Wakenya, ni mjinga pekee ndiye anaharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe

Wakenya, ni mjinga pekee ndiye anaharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe

Baada ya muda Fulani Kenya itakuwa kama America na Ulaya katika maswala ya democracy, mifumo ya uongozi n.k

Ni hatua kuelekea kukua
Jidanganye endelea kujidanganya.
Kenya ni nchi ya wezi tu,kila ataeingia madarakani ni sawa na aliyetoka.
Hayo maandamano hayajaanza leo na hayakuleta impact yeyote.
Na mbaya zaidi Kenya ni nchi ya tribalism na nepotism.
Unatarajia democracy na mifumo bora ya uongozi itakujaje?
Nchi ambayo imeongozwa na makabila mawili tu toka izaliwe kwa kuendekeza ukabila!?
 
Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe.

Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe.

Demokrasia ya Kenya haina balance haieleweki polisi hawaeleweki yaani usalama wa nchi hauleweki.

Haeleweki mwenye nguvu ni nani.

That's not democracy
Nimekuelewa mkuu
Kenya wametuzidi kwenye mambo mengi lakini kwenye suala la ulinzi na usalama tumewazidi sana wana la kujifunza kwetu
Ruto ni rais bora sana akitoka ndiyo watafahamu hilo
Lakini Ruto na serikali yake wanafeli kutoshughulikia hawa watu
Mmeandanmana kwa hoja na tumejibu hoja lakini mnakuja na sababu nyingine tofauti wizi, kupambana na askari na kuchoma mali za uma nyie ni wahalifu tutawatreat kama wahalifu wengine
 
😂😂😂😂😂😂😂Viwanda ndio fursa pekee!?
Kwa hiyo mkuu watu wajipange wakisema kuwa fursa nzima iko kwa viwanda!?
Sio fursa pekee mkuu ila ni moja wapo za fursa.
 
Potential bimaana fursa.
Fursa ni chache sana Kenya.

..Wakenya wako ambitious na aggressive kwa wanaweza kutengeneza fursa mahali ambapo unaona hakuna fursa.

..Kwa mfano, sasa hivi maeneo mengi ambayo iliaminiwa hayafai kwa kilimo Kenya wameanza kulima kwa kutumia teknolojia ya umwagiliaji, na wanafuga wanyama wachache lakini wenye tija.

..Wakenya wanazalisha maziwa mengi kuliko nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Lakini wao ndio wenye ardhi isiyo rafiki kwa kilimo na ufugaji kuliko nchi zote ktk jumuiya.
 
NA WW KAPANDE V8 ZILIZONUNULIWA KWA KODI ZAKO.

Kununuliwa kwa hela zako haimaanishi kuwa ni vyako.

Kama hauna D mbili hautanielewa
 
..Wakenya wako ambitious na aggressive kwa wanaweza kutengeneza fursa mahali ambapo unaona hakuna fursa.

..Kwa mfano, sasa hivi maeneo mengi ambayo iliaminiwa hayafai kwa kilimo Kenya wameanza kulima kwa kutumia teknolojia ya umwagiliaji, na wanafuga wanyama wachache lakini wenye tija.

..Wakenya wanazalisha maziwa mengi kuliko nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Lakini wao ndio wenye ardhi isiyo rafiki kwa kilimo na ufugaji kuliko nchi zote ktk jumuiya.
Sio Wakenya wakawaida bali washika nchi ndio wanaofanya hayo.
 
..Wakenya wako ambitious na aggressive kwa wanaweza kutengeneza fursa mahali ambapo unaona hakuna fursa.

..Kwa mfano, sasa hivi maeneo mengi ambayo iliaminiwa hayafai kwa kilimo Kenya wameanza kulima kwa kutumia teknolojia ya umwagiliaji, na wanafuga wanyama wachache lakini wenye tija.

..Wakenya wanazalisha maziwa mengi kuliko nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Lakini wao ndio wenye ardhi isiyo rafiki kwa kilimo na ufugaji kuliko nchi zote ktk jumuiya.
Mkuu upo sahihi mno
 
Jidanganye endelea kujidanganya.
Kenya ni nchi ya wezi tu,kila ataeingia madarakani ni sawa na aliyetoka.
Hayo maandamano hayajaanza leo na hayakuleta impact yeyote.
Na mbaya zaidi Kenya ni nchi ya tribalism na nepotism.
Unatarajia democracy na mifumo bora ya uongozi itakujaje?
Nchi ambayo imeongozwa na makabila mawili tu toka izaliwe kwa kuendekeza ukabila!?

sijajidanganya bali ni vile mimi nimeona na kwa kuzingatia hatua za maendeleo ya mwanadamu kihostoria.

Sijaandika kwa kuhemka bali nime zingatia uzoefu na historia ya hatua za ujuaji na maendeleo.

u wewe za usielewe sasa ukaja kuelewa badae.
 
..wanaofanya hayo ni wakulima wadogo, na wa ngazi ya kati.

..nakupa challenge. tembelea maonyesho ya kilimo Nairobi, na maonyesho ya Nanenane, halafu njoo utoe mrejesho.
Lete takwimu mkuu.
Maana Mie nimeongea kitakwimu,tuletee takwimu ya usemacho.
Maana kama Kenya wanageuza pasipo na fursa kuwa na fursa mbona Kenya hukumbwa na balaa njaa kila mara!?
Tena Turkana ndio wanaongoza kwa balaa njaa hapo Kenya.
 
sijajidanganya bali ni vile mimi nimeona na kwa kuzingatia hatua za maendeleo ya mwanadamu kihostoria.

Sijaandika kwa kuhemka bali nime zingatia uzoefu na historia ya hatua za ujuaji na maendeleo.

u wewe za usielewe sasa ukaja kuelewa badae.
Umejidanganya mkuu kwasababu kwa maandamano yaliyofanyika Kenya basi kama progression ingeshafanyika.
Lile tukio la 2007 lilikua tukio tosha la kuleta mabadiliko Kenya,je yamekuja hayo mabadiliko!?
Au hiko kitu cha evolution kina happen gradually kwa Kenya tu!?
Taifa lenye nepotism kugawana kazi kwa kujuana na tribalism kupeana favor kwa kikabila KAMWE HUWEZI LIONA LINAPIGA HATUA.
Chukua mfano wa Ethiopia na Somalia.Ethiopia ina ukubwa wa mdomo tu ila ni taifa la watu masikini wanaokimbia taifa Lao kila leo.
Wamefika pale kwa kuanzia kama Kenya,nepotism na tribalism ndipo imewafikisha pale.
 
Hao wanao pinga matumizi mabaya ya kodi yao, au hawa walioko Tanzania?

Kenya’s President Ruto Reveals Plans to Borrow More After Tax Bill Withdrawal- $2.7 billion. Hii ndo akili?

Kenya’s President Ruto Reveals Plans to Borrow More After Tax Bill Withdrawal​


 
Wakenya wana akili sana, wanajua hivyo vitu wanavyoharibu thamani yake ni ndogo ukilinganisha na mapesa mengi wanayokula wanasiasa wa serikali ya Ruto.

Hii ndo akili:​

Kenya’s President Ruto Reveals Plans to Borrow More After Tax Bill Withdrawal - $2.7 billion.​

 
Back
Top Bottom