo hayo hata kwa makusudi, tatizo ni wanasiasa wachaaaache(wahafidhina) wanatumia u-CCM na u-CUF kuwagombanisha kwa faida ya matumbo yao tu.
Sasa Junius ukiwa kama mzalendo mwenye uchungu na nchi yako, wewe na wengine wenye misimamo kama wako. Mmechukua jitihada gani kuwazinduwa hao wenye nyumba na wakaazi wake?

Kwa maana hali si shwari kati ya Unguja na Pemba... Kuna msemo mmoja unasema hivi: "Husione shonde ukafikili kavu, kumbe ndani bado bichi"
Zanzibar si shwali, siasa walio ikumbatia sio.
 
Sasa Junius ukiwa kama mzalendo mwenye uchungu na nchi yako, wewe na wengine wenye misimamo kama wako. Mmechukua jitihada gani kuwazinduwa hao wenye nyumba na wakaazi wake?

Kwa maana hali si shwari kati ya Unguja na Pemba... Kuna msemo mmoja unasema hivi: "Husione shonde ukafikili kavu, kumbe ndani bado bichi"
Zanzibar si shwali, siasa walio ikumbatia sio.
Kweli, wrong politics.
Tumejaribu mwaka 2000, tumeshindwa au tumelazimishwa kushindwa kule machinjioni(dodoma) na kwa msimamo wetu wa kuwaunganisha wazanzibar wote kwa ajili ya maendeleo yao kwa rasilimali zao wenyewe na kufanya kazi pamoja katika kuendesha serikali ya pamoja,ili kila mwananchi wa unguja na pemba ajihisi kuwa ni sehemu ya serikali hiyo,bila ya ubaguzi wa kieneo au wwote ule, nahisi na hata 2010 kutakuwa na upinzani mkali huko huko dodoma kwa kuwa wenzetu hawapo tayari kuona zanzibar inakuwa pamoja kwa maslahi yao binafsi, kisingizio hapa ni muungano,watataka lazima watuwekee mtu atakayelinda maslaha yao na si ya wazanzibar, hilo tunalifanyia kazi sasa na wasomi wengi wazanzibar wa ndani na nje wanashiriki na mikakati inafanywa,pamoja na mengine,jitihada kubwa ni elimu kwa wananchi hasa vijana,kwamba zanzibar na maslahi ya wananchi wake yawe mwanzo kuliko maslaha ya chama chochote, kundi lolote au itikadi yoyote.Kwasababu tuna nia njema Mungu atatusaidia.
 
Kweli, wrong politics.
Tumejaribu mwaka 2000, tumeshindwa au tumelazimishwa kushindwa kule machinjioni(dodoma) na kwa msimamo wetu wa kuwaunganisha wazanzibar wote kwa ajili ya maendeleo yao kwa rasilimali zao wenyewe na kufanya kazi pamoja katika kuendesha serikali ya pamoja,ili kila mwananchi wa unguja na pemba ajihisi kuwa ni sehemu ya serikali hiyo,bila ya ubaguzi wa kieneo au wwote ule, nahisi na hata 2010 kutakuwa na upinzani mkali huko huko dodoma kwa kuwa wenzetu hawapo tayari kuona zanzibar inakuwa pamoja kwa maslahi yao binafsi, kisingizio hapa ni muungano,watataka lazima watuwekee mtu atakayelinda maslaha yao na si ya wazanzibar, hilo tunalifanyia kazi sasa na wasomi wengi wazanzibar wa ndani na nje wanashiriki na mikakati inafanywa,pamoja na mengine,jitihada kubwa ni elimu kwa wananchi hasa vijana,kwamba zanzibar na maslahi ya wananchi wake yawe mwanzo kuliko maslaha ya chama chochote, kundi lolote au itikadi yoyote.Kwasababu tuna nia njema Mungu atatusaidia.

Mkuu heshima mbele. Do you think Z'bar is better off without Tanganyika? Or do you think if our relationship is utilized properly it can serve us both better than being apart? Maana kama ume gundua hii ishu ya Muungano imekuwa politicized sana na ni nadra kusikia maoni ya wananchi ya kawaida bali una sikia tu viongozi wana taka nini.
 
..... Do you think Z'bar is better off without Tanganyika? Or do you think if our relationship is utilized properly it can serve us both better than being apart?

Hapana Mkuu sifikirii hivyo, nionavyo tukirekebisha, kwa nia njema kabisa, matatizo yaliyopo saivi...ambayo kwayo...wanene wanayatumia kujinufaisha na si kuwanufaisha wananchi wetu, kweli tutakuwa na muungano bora kuliko tulionao sasa kwa manufaa ya watu wa pande zote.mm binafsi si kati ya wale tunaoamini au kushabikia kuvunja bali kurekebisha na kuendeleza kwa namna bora zaidi.
 
Hapana Mkuu sifikirii hivyo, nionavyo tukirekebisha, kwa nia njema kabisa, matatizo yaliyopo saivi...ambayo kwayo...wanene wanayatumia kujinufaisha na si kuwanufaisha wananchi wetu, kweli tutakuwa na muungano bora kuliko tulionao sasa kwa manufaa ya watu wa pande zote.mm binafsi si kati ya wale tunaoamini au kushabikia kuvunja bali kurekebisha na kuendeleza kwa namna bora zaidi.

Je kwa maoni yako mkuu unaona maeneo gani yana hitajika kurekebishwa? kama wewe ungekua kiongozi maeneo yapi unge yapa kipaumbele?
 
Je kwa maoni yako mkuu unaona maeneo gani yana hitajika kurekebishwa? kama wewe ungekua kiongozi maeneo yapi unge yapa kipaumbele?
Yapo mambo mengi tu Mkuu lakini kwanza kabisa KATIBA,sheria mama ya nchi, tuna katiba kama ya kikoloni koloni hivi,au kibabe, katiba tuliyonayo sasa inafaa zaidi katika mfumo wa chama kimoja kuliko wa vyama vingi,na ndo maana inaonekana kama katiba inayoegemea chama tawala. Ntakupa mfano wa katiba ya Zanzibar ambayo naifahamu vizuri,katika tafsiri ya maneno tu, neno "serikali" linamaanisha "serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar" au neno "rais" linaamaanisha "rais wa zanzibar na Mw'kiti wa baraza la mapinduzi". haya ni makosa ya kitafisiri tu lakini athari yake ni kubwa katika mfumo siasa za kisikuhizi,vp katika mfumo wa vyama vingi uwe na serikali ya kimapinduzi? au baraza la mapinduzi? n.k na hata katiba ya muungano ina kasoro kadhaa za namna kama hiyo na zaidi.
Suala jingine la kurekebishwa ni sheria kandamizi, rejea taarifa ya tume ya Jaji Nyalali, ametaja sheria nyingi kandamizi, zinazotakiwa kufutwa au kurekebishwa.Utaona kama mambo madogo tu lakini yanalitafuna taifa vibaya sana, leo tunashindwa kumrudi mtu tuliyemkabidhi dhamana za uongozi akatuibia kwa sheria hizi hizi mbovu mbovu,wakati wenzetu kama Malawi,Zambia n.k wameweza!
Kero za Muungano mfano, tunarejea pale pale kuwa tatizo ni katiba, same conlusion give by Aboud Jumbe and other founders of Union.
 
