Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mkuu wanaposema mtu fulani mchawi...Hata mkeo anapigwa tu, ukitaka Kujua Dau la mke Jambo Dogo Sana Fanya kama umekosea muamala, ukitaka kuelewa zaidi njooo in box nikuelekeze, au kama unabisha nipe namba ya mke....nakupigia Mda huo yupo Geto analika.
Mbn mnatuchanganya au chama nianze kukisariti๐คNi ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia
Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana
Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .
Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .
Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Kufuli linaloweza kufunguliwa na kila FUNGUO halina thamani Ila funguo inayoweza fungua Kila Kufuli Ina thamani kubwa๐ชNi ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia
Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana
Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .
Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .
Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
๐คฃ๐คฃ๐คฃ pole sana mwanetuUsiku mwema
Kama hauamini Tuwekeane Kamali. 5m.Mkuu wanaposema mtu fulani mchawi...
Usizani mtu analoga au anawanga....
Ila tu hata huu unaofanya wewe ni uchawi
Nb ndo mana una macho mekundu ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Mmmmmmh hii kitu..Maadamu anacho kifanya kina mpa furaha ni vizuri sana, maisha kwa ujumla yana bebwa na dhana ya furaha na amani, sasa mtu anapoitafuta furaha unamuwekea ugumu kwa maslahi yako ni kiwango kikubwa cha ubinafsi.
Mkuu mbona unapenda ishu za hela hela tuu.Kama hauamini Tuwekeane Kamali. 5m.
Baba umetisha kunywa sodaaaaaYour dick is not the first to her, and it won't be the last one to her kwa hiyo kaa kwa kutulia mkuu
Mimi naamini ktk mambo 3Mkuu mbona unapenda ishu za hela hela tuu.
Umeanza kuongelea miamala na namba ya mke wa jamaa..
Sasa hivi et tuwekeane 5m ili u prove unavokula mke wa mtu
We kumbe jau ๐๐๐๐
You can never control natureNi ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia
Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana
Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .
Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .
Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Na kupeleka watoto wenu English Media.Msiwege mnaoa
Kuna wanawake wanatiwa huku na vijana ambao hata pesa hawana hi unazungumzia vipi...Mimi naamini ktk mambo 3
1.Pesa.
2. uwe umetulia ktk kutekeleza mambo yako.
3.Unawe Ubusara + Upole kiasi.
Malizia na kukaa chanika ๐๐๐๐Na kupeleka watoto wenu English Media.
The uncle of Matendo Manono.
Soma na 2 Nautafakari hilo ndo Jibu.Kuna wanawake wanatiwa huku na vijana ambao hata pesa hawana hi unazungumzia vipi...
Kuna jamaa niliwahi mfata nikamuuliza mbona wake za watu ndo wanaongoza sana kuliwa..
Jibu alilonipa ninkuwa. Wanaume mara nying huwa tunajisahau na kukinai mapema hiyo inasababisha kutomfanya mwenzako ainjoi ndio chanzo cha vyote..
Kama unazani pesa ni kigezo hapana mkuu kuliwa ni complex kuelewa imekuaje...
Kuna wengine ukiwapa dakika mbili tu akae na mke wako haijalishi una pesa au laah ni lazima atajiskia kutoa mzigo
And that is what makes life very interestingโworry, doubt, joy, sadness, thoughts, and so on.Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia
Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana
Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .
Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .
Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia