Wakenya Tupeni Uzoefu Wenu Kuhusu Passport

Wakenya Tupeni Uzoefu Wenu Kuhusu Passport

Passport siyo kwa ajili ya anayetaka kwenda kufanya kazi nje tu, mwingine anaweza akahitaji kwa ajili ya kwenda kutembea.

Mkuu, inaonekana hujawahi kuvuka mpaka wa Tz kwenda nchi nyingine.

Au ulitumia kikaratasi chenye muhuri wa Mwenyekiti wa Kitongoji chako?
Sasa tutajuaje dhumuni la safari yako Kama hatutodhibiti katika kutoa "exit visas?, Kumbuka Passport ndiyo "exit visa". Kama tunadhibit "Entry visa", kwanini hutaki tudhibiti "exit visa?", Unachekesha Sana.
 
MTanzania anaishi Karatu na Ngorongoro iko 14kilometer kutoka hapo lakini hajawahi kufikia

MTanzania hapakui Kenya, Rwanda, Burundi n. k (East Africa)

MTanzania anaishi Dar es Salaam miaka 10 hajafika kwao Sumve Misungwi(Mwanza)

MTanzania hana uelewa wa biashara kati ya nchi na nchi karibu wananchi kwa 90% na hata mitaji ya kufanya hivyo, hata kwa waKenya au baadhi ya nchi za kiAfrica wanafanya kama sehemu ya haki tu kwa watu lakini hawana safari zozote kati ya nchi na nchi

Nchi yoyote Duniani, watu wanao safiri sana ni wafanya biashara na watumishi wa maofini hasa ofisi za mashirika ya kimataifa, nao ni wale wenye ngazi za juu.
 
Unafahamu kuwa Tanzania kuna maelfu ya watu ambao tokea wahitimu Vyuo zaidi ya miaka kumi iliyopita, hawajapata ajira mpaka sasa?

Unafurahia unapowaona wakitembea na bashasha za khaki huku viatu vimeisha soli kwa kusaka ajira?
Ajira wapate wapi kwa maofisi gani? Chukulia chuo kimoja kati ya vilivyopo kwa mwaka vinatoa wasomi wangapi? Ni wengi[emoji3581] na ni kila mwaka, hizi ni nchi ndogo na masikini watatosha ktk ofisi zipi? Elimu imejaa misingi ya kigeni, misingi tegemezi... Yaani umezaliwa na kukua ukijua mafanikio yanategemea nguvu na juhudi zako halafu unataka tena mtu mwingine ndiyo akupe hayo mafanikio kutoka wapi? Jaribuni ku-think big
 
Nitajie hizo Serikali, ukiacha Tanzania, zinazodhibiti utoaji wa passport kwa raia wake kama unavyosema, kama hutaona kuwa hakutakuwepo hata na Serikali Moja ya watu wanaojitambua yenye ukiritimba wa hovyo kama huo.
Mkuu, toka uliko ujaribu kuzunguka Dunia ujifunze mambo, Passport sio kitu Cha mchezo duniani kote, Wacha kusikiliza maneno ya wakenya, wakenya ni watu waongo Sana, hata Kenya wanaidhiti Sana passport Yao, tatizo Kenya ni Rushwa iliyotamalaki, mifumo yote ya nchi inekufa, Kila kitu linafanyika kienyeji Kama Nigeria.
 
Mkuu, toka uliko ujaribu kizunguka Dunia ujifunze mambo, Passport sio kitu Cha mchezo duniani kote, Wacha kusikiliza maneno ya wakenya, wakenya ni watu waongo Sana, hata Kenya wanaidhiti Sana passport Yao, tatizo Kenya ni Rushwa iliyotamalaki, mifumo yote ya nchi inekufa, Kila kitu linafanyika kienyeji Kama Nigeria.
Rwanda je mbona nao hutoa passport kirahisi tu.kwa raia wao tenda ndani ya siku tatu tu

Mtoto tu akizaliwa ruksa.kupewa cheti cha kuzaliwa na passport.

Na kule Rushwa hakuna
 
Serikali ni jukumu lake kuwapa elimu watu wake, elimu ni haki ya raia. Hivi kwanini mnahusisha Sana elimu na ajira?, kwani wakulima, wavuvi, wafanyabiashara na wafugaji hawapaswi kupata elimu?.

