Wakenya Tupeni Uzoefu Wenu Kuhusu Passport

Wakenya Tupeni Uzoefu Wenu Kuhusu Passport

Ila hii nchi ina watu wajinga na wadhaifu kuliko watu wote chini ya Jua na nchi mbalimbali.
Watu wanaburutwa na mifumuko ya bei, ufisadi, hali duni, elimu mbovu, hakuna ajira, on top of that mambo ya passport tena?
watu wapo tu yani wapo tu

Nakuhakikishia kuwa Danganyika inaongoza kuwa na watu wajinga wengi


kama unabisha ntajie nchi 1 yenye ujinga kuzid Bongo
 
Ila hii nchi ina watu wajinga na wadhaifu kuliko watu wote chini ya Jua na nchi mbalimbali.
Watu wanaburutwa na mifumuko ya bei, ufisadi, hali duni, elimu mbovu, hakuna ajira, on top of that mambo ya passport tena?
watu wapo tu yani wapo tu

Nakuhakikishia kuwa Danganyika inaongoza kuwa na watu wajinga wengi


kama unabisha ntajie nchi 1 yenye ujinga kuzid Bongo
Sasa upewe passport huna safari, Ya nini? ID card ndo haki yako!
 
Sera ya nchi ni kumfanya Mtanzania awe fukara zaidi. Ni marufuku kwenda kusaka malisho mabichi nje ya nchi.
Mkuu, hivi utajiri unapatikana kwa kusafiri "aimlessly?". Sera ya nchi yetu ni kutoa passport kwa mtu mwenye sababu za msingi za kutaka kusafiri, ukiwa na sababu za kusafiri ndio unapewa passport.

Mkuu jaribu kufika CapeTown pale "Freedom square" uone jinsi watanzania wanavyoidhalilisha Tanzania, hutaki hata ujulikane Kama wewe ni mtanzania ukifika pale, wale jamaa wengi hawana passport, au walizipata kwa njia haramu.
 
Ila hii nchi ina watu wajinga na wadhaifu kuliko watu wote chini ya Jua na nchi mbalimbali.
Watu wanaburutwa na mifumuko ya bei, ufisadi, hali duni, elimu mbovu, hakuna ajira, on top of that mambo ya passport tena?
watu wapo tu yani wapo tu

Nakuhakikishia kuwa Danganyika inaongoza kuwa na watu wajinga wengi


kama unabisha ntajie nchi 1 yenye ujinga kuzid Bongo
Mbona hasira Sana?, wewe Kama unasafari nje ya nchi kwa lengo jema na la msingi, nenda uhamiaji ujieleze utapewa, au unataka Kila mtu apewe passport Ili waende wakajiunge na vikundi vya ugaidi huko Somalia, Nigeria, Msumbiji na Afghanistan?
 
Huku Kenya unapata passport wakati wowote unahitaji passport ata kama utakufa bila kuwahi itumia hiyo passport.
Bora uwe na passport fee na vyeti vinavyohitajika..
Birth Certificate.
Parents IDs + Birth certificate etc..

Kenya pia imekubali uraia pacha kwa wanainchi wote hadi watoto
 
Screenshot_20230511_103241_com.android.chrome.jpg
 
Huku Kenya unapata passport wakati wowote unahitaji passport ata kama utakufa bila kuwahi itumia hiyo passport.
Bora uwe na passport fee na vyeti vinavyohitajika..
Birth Certificate.
Parents IDs + Birth certificate etc..

Kenya pia imekubali uraia pacha kwa wanainchi wote hadi watoto
Ndio sababu Kenya is ranked poorly on security, Globally Tanzania is ranked position 54, while Kenya 125.
 
Sasa upewe passport huna safari, Ya nini? ID card ndo haki yako!
"Jasho jingi wakati wa mazoezi, damu kidogo wakati wa vita"

Kuna dharura zisizoweza kusubiria uanze mchakato wa kutafuta passport.

Ukiwa nayo tayari tayari, inakurahisishia na kukuepusha na usumbufu.

Fikiria, kwa mfano, mtu anaishi Bukoba, na "Jioni" akapata taarifa kuwa "kesho" atahitajika Kampala, unafikiri ataweza kufanikisha hiyo safari? Kama hana passport, siyo rahisi.
 
Huku Kenya unapata passport wakati wowote unahitaji passport ata kama utakufa bila kuwahi itumia hiyo passport.
Bora uwe na passport fee na vyeti vinavyohitajika..
Birth Certificate.
Parents IDs + Birth certificate etc..

Kenya pia imekubali uraia pacha kwa wanainchi wote hadi watoto
Hongereni! Huku kwetu ni mtiti hasa!!!

Unaambiwa, "BILA DHUMUNI LA SAFARI HUKUNA KUPEWA PASSPORT"
 
Mbona me I applied mine wakati sina mpango wa kusafiri mazee.
Kuna mawili, ama "hadhi" yako ilikubeba, au kuna namna ulifanya tofauti na wengine. Uhamiaji hawataiprocess passport usipojibu hicho kipengele cha DHUMUNI LA SAFARI.

Mwaka 2013 niliichukua form Dar Es Salaam, lakini niliishia kwenda kuitunza ndani.

Nilikwama mambo mawili: BARUA YA MWALIKO YA KUTOKA NILIKOTAKA KWENDA pamoja na TIKETI YA NDEGE. Lakini mimi sikuwa nimepanga kusafiri kwa wakati huo, bali niliihitaji kwa ajili ya siku za mbeleni.

Mwanzoni mwa mwaka 2017, rafiki yangu aliyekuwa akifanya kazi nje, alinipa taarifa ya kuwepo kwa nafasi ya kazi huko alikokuwa, ambayo ilihitaji kujazwa haraka sana.

Hakuna lililowezekana. Sikuwa na passport.
 
Shida Iko wapi?
Passport ni kama.ID tu
Bora ulipie fee ata kama itaozea kwa nyumba .
Kwa mtu binafsi ni ID ila kwa serikali Kuna mambo mengi sana, Kumbuka raia akiwa nje ya nchi serikali inapoteza udhibiti juu yake lakini bado serikali Ina wajibu wa kumlinda Kama ilivyotokea Sudan.

Sudan kulikua na raia wa USA zaidi ya 13,000, pamoja na nguvu za kiuchumi za USA lakini hadi Leo haijaweza kuwasaidia wote, bado wanapambana kuwaondoa.

Raia anapokua nje ya nchi anakua anawakilisha nchi yake, angalia nchi ya Nigeria ilivyoharibu mahusiano yake ya kidiplomasia na nchi zingine duniani kwasababu tu ya tabia ya raia toka Nigeria wanavyojihusisha na vitendo haramu, nchi nyingi hivi Sasa hazitoi visa kwa raia toka Nigeria.
 
Back
Top Bottom