Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ngoja inipite kushoto hii Tandam.[emoji16]Hahahah chalii anaogopa scania
[emoji119][emoji119]kapige ukuni
Umeongea mkuu[emoji120]Ridhisheni wake zenu........
Wapeni mahaba na matunzo
Acheni kuchepuka hovyo hovyo in the name ya mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja... acheni visiranj vya hovyo(haswa mkishapata micheps)
La sivyo
Wake zenu
Watauza mechi tu
Hamna namna
[emoji16][emoji16]aiseeee....Eti jimama nalo ladeka kama mtoto wa chuo mwaka wa piliEeh hizo basket fund ni muhimu sana kwa kujipush kimikakati[emoji28] wahuni wanalia lia na mizinga ya nyuklia huku vijana wanachezea bahati
Hhahahah jimama linadeka tena😃😃😃 mbona jau[emoji16][emoji16]aiseeee....Eti jimama nalo ladeka kama mtoto wa chuo mwaka wa pili
kwaiy wamaanisha wake za watu wanapigwa sana na ni jambo la kawaida?Bado hujakua vizuri.
Subiri ukue.
Atari mkuu[emoji16][emoji16]Hhahahah jimama linadeka tena[emoji2][emoji2][emoji2] mbona jau
Namaanisha kuambiwa hisia za mtu juu yako ni kawaida, kama unaona ndoa ni kikwazo hujakua vya kutosha.kwaiy wamaanisha wake za watu wanapigwa sana na ni jambo la kawaida?
Hili nalo neno.Sasa mzee Ana miaka 50
Na Ana mchepuko unategemea anaweza kumridhisha mkewe?!
on your own riskNitumie namba yake
Hili nalo neno.
sasa na wale ambao umri wa waume zao haujaenda sana kiasi kwamba wanakaribiana. Shida inakuwa nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]aiseeee....Eti jimama nalo ladeka kama mtoto wa chuo mwaka wa pili
Nakuona queen of DP[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpareeh wee huwataki majimama? Au ndo zako kuvizia 1St yr pale Magufuri hostel opposite na mawasiliano [emoji556]?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuona queen of DP