Lengo la serikali ni kwaelimisha raia wake wote Ili wafanye kazi zao kwa tija na ufanisi, 70% ya watanzania wanajihusisha na kilimo. Achaneni na mawazo ya kitumwa kwamba Kila aliyesoma lazima apate kazi ya kuajiriwa.
You have stepped on the right point..!!
Nakunukuu..
Achaneni na mawazo ya kitumwa kwamba Kila aliyesoma lazima apate kazi ya kuajiriwa.
Sasa unapotaka msomi aajiriwe na serikali kwamba asiende huko "Botwana", ulimaanisha nini wakati hapa unasema tuache kuwaza kitumwa kwamba kila aliyesoma lazima apate kazi ya kuajiriwa?? Yaani ni kama umetoka nje ya topic uliyoianzisha.!!!
 
Mkuu, wewe ndio unawashangaza watu, inaonekana hujatembea na Wala hujui jinsi nchi zonavyojiendesha duniani, hakuna nchi yoyote inayotoa "Government documents" kwa urahisi, Wacha passport, hata leseni ya udereva tu kuipata ni ngumu Sana.

Hebu nenda Ulaya ukaombe leseni ya udereva uone hilo sakata lake. Kwahiyo mkuu, hizi serikali zote zinazodhibiti passpot zao unadhani ni wajinga au hawajui kitu, ila ninyi watu wachache ndio wenye akili?.

Mkuu, tatizo hujazunguka Dunia, na Wala hujui "International diplomacy" inavyofanya kazi. Passport ni document yenye kubeba utu wa Taifa nje ya nchi, mtu yeyote aliyebeba passport ya nchi lazima apewe heshima inayoendana na nchi yake huko ktk nchi anakokwenda, ni wajibu wa balozi zetu huko nje kuhakikisha mtu yeyote mwenye passport ya Tanzania anatetewa na kulindwa haki zake, huwezi kuwapa watu wa hovyo hovyo passport.

Mkuu, Kama nilivyokijibu hapo juu, huu uamuzi wa kuidhibiti passport umepitishwa na kukubalika hapa nchini na kupitishwa na vyombo vyote vyenye majukumu ya kusimamia Sheria za nchi na haki za binadamu. Sasa Kama wewe unadhani una akili nyingi kuwazidi hao wote waliopitisha na kusimamia jambo hili, basi Tanzania sio nchi sahihi kwako. Ila unayo haki ya kutoa mawazo yako, na serikali inayo haki ya kufanya vile inavyodhani ni sahihi.
Kiongozi, una uhakika kwamba ninawashangaza watu? Are you serious?

No reference, no right to argue!!! Kwa nini kuandikia mate na wino ungaliko?

Itisha kura humu jukwaani kubaini kati yangu na wewe ni nani watu wanamshangaa.

Wataacha kushangaa na kuanza kukustaajabia!!!
 
Mkuu, Cape Town nimefika, nilikaa Century City kwa miezi mitatu. Century City ndio kuna Canal Walk Grand Mall.

Hamna mtu ameshawahi idhalilisha nchi ya ya Tanzania [emoji1241] pale.

Nchi zote duniani kuna mazuzumagic, Marekani kuna ombaomba,UK [emoji636] pia. Nimekaa The Hague miaka miwili, ombaomba walikuwepo.

Watanzania watoke nje ya nchi wakatafute riziki CCM acheni utaahira wenu. Jifunzeni kutoka Kenya [emoji1139]
Wacha kudanganya watu mkuu, inamaana pale "Freedom square" alipohutubia Mandela alipotoka kifungoni ambako Kuna kituo Cha vibasi vidogo(daladala), huwaoni wale watanzania walivyojazana, tena wanazungumza Kiswahili tupu?, wengi ni mateja na vibaka.

Nenda Durban useme wewe ni mtanzania, sifa yao kubwa ni kusubiri familia zimeenda kazini, wao kazi yao ni kuruka ukuta na kuiba, Durban kazi kubwa ya watanzania ni wizi wa kuvunja Nyumba za watu. Johannesburg ni kuuza dawa za Kulevya.

Sasa Kama Marekani Kuna huo upuuzi wa kijinga, ni haki na halali na sisi tuuruhusu tusifanye jitahada za kuzuia, mbona USA wameruhusu ushoga lakini sisi tunaukataa kwa nguvu zote?
 
Ukisoma kwa mkopo wa serikali ndio kusomeshwa na serikali, hivi serikali ikiacha kutoa mikopo Kuna mtu ataweza kwenda kupata mikopo Bank na kujisomesha?. Kwa hapa Tanzania 98% husomeshwa na serikali kwa kupitia mikopo.
Ukilipa huo mkopo, unakuwa bado umesomeshwa na serikali? AU tuseme, akina marehemu Samwel SItta AU ndugu Pius Msekwa ambao walisoma bila kukopeshwa, na wewe ambaye umesoma na ukallipa deni, nani amesomeshwa na serikali? Wote tuliosoma after 1994 (kama sijakosea mwaka) tulisoma kwa mikopo, kabla ya hapo serikali ililipa na haikuwa inarudishiwa. Sasa wa 1993 kurudi nyuma na wa 1994 kwenda mbele unasemaje wote wamesomeshwa na serikali wakati mwingine halipi na mwingine analipa..?? Hivi anayekopa unga, mchele, sukari etc, kwa Mangi au Muha na akalipa deni, huyo mkopaji familia yake inakuwa imelishwa na mangi au huyo muha?

