Wakenya, mna kipi cha kutushauri majirani zenu huu uchaguzi?

Wakenya, mna kipi cha kutushauri majirani zenu huu uchaguzi?

JPM anamuiga Kagame ambaye Kenya media na international communities zimekuwa zikimsifu. ukiangalia hamna tzofauti ya alichofanya JPM na Kagame kuanzia kuzuia mikutano ya vyama vya Upinzani mpaka kuwatia ndani wanasiasa wa Upinzani mpaka matumizi ya vyombo vya dola vya ulinzi kutishia Upinzani pia ballot stuffing and opposition votes stashing. Vijana wengi 35 and below (kwenye opposition strongholds) wamekuta majina yao hayamo on voting day though they were on registry list few days before! Ngoja tuone unafiki na reaction ya media zenu na international communities , JPM anaenda kuondoa term limit na serving term inaenda kuwa 7 years. He learns from the master himself!
Mbona umepanick na unataka kuambukiza watu panic zako?

Ok so asipoongeza muda utakumbuka huu utopolo wako? Kwanza aslong ana support ya watz almost 80% walasio shida kama unahasira sana hama nchi utuachie tz yetu.
 
unanisikitisha yaani unabisha hili JPM yuko more attacked by ur media than Kagame, Nationmedia kila siku inamsifu actuually ur media worships him!
By the way media za Kenya hazikuwa na Uhasana sana na Kikwete. Zilimpenda sana, hata mimi nilimpenda sana. Jinsi jamaa anapiga suti na tai, jinsi anaporomosha kiswahili sanifu na kizungu sanifu. Jinsi yuko diplomatic na marais wengine.

Jinsi anavyotangamana na nchi za nje. Alikuwa na a very good personality. Hata Obama aliwatembelea kabla ya kuja Kenya kwa sababu ya personality yake nzuri. Nakuhakikishia kwamba Obama hangekuja Tanzania kama jiwe ndiye angekuwa rais.

Halafu Jiwe alipochaguliwa, huo mwaka wa kwanza Wakenya wote walimpenda hata media zetu zilimsifia sana. Nakumbuka kwenye social media wakenya wakimsifia sana jiwe kwa kupigana na ufisadi. Jamaa kaenda kwenye port na kupata watu wanafanya ufisadi akawapiga kalamu.

Hio habari media yetu ilionyesha. Pia wakati mke wake alikuwa mgonjwa na Jiwe akampeleka Muhimbili hospital badala ya kumpeleka nje ya nchi, hio habari ilitangazwa kwenye media yetu. Lakini the last one or two years mambo yamebadilika.
 
By the way media za Kenya hazikuwa na Uhasana sana na Kikwete. Zilimpenda sana, hata mimi nilimpenda sana. Jinsi jamaa anapiga suti na tai, jinsi anaporomosha kiswahili sanifu na kizungu sanifu. Jinsi yuko diplomatic na marais wengine. Jinsi anavyotangamana na nchi za nje. Alikuwa na a very good personality. Hata Obama aliwatembelea kabla ya kuja Kenya kwa sababu ya personality yake nzuri. Nakuhakikishia kwamba Obama hangekuja Tanzania kama jiwe ndiye angekuwa rais.


Halafu Jiwe alipochaguliwa, huo mwaka wa kwanza Wakenya wote walimpenda hata media zetu zilimsifia sana. Nakumbuka kwenye social media wakenya wakimsifia sana jiwe kwa kupigana na ufisadi. Jamaa kaenda kwenye port na kupata watu wanafanya ufisadi akawapiga kalamu. Hio habari media yetu ilionyesha. Pia wakati mke wake alikuwa mgonjwa na Jiwe akampeleka Muhimbili hospital badala ya kumpeleka nje ya nchi, hio habari ilitangazwa kwenye media yetu. Lakini the last one or two years mambo yamebadilika.

Huu sasa ni unafiki waliokuwa mbele kushangilia COW walikuwa nani, tumeona unafiki wenu baada ya Mkapa kufariki mmeanza kumpamba kisa flights ban!? Ndo maana tunasema Kenya as a country has never been a friend but a rival with sinister motives. Jiwe pamoja na sham elections hajawahi kuikosea Kenya ni mtu asiyekubali kuwa short-changed ni mtu wa tit for tat (human nature) hajawahi kuanzisha mgogoro nanyi bali amekuwa aki-react accordingly, a thing that i have supported him 100%! kama grazing mfanyie kwenu kaka kuleta kuku then follow procedures na si mnaingiza kienyeji pay tax get certifications and see if u will be disturbed! kama flights ban was a matter of reciprocity according to BA! My friend, that is a brutal truth!

