Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi akija Dar kwa nini asiende kule Nyamisati akaone mwenzie BI SALMA KIKWETE anachokifanya kwenye skuli ya sekondari au akaona kazi wanayofanya WAMA?
Taasisi hii imekuwa na vituko vya nuni Firauni Bandarini Zanzibar, haina tafauti na ile iliyokuwa ya Mama "lux" Salma (yule kahaba aliyekuwa Mke wa Komandoo)Jaribu kugogo ZAYADESA,
Nini Makosa ya Mama Anna MKapa?
Hivi huyu mama ni Mkristo?
Wakrsito bwana, kweli MAFISADI wa kutisha. Kuna haja ya kuanza kuimulika dini ya Kikristo, viongozi na waumini wao maana kwa ufisadi wanaanza kutisha. Kila sehemu ni wao. Halafu wakianza kufisadi hata hawatosheki.
Kweli inabidi aige mfano wa mama Salma ambaye ni Muislaam saafi.
Hivi huyu mama ni Mkristo?
Wakrsito bwana, kweli MAFISADI wa kutisha. Kuna haja ya kuanza kuimulika dini ya Kikristo, viongozi na waumini wao maana kwa ufisadi wanaanza kutisha. Kila sehemu ni wao. Halafu wakianza kufisadi hata hawatosheki.
Kweli inabidi aige mfano wa mama Salma ambaye ni Muislaam saafi.
Kuolewa na mtu ambae baadae atakuja kuwa Rais wa Tanzania.
Huyu mama naye ni mchaga?
Inawezekana, kwani hujuwi kuwa Zanzibar haina natives.
Inawezekana pia kuwa huyu mama ni mkristo. Maana kitendo cha kuagiza pombe kuja Tanzania miaka ile akiwa ikulu kimekaa kikristo kikristo vile.