Wakenya, ni mjinga pekee ndiye anaharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe

Wakenya, ni mjinga pekee ndiye anaharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe

wana akili sana kuliko unavyo fikiria...

haya unayoyaona ni mipango na kuna nchi zitatoa hela za kutosha kenya itapata kukopeshwa pes nyingi sababu ya hizi vurugu maana bila hivyo wangepata tabu saana kuendesha nchi madeni ni mengi!

ila kupitia maandamano haya kwanza naona matajiri wengi wa kenya hawataitaka siasa tena kenya na wataokuwa madarakani hawata wadharau tena wananchi heshima inajegwa kwa mbilinge mbilinge kama hilo..nchi zote duniani zilizoendelea na tunazozisifia sasa hivi kidemocrasia zilipitia tanuri la moto kama kenya..

mimi binafsi nawasifu sana vijana wa kenya wametuwakilisha vyema east africa na ni hakika kwenye vikao vya viongozi wetu ikulu huko wamekwisha kuonyana kwa yale yanayotokea kenya.!
Jidanganye kaka.
Kenya sasa hivi ina madeni yasiyo himilifu hakuna anayeweza kuwakopesha kirahisi.
Pia kwa kinachotokea teyari kimeshaanza kufukuza wawekezaji.
Hili linalotokea sasa sio la kwanza,mwaka 2007 unakumbuka kilichotokea kiasi watu walikufa?
Mpaka Uhuru Kenyatta akapelekwa ICC!?
Mbona hakikubadilisha kitu Kenya ilibaki vile vile na mambo yakajirudia yale yale!?
Hiyo siyo mara ya kwanza Kenya kufanyika maandamano na hakikubadilisha kitu.
 
Unamfanyiaje ustaarabu fisi wa madoa doa🫠
😂😂😂😂😂Unaona ni sahihi!?
Wanajiumiza wenyewe na wanajitia umasikini wenyewe.
Aya ngojea tuone.
Maana uharibifu wanaoleta utawapa sababu hao wanasiasa kuongeza tena sifuri katika bajeti ya kurekebisha walivyoharibu.
 
Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe.

Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe.

Demokrasia ya Kenya haina balance haieleweki polisi hawaeleweki yaani usalama wa nchi hauleweki.

Haeleweki mwenye nguvu ni nani.

That's not democracy
Wanasema wenyewe eti ndio Demokrasia...Uozo mtupu
 
😂😂😂😂😂Unaona ni sahihi!?
Wanajiumiza wenyewe na wanajitia umasikini wenyewe.
Aya ngojea tuone.
Maana uharibifu wanaoleta utawapa sababu hao wanasiasa kuongeza tena sifuri katika bajeti ya kurekebisha walivyoharibu.
Jua hiviii ngozi mkaa full laanaa,tunachoweza kula kwa urefu wa kamba
 
Kenya mshaharavwa Rais,Naibu wake na wengine inajulikana ila kwa Tanzania ni siri.sasa Taifa la namna hii ni Taifa kweli??
Bro kheiri ya Tanzania tunang'atwa na kupulizwa.
Ila Kenya kuna UFISADI uliokithiri.
Hivi unajua kuwa walimu huwa wanakosaga mishahara muda mwingine huko Kenya!?
Sasa jiulize bajeti inayopangwa Kenya inafanyiwa nini ilhali hakuna kinachoendelea na deni linazidi kupata!?
Kenya muda mwingine inakopa ili ilipe deni.
Mwaka huu washa sign Eurobond ili kusave thamani ya pesa yao na kujiokoa na madeni.
Deni lao ni 60%+ ya GDP yao.
Sasa ukitizama jiulize hizo pesa zinazokopwa zinafanyiwa nini!?
-Mafuta Kenya bado yako juu 1.2k zaidi ya bei yetu ya mafuta.
-Kenya kuna baadhi ya watumishi wa umma hususan walimu hukosa mishahara.
-Kenya kodi zimezidi hadi kwenye vyakula.
-Kenya hii iliishiwa akiba ya fedha za kigeni kiasi ikaja kuomba Tanzania.
-Kenya hii mwaka huu iliishiwa DAWA ZA TB hospitali zao za serikali wakaja kuomba TANZANIA tukawapa.

Sasa kaka pimia hapo sisi na Kenya bora wapi!?
 