Even Uganda does that remember eggs and milk imports ban in Kenya! Kinachowafanya muanze kumchukia ni his prudence approach on the projects he has undertaken at home n regional n his willing to vie n win for big regional projects like SGR n EACOP pipeline a thing that has put corrupt Kenya in a bad limelight n disadvantaged position respectively as u thought u r untouchable!

Ujinga wenu kama kawaida! I agree he is undemocratic kama Kagame na kama aki-survive sanctions kutokana na huu uchaguzi usio huru basi sahau ur regional dominance as hii election ni break or make point for his government.
 
That's why we're Tanzania and you're Kenya. We're not alike, I see lots of you kwa fb, ig, YouTube mnajikuta mnajuua, ilhali nchi yenu ni uozo. Y'all so entitled, u do not know that. Bongo jana uyo lisu kaitisha maandamano nchi nzima, anataka raia ziache shughuli zao waingie kwa road wapate favors na sababu za wazungu kutuingilia, sasa hatukuitwaga wabongo for nuthn, ni raia tunotumia bongo, watu wako na mbishe zao, leo hii nmetoka chuga nilipopigia kura, ndio nmeingia moshi, maan, people are doing their things, and I expected this, a lot did.
CCM sio kanu buda, brains zilodesign hili lichama hazifanani kabisa na waasisi wa kanu. So y'all just chill and witness, and stop pretending like mnatujali saaana, sote tunajua ni wivu tu mko nayo.
Sio wivu hata kidogo. The damage CCM has done is huge. Tanzania was the last country in EA where you could say there was credible elections. Now that is gone. So far 200/264 CCM, 1 CHADEMA, 1 CUF. And Kenyan politicians are watching. The rigging that will go on in Uganda in this election and even Kenya in 2023 will be of unimaginable levels.

If Tanzania can do it this way, where elections don't mean anything, then we can do it better. There is no way Tanzania can rig elections better then Kenya and Uganda. I expect opposition to be wiped out in Uganda followed by Kenya. EAC will be a bastion of just autocratic men 😟
 
Advise is you're f*cked

Ccm power structure is too powerful and the Tanzanians want for change is too weak

Amani na utulivu has never brought changes/reforms in any country, ever!! and it will not get you the much needed change/reforms Tanzania needs

So nothing short of big protests where people are willing to dies and get seriously injured in the fight for change....and I don't think Tanzanians have that kind of resolve right now
Bingo....🤙
 
By the way media za Kenya hazikuwa na Uhasana sana na Kikwete. Zilimpenda sana, hata mimi nilimpenda sana. Jinsi jamaa anapiga suti na tai, jinsi anaporomosha kiswahili sanifu na kizungu sanifu. Jinsi yuko diplomatic na marais wengine. Jinsi anavyotangamana na nchi za nje. Alikuwa na a very good personality. Hata Obama aliwatembelea kabla ya kuja Kenya kwa sababu ya personality yake nzuri. Nakuhakikishia kwamba Obama hangekuja Tanzania kama jiwe ndiye angekuwa rais.


Halafu Jiwe alipochaguliwa, huo mwaka wa kwanza Wakenya wote walimpenda hata media zetu zilimsifia sana. Nakumbuka kwenye social media wakenya wakimsifia sana jiwe kwa kupigana na ufisadi. Jamaa kaenda kwenye port na kupata watu wanafanya ufisadi akawapiga kalamu. Hio habari media yetu ilionyesha. Pia wakati mke wake alikuwa mgonjwa na Jiwe akampeleka Muhimbili hospital badala ya kumpeleka nje ya nchi, hio habari ilitangazwa kwenye media yetu. Lakini the last one or two years mambo yamebadilika.

Ur take on this



EljPUoLXYAAvaMs


EljPU0WWoAAvBCf
 
Sio wivu hata kidogo. The damage CCM has done is huge. Tanzania was the last country in EA where you could say there was credible elections. Now that is gone. So far 200/264 CCM, 1 CHADEMA, 1 CUF. And Kenyan politicians are watching. The rigging that will go on in Uganda in this election and even Kenya in 2023 will be of unimaginable levels. If Tanzania can do it this way, where elections don't mean anything, then we can do it better. There is no way Tanzania can rig elections better then Kenya and Uganda. I expect opposition to be wiped out in Uganda followed by Kenya. EAC will be a bastion of just autocratic men [emoji45]
Kenya ni 2022 au 2023.

