Kenya ni nchi yenye potential finyu ndio maana wanahangaika nje kuliko ndani.Wakenya wanajua kuisaka pesa na sio waoga wakujifungua kenya tu, hata nchi ninayoishi majirani zangu wote ni wakenya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya ni nchi yenye potential finyu ndio maana wanahangaika nje kuliko ndani.Wakenya wanajua kuisaka pesa na sio waoga wakujifungua kenya tu, hata nchi ninayoishi majirani zangu wote ni wakenya.
Wakikuyu ni wafanya biashara wazuri na wanamiliki makampuni makubwa kenya na njee ya kenya kina bwana James mwangui, Peter munga wa equity bank, sk macharia wa Royal media,Chris kirubi na nk.Mkikuyu yupi!?
Wakawaida au mwanasiasa!?
Umefika Arusha ukaona vijana wa Arusha walivyochoka wakachakaa na Hilo ni Moja kati ya jiji tunaloliiita kubwa tanzaniaBro huwenda ulienda Kenya ila ukakaa sehemu moja ukaganda.
Ungetembea uone.
Kenya ni miongoni mwa nchi yenye makazi duni duniani ya kutisha ulimwenguni.
Kafuatilie Kibera slums kaka na ujue ina wakazi wangapi wanaolala katika nyumba za mabati chakavu yenye kutu.
Hayo makampuni ya kawaida kaka hata Tz wapo pia wa namna hiyo kaka.Wakikuyu ni wafanya biashara wazuri na wanamiliki makampuni makubwa kenya na njee ya kenya kina bwana James mwangui, Peter munga wa equity bank, sk macharia wa Royal media,Chris kirubi na nk.
Mkuu wa tz wengi sasa ivi ndio wanafunguka kuzisaka fursa njee ,na wanamiminika mafungu kwa mafungu.Kenya ni nchi yenye potential finyu ndio maana wanahangaika nje kuliko ndani.
View attachment 3032836
itakua ni watanzaniaMkuu umekosea unamanisha wa Kenya au Watanzania?
Sawa ila Kenya ina potential ndogo kaka.Mkuu wa tz wengi sasa ivi ndio wanafunguka kuzisaka fursa njee ,na wanamiminika mafungu kwa mafungu.
Hao nilio wataja wakija tz ni weusi ila hawakosi tano mpka kumi bora ujue.Hayo makampuni ya kawaida kaka hata Tz wapo pia wa namna hiyo kaka.
Ila tafuta uwiano wa hao na wasionacho kesha uone.
Unataka wawili kati ya 20000 mkuu!?
Aaaagh wee thubutu mkuuu.Hao nilio wataja wakija tz ni weusi ila hawakosi tano mpka kumi bora ujue.
Ni kweli unachosema bro ila wa tz sisi kwa mdomo tupo vizuri ila wa kenya ni vitendo japo ukiwa kenya ukizembea kuwa maskini wakutupwa ni rahisi kuliko tz kutokana na mfumo wao wa kibepari.Sawa ila Kenya ina potential ndogo kaka.
Kumi bora yetu no mweusi mengi na Ali mafuruki walitubeba kakaAaaagh wee thubutu mkuuu.
Tano au kumi bora!??
Acha utani kaka.
Ila ujue nini?Tufanye umeshinda kaka Kenya matajiri.
Polepole mkuu😁Nyie makondoo ya Tanganyika endeleeni kutunza mali za maharamia. Sina matumaini kama myaamka makondoo butu
Inaumaaaa . Wabongo wako sawa na wazimbabwePolepole mkuu😁
😂😂😂😂😂😂Bora kujifanya mfu kuliko kujifanya shujaa wa vita usiyoshinda.Nyie makondoo ya Tanganyika endeleeni kutunza mali za maharamia. Sina matumaini kama mtaamka makondoo butu
Huwezi tufananisha na Wazimbabwe.Inaumaaaa . Wabongo wako sawa na wazimbabwe
nimeona Mombasa wanaharibu na kuchoma magari ya watu binafsi yaliyopaki barabarani, na polisi wapo wanatoa macho tu, he hapo hayo magari yamewatendea kosa gani?Wakenya wana akili sana, wanajua hivyo vitu wanavyoharibu thamani yake ni ndogo ukilinganisha na mapesa mengi wanayokula wanasiasa wa serikali ya Ruto.
Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe.
Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe.
Demokrasia ya Kenya haina balance haieleweki polisi hawaeleweki yaani usalama wa nchi hauleweki.
Haeleweki mwenye nguvu ni nani.
That's not democracy
Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe.
Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe.
Demokrasia ya Kenya haina balance haieleweki polisi hawaeleweki yaani usalama wa nchi hauleweki.
Haeleweki mwenye nguvu ni nani.
That's not democracy
Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe.
Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe.
Demokrasia ya Kenya haina balance haieleweki polisi hawaeleweki yaani usalama wa nchi hauleweki.
Haeleweki mwenye nguvu ni nani.
That's not democracy