Kenyatta alisema
1. Waganda wajinga wakielimishwa watakuwa welevu na kujua haki zao
2. Wakenya wamelala usingizi, wakiamka watadai hai zao na watazipata
3. Watanzania ni maiti, mizoga, maiti haziwezi kufufuka.

wewe uko wapi?
Huyo aliyeongea hivyo ameimilikisha familia yake ardhi kubwa ya Kenya ambayo kama ikigawanywa basi ni Malaki ya raia watapata ardhi.
Huyo anayesema hivyo ameifisidi sana Kenya hadi kufikia sasa.
Sasa jiulize ufisadi wa Kenya na Tanzania unafanana?
Hapo utapata jibu kati ya Watanzania na Wakenya nani maiti.
 
Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe.

Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe.

Demokrasia ya Kenya haina balance haieleweki polisi hawaeleweki yaani usalama wa nchi hauleweki.

Haeleweki mwenye nguvu ni nani.

That's not democracy
Labda wanataka yawe magofu kama Walibya wanavyojuta sasa hivi kwa kuharibu nchi yao na waliokuwa wanawadanganya, Wamarekani wamewaacha solemba!
 
Wakenya kuwalinganisha na wa tz unawakosea heshima wakenya.
Wakenya wengi ni masikini sana wanafikiri kula tu hali zao ni mbaya sana mali ziko mikononi mwa wageni na wakenya wachache hasa wanasiasa
 
Kenya maskini sio wengi kama tanzania, pia kenya watu wenye uwezo wa kiuchumi ,kielimu na wenye ujuzi bora bado ni wengi kuliko Tz.
Hahaha. Dada huelewi mambo mengi sana. Wakenya wengi hali zao ni mbaya sana ndio maana wanaishi kwenye mabanda ya mabati hapo Nairobi siyo kwamba wanapenda ila ardhi yote imechukuliwa na wazungu,wahindi, waraabu na wakenya wachache. Ndio maana hao vijana wanachoma mali za hao wenye mali hawana cha kupoteza wanahasira na wenyenacho. Hapa Tz ardhi ni bwerere hakuna umasikini kama wakenya walio wengi mali nyingi ni za wazungu, wahindi na wanasiasa wachache tofauti na TZ. Tuipende nchi yetu tuko kwenye right track.
 
Hahaha. Dada huelewi mambo mengi sana. Wakenya wengi hali zao ni mbaya sana ndio maana wanaishi kwenye mabanda ya mabati hapo Nairobi siyo kwamba wanapenda ila ardhi yote imechukuliwa na wazungu,wahindi, waraabu na wakenya wachache. Ndio maana hao vijana wanachoma mali za hao wenye mali hawana cha kupoteza wanahasira na wenyenacho. Hapa Tz ardhi ni bwerere hakuna umasikini kama wakenya walio wengi mali nyingi ni za wazungu, wahindi na wanasiasa wachache tofauti na TZ. Tuipende nchi yetu tuko kwenye right track.
Nakubali Tanzania serikali yake inazingua,ila kiuhalisia tuna uafadhali sana kuliko Kenya.
 
Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe.

Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe.

Demokrasia ya Kenya haina balance haieleweki polisi hawaeleweki yaani usalama wa nchi hauleweki.

Haeleweki mwenye nguvu ni nani.

That's not democracy
pesa zao au za wanasiasa?
 
Hahaha. Dada huelewi mambo mengi sana. Wakenya wengi hali zao ni mbaya sana ndio maana wanaishi kwenye mabanda ya mabati hapo Nairobi siyo kwamba wanapenda ila ardhi yote imechukuliwa na wazungu,wahindi, waraabu na wakenya wachache. Ndio maana hao vijana wanachoma mali za hao wenye mali hawana cha kupoteza wanahasira na wenyenacho. Hapa Tz ardhi ni bwerere hakuna umasikini kama wakenya walio wengi mali nyingi ni za wazungu, wahindi na wanasiasa wachache tofauti na TZ. Tuipende nchi yetu tuko kwenye right track.
Kwanza mimi sio dada ni mwanaume pili nmeishi kenya nawajua ,Tz pia nawajua vizuri .
1720032664080.jpg
 
Wakenya wengi ni masikini sana wanafikiri kula tu hali zao ni mbaya sana mali ziko mikononi mwa wageni na wakenya wachache hasa wanasiasa
Unaijua tz vizuri au unaijua baadhi ya mikoa tu yenye nafuu?
 
Kwanza mimi sio dada ni mwanaume pili nmeishi kenya nawajua ,Tz pia nawajua vizuri .View attachment 3032804
Kwa taarifa yako mimi nimefanyakazi huko zaidi ya miaka 5 kwenye project za wafugaji na wakulima hivyo naweza kusema naijua Kenya na Wakenya kwa kiasi fulani. Pole nilifikiri ni dada niliangalia vibaya picha kwenye status yako.
 
Back
Top Bottom