Wakenya Tupeni Uzoefu Wenu Kuhusu Passport

Mkuu, uraia pacha huutaki wewe, lakini huwezi kuuzua.
 
Uko sahihi
 
sasa mbona hawatoki kwenye umaskini wanaishia kwenye utapeli?
 

Visa ya marekani wanaiwekea vigingi navikwazo kana kwamba unaenda peponi. Lkn wakikubali kukupa, ni mwendo wa mwaka kwa mwaka, hata ukiomba ya kukakaa miezi 6.
 
sasa mbona hawatoki kwenye umaskini wanaishia kwenye utapeli?
Wanigeria taasii zote.za kimataifa wamejaa kibao ziwe za Africa, African Union au zote za umoja wa mataifa

Mnigeria akisoma hataki local certification ya nchi awe engineer,mhasibu nk anataka International certification kwenye fani yake
Watanzania wengi wako tu locally certified na bodi local za ndani ya nchi za kiswahili

Ikitokea post ya ajira ya kimataifa mtanzania kumshinda Mnigeria ni ndoto mtanzania lazima hata kuwa shortlisted asiweze
Wanigeria matapeli sio wasomi ndio maana hat ukitapeliwa kama ukiwa msomi wasomi wenzio wakihoji ulivyotapeliwa wataishia kutoa conclusion kuwa you are stupid.ndio maana ukatepeliwa
 
Hata Tanzania wapo, tena wengi tu, ambao ni maprofessional. Halafu wako punctual kwenye muda. Na hapo kwenye muda, namkumbuka mmoja wa Walimu wangu, Dr. Nwoye.
 
Mkuu, uraia pacha huutaki wewe, lakini huwezi kuuzua.
Siwezi kuuzuia ? Enheee, utafanikiwa lini? Toka lini umeanza kuombwa na haujaja ? Maisha mafupi haya bro, ukisubiri kitu miaka 50 manake kimeshindikana.

Mheshimiwa aliyefariki leo alikuwa anapigia chapuo jambo hilo kwa vile wanae wako nje allegedly, possibly true manake hatujawasilia kugawiwa vyeo serikalini. Alikuwa foreign minister miaka nane, kaka ake alikuwa Rais miaka 10, hawakuweza kulipitisha hilo jinamizi. Halafu unajipa moyo eti mimi ndio siutaki. Watu wanaoishi TZ ndio hawautaki. We got more pressing issues domestically.

How the hell can we possibly allow people in New Castle and New Hampire washike ardhi na kuwa displace, kuwanyima na kuwabananisha ardhi watu wanaoishi Simanjiro and Simiyu ?????? How dumb, how epically stupid would we be ?

Over our cold dead bodies.
 
Nothing is common but changes! The time will tell!!
 
Nothing is common but changes! The time will tell!!
Incumbent president IS NOT on board with that dual citizenship absurdity. She told you that in the face when she came over there last year. You have to wait a decade and pray that the next head honcho is for it. Meanwhile, we have pressing domestic priorities. Diaspora issues are the least of our worries. Just enjoy life there in Helsinki and Sydney, make the most of it, good luck, be safe. We are here fixing up this fatherland in Mbamba Bay.
 
Friend, why do you seem to be panicking?

By the way, I am not living in diaspora, but that does not make me fail to see the importance of our fellow Tanzanians living abroad being granted their right- DUAL CITIZENSHIP.

You should know that DUAL CITIZENSHIP is not a matter of leaders' preference, but a need of the time. It is inevitable. You can't compete with time.

Perhaps, "today's" leaders may reject it, but "tomorrow's" will not do the same.

Tanzanians deserve PASSPORT and DUAL CITIZENSHIP!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…