ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
- Thread starter
- #21
Hapana mkuu. Bora nisile ili niwe na Amani.Acha ushamba kula mzigo huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu. Bora nisile ili niwe na Amani.Acha ushamba kula mzigo huo
Sikuwa na nyengine zenye kiswahili fasaha za kuweka. Nilikuwa nazo hizi tu zenye kiswahili chetu kibovu.Sasa kuweka hizo "screenshots" zenye kiswahili kibovu namna hiyo ni nini? Wewe hujui kuandika wanaokutongoza hawajui pia, ujinga mtupu ungemkatalia Kisha ukapiga buyu.
Embu katafute hela nyau wewe
Aisee[emoji16][emoji16]visukari vnawamaliza wazee wetu acha tuwasaidie tu
Ni chai tu kama chai nyingine za vijana wa JF...Ni mimi tu au na wenzangu mnaona mleta uzi alikua anapepea moto?
Moto umewaka anakimbilia JF
Dogo komaa hivyohivyo Unaweza kupata demu bomba humu hasa singo maza inshaAllahHapana mkuu. Hakuna dhulma mbaya kama kula mke wa mtu.
Hata mimi kuna kabaamedi kamoja hapo Makuti bar kananiambia kana mume wake. Na kila siku kanalala geto na wenzake... Baadae nakuja kushtuka kuambiwa kumbe huyo mume wake anayemsemea ni mimi...Kamjibu ana mume babu
😂😂😂😂Hata mimi kuna kabaamedi kamoja hapo Makuti bar kananiambia kana mume wake. Na kila siku kanalala geto na wenzake... Baadae nakuja kushtuka kuambiwa kumbe huyo mume wake anayemsemea ni mimi...
Changamkia ndoa hapo madam Asprin acha kuzubaa umri unakwenda shauri yako...Tutaaminije huyo ni mke wa mtu?
Kuna tofauti kubwa sana kati ya MKE wa mtu na MALAYA wa mtu...
Ni chai tu kama chai nyingine za vijana wa JF...
Nina wake wanne na michepuko sita... wananitoshaChangamkia ndoa hapo madam Asprin acha kuzubaa umri unakwenda shauri yako...
ujinga mkubwa ni huu sasaKumekuwa na wimbi kubwa sana siku hizi kuhusu wake za watu kutongoza vijana. Mara nyingi mimi kama kijana nakumbana na hii kadhia mara nyingi sana, na hasa hasa kutoka mitandao ya kijamii na mitaani pia.
Unakuta mmama mtu mzima anamtongoza kijana bila hata ya hofu na aibu, mama kimtazamo anajistiri. Unaweza ukasema
Acha masihara weweNina wake wanne na michepuko sita... wananitosha
Nyuki wa mashine unatupigia keleleKumekuwa na wimbi kubwa sana siku hizi kuhusu wake za watu kutongoza vijana. Mara nyingi mimi kama kijana nakumbana na hii kadhia mara nyingi sana, na hasa hasa kutoka mitandao ya kijamii na mitaani pia.
Unakuta mmama mtu mzima anamtongoza kijana bila hata ya hofu na aibu, mama kimtazamo anajistiri. Unaweza ukasema huyu ndo mke sasa. Mama ana watoto watatu wanne lakini kijana ana miaka 20-25 ni makamu ya mtoto wake wa kumzaa lakini
Hivi kumbe wewe ni madam aspirin!Nina wake wanne na michepuko sita... wananitosha
Hapana. Naona jamaa alitaka nimuoe ndo maana nimemwambia tayari nina wake wanne...hivi kumbe wewe ni madam aspirin!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbeeHapana. Naona jamaa alitaka nimuoe ndo maana nimemwambia tayari nina wake wanne...
Amani kitu gani cha mtu uliwa na mtu chuma tu ndio huliwa na kutuHapana mkuu. Bora nisile ili niwe na Amani.