Mwamba unajitahidi sana kutetea uongo wako..!!
 
Wacha kudanganya watu mkuu, inamaana pale "Freedom square" alipohutumia Mandela alipotoka kifungoni ambako Kuna kituo Cha vibasi vidogo(daladala), huwaoni wale watanzania walivyojazana, tena wanazungumza Kiswahili tupu?, wengi ni mateja na vibaka.

Nenda Durban useme wewe ni mtanzania, sifa yao kubwa no kusubiri familia zimeenda kazini, wao kazi yao ni kuruka ukuta na kuiba, Durban kazi kubwa ya watanzania ni wizi wa kuvunjwa Nyumba za watu. Johannesburg ni kuuza dawa za Kulevya.

Sasa Kama Marekani Kuna huo upuuzi wa kijinga, ni haki na halali na sisi tuuruhusu tusifanye jitahada za kuzuia, mbona USA wameruhusu ushoga lakini sisi tunaukataa kwa nguvu zote?
ILa unajitahidi..!! 😂 😂 😂 😂
 
Serikali inatoa wapi hela kama siyo kwa wananchi wake? Serikali kuwadumia raia wake si fadhila, ni wajibu. Pesa iliyopo Serikalini ni ya wananchi.
Na raia kutumikia nchi yake sio fadhila ni wajibu, kumbuka maneno ya rais wa zamani wa Marekani J.F. Kennedy:

"Usiulize Marekani imekufanyia nini, jiulize wewe imeifanyia nini Marekani?"
 
Sahihi na hata Nigeria ni kwa sababu ya boko haramu

Lakini passport kuwa ranked poorly sio kuwa raia wote nchi hiyo hawaruhusiwi kuingia bali ubalozi unatakiwa kuwa careful kwenye kutoa viza hasa kwanwatu kutoka eneo lenye utata kwenye husika

Mfano wasomali wengi sana Kenya ambao ni wakenya kwa kuzaliwa na raia wa Kenya wakienda kuomba Viza ubalozi mfano wa Marekani ngoma nzito

Lakini wakenya wengine hawawi strict kivile

Nigeria pia iko hivyo mtu.kama.anatokea majimbo ya kaskazini kwenye harakati kubwa za boko haramu viza yake kupata screening.yake sio ya kitoto

Lakini kwenye kutoa passport wanigeria hutoa bila longolongo na urasimu sababu wanajua kumpa passport raia sio kuwa atasafiri.bado kuna kikwazo cha kupata.Viza huko.aendako anachotakiwa kupambana nacho.Huko.wanamwachia mwenyewe.ahangaike nako ila passport wameshampa.Mengine ya kwake

Swala la kusema ohh mtu aweza enda nje akafanya uhalifu .Ni mawazo mgando.Akifanya uhalifu nchi za watu polisi wapo mahakama zipo atakiona cha mtema.kuni huko huko alikoebda kufanya uhalifu

Kwani sisi wageni wa nchi zingine wakifanya uhalufu hapa si huwa tunawakamata na kuwaburuza mahakamani mahakama.zetu na kuwafunga nk.

Nchi za wenzetu watoa passport bila vikwazo wanaamini dola za nchi zingine kuwa nao wana vyombo vya dola na mahakama.na jela pia.Sisi ni kama hatuamini nchi nyingine kuwa sisi ndio.tuchuje yupi aende nchi zao na yupi asiende!!! Tunajipa shida bure
kujiongezea majukumu yasiyo.ya lazima.Mpe raia wako passport waache wenyewe kwenye balozi anakoenda kuomba biza ndio wachuje nani aingie nchi yao na nani hawamtaki

Tanzania kuchujana kunaanzia kwenye kupeana passport sio sahih kuuliza kuwa eleza unaenda kufanya nini nchi unakoenda? Hayo maswali mwache akaulizwe ubalozini au mipakani na nchi husika anayoenda.Wewe toa passport mengine mwachie
Unafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje au wa Mambo ya Ndani!!!
 
