Wakenya, ni mjinga pekee ndiye anaharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe

Wakenya, ni mjinga pekee ndiye anaharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe

Unaijua tz vizuri au unaijua baadhi ya mikoa tu yenye nafuu?
Bro huwenda ulienda Kenya ila ukakaa sehemu moja ukaganda.
Ungetembea uone.
Kenya ni miongoni mwa nchi yenye makazi duni duniani ya kutisha ulimwenguni.
Kafuatilie Kibera slums kaka na ujue ina wakazi wangapi wanaolala katika nyumba za mabati chakavu yenye kutu.
 
Jidanganye nasema kaka jidanganye.
Kama Kenya masikini sio wengi watu wasingeandamana kisa uhaba wa unga wa ugali.
Kenya inawazawa wenye uchumi mzuri tofauti na Tz iliyo tawaliwa na jamii za watu wa Asia.
 
Kwa taarifa yako mimi nimefanyakazi huko zaidi ya miaka 5 kwenye project za wafugaji na wakulima hivyo naweza kusema naijua Kenya na Wakenya kwa kiasi fulani. Pole nilifikiri ni dada niliangalia vibaya picha kwenye status yako.
😂😂😂😂😂😂Hiyo picha ya captain jack sparrow wa pirate of carrebean.
 
Bro huwenda ulienda Kenya ila ukaa sehemu moja ukaganda.
Ungetembea uone.
Kenya ni miongoni mwa nchi yenye makazi duni duniani ya kutisha ulimwenguni.
Kafuatilie Kibera slums kaka na ujue ina wakazi wangapi wanaolala katika nyumba za mabati chakavu yenye kutu.
Mzazi wangu mmoja ana asili ya kikuyu , kwa Tz ni jamii gani hata kwa ukaribu tu inaweza wapata wakikuyu kwa uchumi?
 
Mzazi wangu mmoja ana asili ya kikuyu , kwa Tz ni jamii gani hata kwa ukaribu tu inaweza wapata wakikuyu kwa uchumi?
😂😂😂😂😂😂😂Aisee hao Wakikuyu si nawapa wahaya tu inatosha!?
 
Ni kweli walipaswa kugoma tuu na kuchoma matairi tuu na si kuharbu miundombinu

Ila uharbu huo hutafsir hisia zao za kweli za mgomo wao
 
Hao Wakikuyu wenyewe ni wanasiasa kama familia ya kina Kenyatta ndio matajiri.
Mkuu ifuatilie Kenya vizuri.
Unajua kuwa jamii za wachaga wamejifunza biashara kwa Wakikuyu?
 
Unajua kuwa jamii za wachaga wamejifunza biashara kwa Wakikuyu?
Hata China ilijifunza kuunda ubora wa bidhaa kutoka Germany.
Ila sasa hivi nani anamzidi China kibiashara na uundaji wa vitu!?
 
Aya mkuu tetea kwa kina bimkubwa.
Ila Kenya ni nchi ya masikini wengi sana.Tena ule ukanda wa Turkana unanuka njaa mpaka watu huchemsha mabuyu kama chakula.
Mwamba ngozi huvutia kwake ,mimi mwenyewe ni mtanzania ila ukikaa tu dr utaona Nchi nzima ni matajiri.
 
Mwamba ngozi huvutia kwake ,mimi mwenyewe ni mtanzania ila ukikaa tu dr utaona Nchi nzima ni matajiri.
Mkuu Mie nimekutana na Wakenya wengi waliokuja kusaka maisha huku.
Kigamboni wapo lukuki na hata Yemeni pale kuna walimu Wakenya ila sijajua kama washaondoka ama laah.
Kenya ione hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom