Wakenya Tupeni Uzoefu Wenu Kuhusu Passport

Wakenya Tupeni Uzoefu Wenu Kuhusu Passport

Mkuu, huko nje hawaendi hao watu waliokosa ajira hapa Tanzania, kawaida huko nje huchukua "top cream" ya wasomi huku Africa, wanatuachia vilaza ndio tuwaajiri hapa nchini.

Kama wewe ulipita chuo kikuu, nitajie wangapi kati yenu waliopata ajira nje ya nchi, na kati Yao wangapi walifauli kiwango Cha chini?.

Kibaya zaidi, wengi wanaokwenda huko nje ni madaktari na Engineers waliokua wameajiriwa serikalini na ni madaktari bingwa, sio "fresh from school".
Unataka kuuaminisha nini umma, kwamba wewe ni kilaza?
 
Nitajie hizo Serikali, ukiacha Tanzania, zinazodhibiti utoaji wa passport kwa raia wake kama unavyosema, kama hutaona kuwa hakutakuwepo hata na Serikali Moja ya watu wanaojitambua yenye ukiritimba wa hovyo kama huo.
Naunga mkono hoja ataje hizo nchi zinazobania Raia wake passport
Ya kwanza kubania ni Korea Kaskazini ya pilii Tanzania aongezee yeye nchi zingine
 
Mambo muhimu kwa binadamu ni
1)Usalama
2)Chakula
3)Maji safi na salama
4)Makazi
5)Afya
6)Haki na utu wa binadamu.

Katika vigezo vyote hivyo, Tanzania Iko mbele Sana ya Kenya. Ni mtu mjinga peke yake atakayedhani kwamba Kenya inaizidi Tanzania kwa kutumia kigezo kimoja pekee Cha GDP.
Unataka kusema Tanzania imewapokonya watu wake HAKI NA UTU WA BINADAMU?

Taifa lolote lile linalodhamini utu wa watu wake haliwezi kuwatendea watu wake kama mbuzi kwa kuwanyima uhuru wa kusafiri.

Korea ya Kaskazini imefanikiwa sana katika hilo. Huko ndiko unakotaka Tanzania ifike?
 
Unachoongea unakijua ? Ethiopia kuna.usalama? Wanatwangana mabomu.na mavifaru na wapigamaji wa Tiigray daily.

Pili tatizo la Ethiopia na Tanzania kwenye ugumu wa kutoa passport wanafanana
Ndio maana Tanzania kutwa tunakamata wa Ethiopia kibao wanatoroka kupitia njia za hatari kutafuta maisha nje ya.nchi hasa South Afrika

Sisi kutwa tunawadaka kwa kuingia nchini bila passport hivyo kuhesabika wameingia kiharamu wakati wao hapa wanapita tu .
Mbona Djibout au Somaliland hawana hilo tatizo?, Mbona Uganda au Rwanda wamepakana na DRC kwanini hawana hilo tatizo?.

Ethiopia mkuu ni civil wars, sio terrorism au banditry Kama Kenya.
 
Mbona Djibout au Somaliland hawana hilo tatizo?, Mbona Uganda au Rwanda wamepakana na DRC kwanini hawana hilo tatizo?.

Ethiopia mkuu ni civil wars, sio terrorism au banditry Kama Kenya.
Katika hii pembe ya Afrika, Kuna nchi ambayo ugaidi umeshamiri kama Somalia? Nini kilichoifanya Kenya kupeleka vikosi vyake vya Jeshi Somalia?

Unaishi Dunia ya wapi mkuu?
 
Nyerere alituwahi akaturoga mapema Kwa kutumia Shetani mkuu anayetumia mwenge na sisi akatuwekea Nembo yetu ya Taifa iwe Twiga hatuwezi furukuta .
 
Unataka kusema Tanzania imewapokonya watu wake HAKI NA UTU WA BINADAMU?

Taifa lolote lile linalodhamini utu wa watu wake haliwezi kuwatendea watu wake kama mbuzi kwa kuwanyima uhuru wa kusafiri.

Korea ya Kaskazini imefanikiwa sana katika hilo. Huko ndiko unakotaka Tanzania ifike?
Nenda katika ripoti za Human wright watch, angalia rank ya Tanzania vs nchi za jirani. Sasa ukipingana hata na hizo taasisi, basi wewe utakua ni mtu wa ajabu Sana.
 
Mimi nimeweka sababu zonazoonyesha athari mbaya ya Kenya kutokana na kuruhusu raia wake kwenda nje ya nchi kwa wingi, Sasa wewe onyesha faida ambazo Kenya inazipata Ili tulinganishe.
Kusoma hujui, na picha huelewi?

Kila kitu kipo wazi. Ingia mtandaoni ujionee mwenyewe Usije ukasema ni taarifa za kupikwa.
 
Katika hii pembe ya Afrika, Kuna nchi ambayo ugaidi umeshamiri kama Somalia? Nini kilichoifanya Kenya kupeleka vikosi vyake vya Jeshi Somalia?

Unaishi Dunia ya wapi mkuu?
Nini kilichoifanya kupeleka vikosi vyake DRC ambako pia KDF imeshindwa kufanya lolote?.

Wewe hujui vizuri Kenya, Ethiopia ndiyo iliyopeleka vikosi vyake Somalia kabla hata ya Kenya, iweje Alshabaab wanaipiga Kenya Kila siku lakini hawagusi Ethiopia?.

