Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Akikujibu naomba unishtue, hata kama jibu ni la uwongo..!!Taifa gani halina wezi ughaibuni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu naomba unishtue, hata kama jibu ni la uwongo..!!Taifa gani halina wezi ughaibuni?
Watashindanaaa...lakini hawatoshinda...Subiri bajeti ya wizara ya mambo ya ndani itakaposomwa
Swala la passport litaibuka
Nimemuambia mwenzako kwamba, kabla hujachangia, jipe muda wa kujifunza, Wacha kutumia hisia na ushabiki.Unamdanganya nani wewe uhamiaji passport walizotoa hazifiki laki tano kwa taarifa zao wenyewe kwa vyombo vya habari na zimo humu
Hao watanzania milioni 1.6 wenye passport za Tanzania umewatoa wapi?
Hongera kwa kuthibitisha kuwa watu wenye fikra za UJAMAA ni wabinafsi sana.Kama ulivyo wewe mkuu, japo unajifanya uko na akili nyingi. Mimi ni mzalendo wa kweli, nilisoma vyuo vya Ulaya, lakini nilirudi kutumikia nchi yangu.
Mjibu hivi?, Ni taifa gani linalotoa passport huku likijua wazi kwamba hao raia wake wanakwenda kufanya uhalifu huko nje ya nchi?Akikujibu naomba unishtue, hata kama jibu ni la uwongo..!!
Mkuu, nilikwenda nikiwa na sababu zenye kukubalika, sikuenda kwenda kuzurura mitaani.Hongera kwa kuthibitisha kuwa watu wenye fikra za UJAMAA ni wabinafsi sana.
Umeshaenda Ulaya lakini u naona nongwa kwa Watanzania wengine kwenda.
Mkuu hata ulie vipi, kamwe halikubaliki kujichukulia passport kiholela, hii nchi sio "failed state", lazima tuwe na Sheria, kanuni na taratibu zetu zenye kulinda usalama, heshima na uaminifu wa nchi yetu.
Ili iweje?
Kuna mtu anaomba passport halafu akaandika sababu ya kusafiri ni kwenda kufanya uhalifu nje?Mjibu hivi?, Ni taifa gani linalotoa passport huku likijua wazi kwamba hao raia wake wanakwenda kufanya uhalifu huko nje ya nchi?
USA 🇺🇸, China 🇨🇳, UK 🇬🇧 ushushushu tu ni uhalifu namba mojaMjibu hivi?, Ni taifa gani linalotoa passport huku likijua wazi kwamba hao raia wake wanakwenda kufanya uhalifu huko nje ya nchi?
Ulaya aliyoenda itakuwa zile ya nchi za kikomunistiHongera kwa kuthibitisha kuwa watu wenye fikra za UJAMAA ni wabinafsi sana.
Umeshaenda Ulaya lakini u naona nongwa kwa Watanzania wengine kwenda.
Ili iweje?
Mhalifu anajukikana kwa kumtizama usoni au anakuwa mhalifu baada ya mahakama iwe ya Tanzania au nje kumthibitisha kuwa mhalifu?Kuna mtu anaomba passport halafu akaandika sababu ya kusafiri ni kwenda kufanya uhalifu nje?
Ni Korea ya Kaskazini pekee ndiyo inayoweza kukubaliana na mtazamo wako.Mimi nilikua na sababu za msingi kwenda Ulaya, huko nje Kuna watanzania zaidi ya 1.6M wanaishi kihalali na wamepewa passport, Kila siku watanzania kibao wanaokwenda China kufanya biashara na kurudi, nenda uhamiaji ona idadi ya passport zinazotolewa kwa siku, watu wenye sababu za msingi, huwezi kunyimwa passport, ila passport sio chupi, lazima itolewe kwa kuidhibiti.
Hivi wewe uko na akili timamu kutoa passport (exit visa) kwa kibaka wa pale Manzese bila kumuuliza lengo la safari yake ni nini?Kuna mtu anaomba passport halafu akaandika sababu ya kusafiri ni kwenda kufanya uhalifu nje?
Uzuri Mungu ni wa wote sio wa uhamiaji tuWatashindanaaa...lakini hawatoshinda...
Watu Kama wewe mtaendelea Sana kuwa jobless mitaani, serikali haifanyi kazi kwa maneno, serikali inafanya kazi kwa maandishi, leta barua ya mwaliko, au onyesha ushahidi wa kimaandishi kuonyesha sababu ya safari Ili upewe exit visa(Passport)Mhalifu anajukikana kwa kumtizama usoni au anakuwa mhalifu baada ya mahakama iwe ya Tanzania au nje kumthibitisha kuwa mhalifu?
Kwa hiyo mnawanyima watu passport kwa kuwaangalia tu usoni kama waganga wa kienyeji kuwa wakienda nje wanaenda kufanya uhalifu
Kuwa na watu wenye mawazo kama haya ofisi za Serikali sio sahihi
Serikali iwe inaajiri.watu sahihi na ku wa promote watu sahihi
Kibaka alishahukumiwa na mahakama ?una hati ya mahakama ya kuthibitisha kuwa yeye kibaka?Hivi wewe uko na akili timamu kutoa passport (exit visa) kwa kibaka wa pale Manzese bila kumuuliza lengo la safari yake ni nini?
Mkuu, wewe bado ni mtoto mchanga Sana, mnaishi kwa hisia na nadharia, hakuna nchi inayotoa passport bila sababu, Kama zipo basi ni nchi chache Sana, passport sio chupi mkuu.Ni Korea ya Kaskazini pekee ndiyo inayoweza kukubaliana na mtazamo wako.
Punguza hasira mkuu, ila ukweli utabaki ukweli, kwamba bila kuthibitisha sababu ya safari, hakuna Passport itatolewa.Kibaka alishahukumiwa na mahakama ?una hati ya mahakama ya kuthibitisha kuwa yeye kibaka?
Mifisadi na mijizi mikubwa hata inayotajwa ripoti za CAG mingine hadi jela imeenda mbona ina passport mlizowapa ?
Kama mifisadi certified ina passport kibaka mnashindwa nini kumpa?
Omba msamaha huwezi ita mtu kibaka wakati huna hati ya mahakama kuthibitisha hilo
Kibaka? Ulichangia kwa kiasi gani kuwafanya kuwa vibaka?Hivi wewe uko na akili timamu kutoa passport (exit visa) kwa kibaka wa pale Manzese bila kumuuliza lengo la safari yake ni nini?
Kiasi kikubwa sana, hilo ni kosa langu, sipaswi kuwaacha wakazagae kwa watu wengine, Wacha nibaki nao humu humu ndani waniibie mimi mwenyeweKibaka? Ulichangia kwa kiasi gani kuwafanya kuwa vibaka?