Je kwa maoni yako mkuu unaona maeneo gani yana hitajika kurekebishwa? kama wewe ungekua kiongozi maeneo yapi unge yapa kipaumbele?
Yapo mambo mengi tu Mkuu lakini kwanza kabisa KATIBA,sheria mama ya nchi, tuna katiba kama ya kikoloni koloni hivi,au kibabe, katiba tuliyonayo sasa inafaa zaidi katika mfumo wa chama kimoja kuliko wa vyama vingi,na ndo maana inaonekana kama katiba inayoegemea chama tawala. Ntakupa mfano wa katiba ya Zanzibar ambayo naifahamu vizuri,katika tafsiri ya maneno tu, neno "serikali" linamaanisha "serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar" au neno "rais" linaamaanisha "rais wa zanzibar na Mw'kiti wa baraza la mapinduzi". haya ni makosa ya kitafisiri tu lakini athari yake ni kubwa katika mfumo siasa za kisikuhizi,vp katika mfumo wa vyama vingi uwe na serikali ya kimapinduzi? au baraza la mapinduzi? n.k na hata katiba ya muungano ina kasoro kadhaa za namna kama hiyo na zaidi.
Suala jingine la kurekebishwa ni sheria kandamizi, rejea taarifa ya tume ya Jaji Nyalali, ametaja sheria nyingi kandamizi, zinazotakiwa kufutwa au kurekebishwa.Utaona kama mambo madogo tu lakini yanalitafuna taifa vibaya sana, leo tunashindwa kumrudi mtu tuliyemkabidhi dhamana za uongozi akatuibia kwa sheria hizi hizi mbovu mbovu,wakati wenzetu kama Malawi,Zambia n.k wameweza!
Kero za Muungano mfano, tunarejea pale pale kuwa tatizo ni katiba, same conlusion give by Aboud Jumbe and other founders of Union.
 
Yapo mambo mengi tu Mkuu lakini kwanza kabisa KATIBA,sheria mama ya nchi, tuna katiba kama ya kikoloni koloni hivi,au kibabe, katiba tuliyonayo sasa inafaa zaidi katika mfumo wa chama kimoja kuliko wa vyama vingi,na ndo maana inaonekana kama katiba inayoegemea chama tawala. Ntakupa mfano wa katiba ya Zanzibar ambayo naifahamu vizuri,katika tafsiri ya maneno tu, neno "serikali" linamaanisha "serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar" au neno "rais" linaamaanisha "rais wa zanzibar na Mw'kiti wa baraza la mapinduzi". haya ni makosa ya kitafisiri tu lakini athari yake ni kubwa katika mfumo siasa za kisikuhizi,vp katika mfumo wa vyama vingi uwe na serikali ya kimapinduzi? au baraza la mapinduzi? n.k na hata katiba ya muungano ina kasoro kadhaa za namna kama hiyo na zaidi.
Suala jingine la kurekebishwa ni sheria kandamizi, rejea taarifa ya tume ya Jaji Nyalali, ametaja sheria nyingi kandamizi, zinazotakiwa kufutwa au kurekebishwa.Utaona kama mambo madogo tu lakini yanalitafuna taifa vibaya sana, leo tunashindwa kumrudi mtu tuliyemkabidhi dhamana za uongozi akatuibia kwa sheria hizi hizi mbovu mbovu,wakati wenzetu kama Malawi,Zambia n.k wameweza!
Kero za Muungano mfano, tunarejea pale pale kuwa tatizo ni katiba, same conlusion give by Aboud Jumbe and other founders of Union.

Unajua hata mimi mara nyingi naongeleaga mapungufu ya katiba humu lakini watu wabishi wanaona tatizo ni viongozi tu. Katiba yetu haikidhi mahitaji yetu ya sasa. Ninacho weza kusema ni aidha viongozi wetu hawakuwa na vision wakati wa kutunga katiba kitu kilicho wafanya wasione mbale au katiba ili wekwa kusaidia chama zaidi na si nchi.

Kuhusu kutokuona mbali kwa viongozi wetu.Ina wezekana walipo tunga katiba walikuwa wana angalia tu hali ya wakati huo na jinsi miaka ilivyo sogea katiba haikwenda na wakati.

Wazo la pili ni katiba ya kukisaidia chama. Nchi yoyote ikiongozwa na chama kimoja basi ni chama chenye mamlaka ya nchi na si serikali mfano China. Inawezekana kabisa viongozi wetu wali weka katiba ambayo ita favor CCM kitu ambacho naelewa kwa sababu kwa wakati huo kulikuwa na chama kimoja tu. Tulipo ondokana na ujamaa kwanza mimi ndiyo nadhani hapo katiba ingeangaliwa vizuri zaidi. Utani saidia kama unajua kuniambia kama katiba yetu ili karabatiwa baada ya kuachana na ujamaa. Pia wakati wa mfumo wa vyama vingi uliopo ingia ilipaswa katiba iangaliwe upya na kukarabatiwa sehemu zenye matatizo. Kwa hiyo kama ulivyo sema katiba ika baki kufavor chama tawala na ni vigumu kwao kuibadilisha kwa sababu wanajua wana nufaika nayo.
 
