Hopeless thread ever!
Haupo utopolo zaidi ya huu wako. Kwa hakika ni bora ungekaa kimya tu jombi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hopeless thread ever!
na upo tayari na Kshs 14bln referendumWacha nikaisome. Nitakupa majibu
Ndivyo walivyokua wapinzani wa huku ndio maana kimewakuta hiyo ndio faida ya kupinga maendeleo walizani wanaikomoa ccm kumbe wanajikomoa wenyewe Watanzania sikuhizi hawapendi chama wanaangalia maendeleo yao.Vumilieni kwa sasa mkijiuliza ni wapi mlikosea na vipi mtarekebisha. Hapa Kenya tunawaangalia wanasiasa wakipiga siasa ila tushawajua kuwa hawana maslahi yetu kwa kazi yao bali ni matumbo yao.
Ur take on this
![]()
![]()
Hopeless kivipi, ukipata shida unasaidiwa au unafarijiwa na jirani yako wakati mwingine ushauri wake waweza kuwa wa maana kwa faida ya taifa lote.Hopeless thread ever!
I am Kenyan, I know Kenya will be worse. I know Kenyan politicians and their strategist are watching this are they are thinking that rigging does not have to be a secret it can be done in open and overwhelm anyone who is for a credible election. By 2022 state capture by politicians will be complete and there is nothing we will be able to do.Kenya hatuwezi kufanya ujinga mliofanya.
Tunaongea juu ya uchaguzi, wewe unataka tu kuwalaumu wapinzani. Hata wakati wa Kikwete hao wapinzani hawakukosa hitilafu. Waziri wa ulinzi anashinda kura kwa asilimia 76. Hesabu mingi za kura hazipatani.Kenya ni 2022 au 2023.
Lkn, upinzani wa bongo Wana hitilafu zao nyingi msee, ndio maana unaona raia zimemute kuwatetea, wamepunguza wafuasi wengi sana these 5 past yrs of jiwe.
Mambo ni mengi sana ya kukuelezea, sina huo muda, na hata kama ningekuwa na huo muda wa kuandika, hujataka kuamini kitu tofauti na unachowaza.
Itakuwaje tukiambiwa kuwa hawakuiba kura isipokuwa wananchi wameamua wenyewe.Tulizoea kuona CCM wakiiba kura kwenye kila uchaguzi ila awamu hii wamelawiti uchaguzi badala ya kuiba kura
Hivi eeeeh?Polisi wameshinda kwa kishindo
It's always like that
Nilisikia ila sijui kama niî kweli huko zrBtNi mkoa gani watu wamepigwa mabomu jana na leo?.
Kwa nini tuambiwe hivyo wakati kuna ushahidi wa waziwazi unaothibitisha kuwa CCM walilawiti uchaguzi huu? Kura fake kwa maelfu yake zimekamatwa waziwazi mchana kweupe,askari walikuwa wanawafukuza mawakala vituoni wakati wa kuhesabu kura,barua za mawakala hazikuletwa kwenye mamia ya vituo vya kupigia kura.Itakuwaje tukiambiwa kuwa hawakuiba kura isipokuwa wananchi wameamua wenyewe
Mkuu we hili halikuhusu? Naona umejitoa uhusika kana kwamba we hauhusiki MkuuLindeni demokrasia. Mpambane ili msipoteze demokrasia yenu. Tunawashauri kwamba msilale. Demokrasia ikifa basi ni ngumu kuipata tena. Mtatawaliwa na diktator kama vile Egypt au Russia wanatawaliwa na dictators. Hakuna upinzani katika bunge lenu. Hilo halijawahi kufanyika hata Somalia au South Sudan.
Nimesoma yoote
Your Govt is accusing the Kenyan govt? That is a very serious matter. Sasa mbona huwa unategemea media yetu ireport mambo mazuri yanayofanyika huko kwenu? Huoni hii ni uhasama unatengenezwa baina ya serikali hizi mbili?nimesoma yoote
Ni mkenya huyo huoni code number hiyo 254Mkuu we hili halikuhusu? Naona umejitoa uhusika kana kwamba we hauhusiki Mkuu
Au we ni Mkenya?
Tunaongea juu ya uchaguzi, wewe unataka tu kuwalaumu wapinzani. Hata wakati wa Kikwete hao wapinzani hawakukosa hitilafu. Waziri wa ulinzi anashinda kura kwa asilimia 76. Hesabu mingi za kura hazipatani.
Sorry! but you deserved such a backlash for you underestimated the feelings and basic wishes and needs of the people of which you thought for their support.I am really dissapointed seeing my once peaceful country turning into a state of using too much maguvu rather than using and abiding to fair elections, really sad! Airplames, roads, bridges, etc you name it, They really dont matter if there is no freedom of citizens.
The disadvantages of having no opposition parties in parliament gives me chills.
Tufarijiane na kuoeana ushauri in this pandemic that has never been seen in tz.