Lkn, upinzani wa bongo Wana hitilafu zao nyingi msee, ndio maana unaona raia zimemute kuwatetea, wamepunguza wafuasi wengi sana these 5 past yrs of jiwe.

Mambo ni mengi sana ya kukuelezea, sina huo muda, na hata kama ningekuwa na huo muda wa kuandika, hujataka kuamini kitu tofauti na unachowaza.
 
Kenya ni 2022 au 2023.
Lkn, upinzani wa bongo Wana hitilafu zao nyingi msee, ndio maana unaona raia zimemute kuwatetea, wamepunguza wafuasi wengi sana these 5 past yrs of jiwe.
Mambo ni mengi sana ya kukuelezea, sina huo muda, na hata kama ningekuwa na huo muda wa kuandika, hujataka kuamini kitu tofauti na unachowaza.
Chama kinapata vp wafuasi kama hakifanyi mikutano ya hadhara? Makongamano pia?
 
Tulio shinda uchaguzi huu ni sisi tusienda kupiga kura, maana tulijua kitacho tokea.
 
Mikutano ya hadhara sio source pekee ya wafuasi
Nitajie nchi moja duniani ambayo vyama vya siasa havifanyi mikutano ya hadhara na makongamano kueleza sera na kutafuta wafuasi wapya! Hiki ndo kinaenda kutokea AfDB, World Bank na IMF wanaenda kuzuia mikopo yote ya miradi iliyokubali kutoa Uwanja wa ndege wa Msalato na ring road havitajengwa! Ngoja tuone!
 
Hamwezi kwasababu moja tu ... Ukabila.
Nyie hamna demokrasia bali mna UKABILA.
Hampigi kura, Mnapigania nafasi kwa ajili ya MAKABILA yenu.
Watanzania siyo waoga lakini wengi wao WAMERUHUSU CCM ifanye uhuni kwa Upinzani kwa kutoenda kupiga kura wala kwa kutoingia barabarani. Watanzania na Wakenya ni tofauti sana huwezi kuelewa.
Wewe acha kuongea kama umebugia kinyesi, Watu wengi sana tumepiga kura mfano hapa tu mtaani kwangi karibu 97% tumepiga kura kwa lissu
 
Sasa nyie ndio mna demokrasia? Nyie ambao mnafutilia mbali kabisa upinzani? Nyie hamna tena demokrasia. Mmekuwa one-party state!
Brother achana nae huyo, ndio wale wale wanaodhani voting ni kama mechi ya mpira, Most of these guys wanashabikia tu kwasababu mama na baba nao wanashabikia, Ni kama ugonjwa wa kurithi.
 
That's why we're Tanzania and you're Kenya. We're not alike, I see lots of you kwa fb, ig, YouTube mnajikuta mnajuua, ilhali nchi yenu ni uozo. Y'all so entitled, u do not know that. Bongo jana uyo lisu kaitisha maandamano nchi nzima, anataka raia ziache shughuli zao waingie kwa road wapate favors na sababu za wazungu kutuingilia, sasa hatukuitwaga wabongo for nuthn, ni raia tunotumia bongo, watu wako na mbishe zao, leo hii nmetoka chuga nilipopigia kura, ndio nmeingia moshi, maan, people are doing their things, and I expected this, a lot did.
CCM sio kanu buda, brains zilodesign hili lichama hazifanani kabisa na waasisi wa kanu. So y'all just chill and witness, and stop pretending like mnatujali saaana, sote tunajua ni wivu tu mko nayo.
Sawa tumekusikika Agent, The problem is wchimpanzee kama wewe ni nguvu tu, ulichoongea hakina tofauti na mtu aliebugia kinyesi, totally false and fake
 
Sikuwahi kuona WIZI wa kitoto kama huu.
Ngoja uone economic sanctions Sasa especially half ya budget inatoka kwa mabeberu.
Maskini jeuri
 
Sio wivu hata kidogo. The damage CCM has done is huge. Tanzania was the last country in EA where you could say there was credible elections. Now that is gone. So far 200/264 CCM, 1 CHADEMA, 1 CUF. And Kenyan politicians are watching. The rigging that will go on in Uganda in this election and even Kenya in 2023 will be of unimaginable levels. If Tanzania can do it this way, where elections don't mean anything, then we can do it better. There is no way Tanzania can rig elections better then Kenya and Uganda. I expect opposition to be wiped out in Uganda followed by Kenya. EAC will be a bastion of just autocratic men 😟
Kenya hatuwezi kufanya ujinga mliofanya.
 
Back
Top Bottom