MwanaFA1,
You are right.
Tokea mfumo wa vyama vingi urejeshwe tena katika miaka ya 1990s, katiba zetu zimekuwa zinakarabatiwa katka maeneo machache tu yanayodaiwa kuwa hayaendani na mahitaji ya wakati.Hii ni kama kutia viraka nguo kuukuu, badala ya kuachana nayo na kutafuta nyingine. Mpaka sasa kumbukumbu zangu katiba imebandikwa viraka(ammendments) havipunguwi 11, na ile ya Zanzibar havipunguwi 8.Licha ya ukarabati huo bado mpka leo katiba ya jamuhuri ina maneno ya ujamaa na kujitegemea,mm sijuwi yana imply kitugani, kwa hiyo tutaendelea na utiaji viraka mpaka ifike siku nguo itatuadhiri kwa kutuchanikia hadharani.
 
Definition ya UFISADI ni kubwa na mojawapo ni yule mtu ambaye anainyima serikali mapato na pia ambaye anarudisha nyuma maendeleo ya watu (kama hayo maendeleo yenyewe yapo)

Sasa huyu first lady wa Zanzibar anaingia Pemba kunyakua nyakua open saces zote na mashamba ya watu baada ya kumaliza kila kona unguja INCLUDING kile kituo cha kulea watoto yatima... hapo bado hatujaongelea matofali yaliyotumika kujenga zile nyumba michenzani na hivi ninavyozungumza Mwembemadema police station nayo iko kwenye hati hati

Si hivyo tuu huyu first lady anadaiwa kuwa ana employment agency ambayo ilitoa labout wakati wa ujenzi wa zile nyumba na walilipwa lakini ukweli ni kuwa waliokuwa wakijenga pale ni wafungwa...sasa zile pesa walizolipwa labour zilienda wapi?

Haya majengo yalipoisha ohhhh maduka yote yale mazuri kumbe yamechukuliwa na Bi Shdya

sasa hivi huyu annamna hii au ndio ulafi tuu? Zile nyumba zao za LA na London bado haziwatoshi mpaka mke wa rais akawa na kashfa za kifiadi namna hii?

Hivi akija Dar kwa nini asiende kule Nyamisati akaone mwenzie BI SALMA KIKWETE anachokifanya kwenye skuli ya sekondari au akaona kazi wanayofanya WAMA?

nb:

Maashalah huyu bibie kwa Madera ohhhhhhh wallahi kila nikijaribu kuwa mkali lakini nashindwa lakini hata sijiwezi maaana hilo dera lakwengine endeleeni

939.jpg
 
Last edited:
Hivi huyu mama ni Mkristo?

Wakrsito bwana, kweli MAFISADI wa kutisha. Kuna haja ya kuanza kuimulika dini ya Kikristo, viongozi na waumini wao maana kwa ufisadi wanaanza kutisha. Kila sehemu ni wao. Halafu wakianza kufisadi hata hawatosheki.
Kweli inabidi aige mfano wa mama Salma ambaye ni Muislaam saafi.
 
Last edited:
Hivi huyu mama ni Mkristo?

Wakrsito bwana, kweli MAFISADI wa kutisha. Kuna haja ya kuanza kuimulika dini ya Kikristo, viongozi na waumini wao maana kwa ufisadi wanaanza kutosha. Kila sehemu ni wao. Halafu wakianza kufisadi hata hawatosheki.
Kweli inabidi aige mfano wa mama Salma ambaye ni Muislaam saafi.
Mada ishaingia virus!
 
GT:
Tangu lini umeanza kuwachukia mafisadi? Au kwa kuwa huyu ni Mpemba -- chuki binafsi?
 
Back
Top Bottom