Mkuu wewe unaonekana hujui mambo mengi sana ya kidunia, tulia kwanza jaribu kujifunza kabla ya kuparamia mibuyu. Kenya ni Failed state, viongozi wao hawajui nini la kufanya, hiyo nchi hivi Sasa ni vurugu mechi Kila kitu.
 
Kifupi maofisa uhamiaji.kwenye passport hawako kutumikia wananchi wapo pale ku implement theory zao wanazoota kichwani

Anyway Raisi aingilie kati.siku akitamka tu.kuwa kupata passport haki ya mtu.mradi tu awe.na vyeti vya kuzaliwa na NIDA nchi.nxima italipuka kwa furaha

Mama Samia akitaka nchi ailipue kwa furaha mojawapo ni kuingilia kati na kutolea maamuzi hilo jambo Si geni nchi nyingi wanatumia tu birth certificate na NIDA tu
Raisi Samia wafurahishe watanzania

Maamuzi kwenye hilo yataua rushwa pia kwenye upatikanaji passport
 
Kusoma hujui, na picha huelewi?

Kila kitu kipo wazi. Ingia mtandaoni ujionee mwenyewe Usije ukasema ni taarifa za kupikwa.
Sasa mbona wewe umetaka Mimi ndio nitafute faida zake Ili nilinganishe?, na wewe ingia utafute hasara zake, sio uangalie upande mmoja pekee wa faida zake
 
Kifupi maofisa uhamiaji.kwenye passport hawako kutumikia wananchi wapo pale ku implement theory zao wanazoota kichwani

Anyway Raisi aingilie kati.siku akitamka tu.kuwa kupata passport haki ya mtu.mradi tu awe.na vyeti vya kuzaliwa na NIDA nchi.nxima italipuka kwa furaha

Mama Samia akitaka nchi ailipue kwa furaha mojawapo ni kuingilia kati na kutolea maamuzi hilo jambo Si geni nchi nyingi wanatumia tu birth certificate na NIDA tu
Raisi Samia wafurahishe watanzania

Maamuzi kwenye hilo yataua rushwa pia kwenye upatikanaji passport
Hahaha, subiri wewe uwe rais ndio ulifanye Hilo, nchi haiongozwi kwa kufurahisha watu, ukitakakuwafuraisha watu nenda kauze "Ice cream za ukwaju", wenzako wa Diaspora walipambana Sana kuomba "Dual citizenship", kwa kutumia hoja nyepesinyepesi Kama hizi, waliangukia pua, hivi Sasa wameamua kwenda mahakamani, ninakushauri mtumie njia hiyo hiyo ya mahakama.
 
Kama ulivyo wewe mkuu, japo unajifanya uko na akili nyingi. Mimi ni mzalendo wa kweli, nilisoma vyuo vya Ulaya, lakini nilirudi kutumikia nchi yangu.
Hongera kwa kuthibitisha kuwa watu wenye fikra za UJAMAA ni wabinafsi sana.

Umeshaenda Ulaya lakini unaona nongwa kwa Watanzania wengine kwenda.

Ili iweje?
 
Nashangaa these guys wanasema tz unapaswa ku apply ukiwa unataka kusafiri
Yes lazima uwe na barua ya mualiko,au muajiri kama unahudhuria semina kwa mfano,tena mara nyingine inatakiwa hata barua ya mtendaji.
 
Hongera kwa kuthibitisha kuwa watu wenye fikra za UJAMAA ni wabinafsi sana.

Umeshaenda Ulaya lakini unaona nongwa kwa Watanzania wengine kwenda.

Ili iweje?
Mimi nilikua na sababu za msingi kwenda Ulaya, huko nje Kuna watanzania zaidi ya 1.6M wanaishi kihalali na wamepewa passport, Kila siku watanzania kibao wanaokwenda China kufanya biashara na kurudi, nenda uhamiaji ona idadi ya passport zinazotolewa kwa siku, watu wenye sababu za msingi, huwezi kunyimwa passport, ila passport sio chupi, lazima itolewe kwa kuidhibiti.
 
Hahaha, subiri wewe uwe rais ndio ulifanye Hilo, nchi haiongozwi kwa kufurahisha watu, ukitakakuwafuraisha watu nenda kauze "Ice cream za ukwaju", wenzako wa Diaspora walipambana Sana kuomba "Dual citizenship", kwa kutumia hoja nyepesinyepesi Kama hizi, waliangukia pia, hivi Sasa wameamua kwenda mahakamani, ninakushauri mtumia njia hiyo hiyo ya mahakama.
Subiri bajeti ya wizara ya mambo ya ndani itakaposomwa

Swala la passport litaibuka
 
Mimi nilikua na sababu za msingi kwenda Ulaya, huko nje Kuna watanzania zaidi ya 1.6M wanaishi kihalali na wamepewa passport, Kila siku watanzania kibao wanaokwenda China kufanya biashara na kurudi, nenda uhamiaji ona idadi ya passport zinazotolewa kwa siku, watu wenye sababu za msingi, huwezi kunyimwa passport, ila passport sio chupi, lazima itolewe kwa kuidhibiti.
Unamdanganya nani wewe uhamiaji passport walizotoa hazifiki laki tano kwa taarifa zao wenyewe kwa vyombo vya habari na zimo humu

Hao watanzania milioni 1.6 wenye passport za Tanzania umewatoa wapi?
 
Back
Top Bottom