Sahihi na hata Nigeria ni kwa sababu ya boko haramu

Lakini passport kuwa ranked poorly sio kuwa raia wote nchi hiyo hawaruhusiwi kuingia bali ubalozi unatakiwa kuwa careful kwenye kutoa viza hasa kwanwatu kutoka eneo lenye utata kwenye husika

Mfano wasomali wengi sana Kenya ambao ni wakenya kwa kuzaliwa na raia wa Kenya wakienda kuomba Viza ubalozi mfano wa Marekani ngoma nzito

Lakini wakenya wengine hawawi strict kivile

Nigeria pia iko hivyo mtu.kama.anatokea majimbo ya kaskazini kwenye harakati kubwa za boko haramu viza yake kupata screening.yake sio ya kitoto

Lakini kwenye kutoa passport wanigeria hutoa bila longolongo na urasimu sababu wanajua kumpa passport raia sio kuwa atasafiri.bado kuna kikwazo cha kupata.Viza huko.aendako anachotakiwa kupambana nacho.Huko.wanamwachia mwenyewe.ahangaike nako ila passport wameshampa.Mengine ya kwake

Swala la kusema ohh mtu aweza enda nje akafanya uhalifu .Ni mawazo mgando.Akifanya uhalifu nchi za watu polisi wapo mahakama zipo atakiona cha mtema.kuni huko huko alikoebda kufanya uhalifu

Kwani sisi wageni wa nchi zingine wakifanya uhalufu hapa si huwa tunawakamata na kuwaburuza mahakamani mahakama.zetu na kuwafunga nk.

Nchi za wenzetu watoa passport bila vikwazo wanaamini dola za nchi zingine kuwa nao wana vyombo vya dola na mahakama.na jela pia.Sisi ni kama hatuamini nchi nyingine kuwa sisi ndio.tuchuje yupi aende nchi zao na yupi asiende!!! Tunajipa shida bure
kujiongezea majukumu yasiyo.ya lazima.Mpe raia wako passport waache wenyewe kwenye balozi anakoenda kuomba biza ndio wachuje nani aingie nchi yao na nani hawamtaki

Tanzania kuchujana kunaanzia kwenye kupeana passport sio sahih kuuliza kuwa eleza unaenda kufanya nini nchi unakoenda? Hayo maswali mwache akaulizwe ubalozini au mipakani na nchi husika anayoenda.Wewe toa passport mengine mwachie
Mbona Ethiopia haina tatizo la kiusalama Kama Kenya wakati imepakana na Somalia Kama Kenya?, Wacheni kutetea "failed states Kama Kenya.

Hivi mkuu, ukiwa na jirani yako anafuga mbuzi na anaziachia kwenda kuharibu mazao kwenye shamba lako, wewe utamchukuliaje huyo jirani yako?. Kuweni wakweli punguzeni ushabiki.
 
Na raia kuidimia serikali sio fadhila ni wajibu, kumbuka maneno ya maneno ya rais wa zamani wa Marekani J.F. Kennedy:

"Usiulize Marekani imekufanyia nini, jiulize wewe imeifanyia nini Marekani?"
Raia analipa kodi, ndo kikubwa nachoifanyia serikali..!!! Mengine ni vitu kama kutokuwa visadi, mwizi wa mali za ume etc
 
Raia analipa kodi, ndo kikubwa nachoifanyia serikali..!!! Mengine ni vitu kama kutokuwa visadi, mwizi wa mali za ume etc
Sasa hiyo Kodi itapatikanaje Kama watu wenye elimu kubwa waliyoipata kwa pesa za wavuja jasho wanaamua kwenda kufanya kazi nchi zingine?, nani abaki nchini Ili kuwatibu hao walipa Kodi Kama madaktari wataamua kwenda kufanya kazi katika nchi tajiri?
 
Mkuu, toka uliko ujaribu kizunguka Dunia ujifunze mambo, Passport sio kitu Cha mchezo duniani kote, Wacha kusikiliza maneno ya wakenya, wakenya ni watu waongo Sana, hata Kenya wanaidhiti Sana passport Yao, tatizo Kenya ni Rushwa iliyotamalaki, mifumo yote ya nchi inekufa, Kila kitu linafanyika kienyeji Kama Nigeria.
Unasema uongo kwa manufaa ya nani?
 
Acha uongo passport ni haki yako regardless what?,mtaendelea kuburuzwa na royal families kwa generations zote hapa ni push back tu
Kama huna safari achana nayo usije ukaipoteza bure ukauponza
 
Wacha kudanganya watu mkuu, inamaana pale "Freedom square" alipohutumia Mandela alipotoka kifungoni ambako Kuna kituo Cha vibasi vidogo(daladala), huwaoni wale watanzania walivyojazana, tena wanazungumza Kiswahili tupu?, wengi ni mateja na vibaka.

Nenda Durban useme wewe ni mtanzania, sifa yao kubwa no kusubiri familia zimeenda kazini, wao kazi yao ni kuruka ukuta na kuiba, Durban kazi kubwa ya watanzania ni wizi wa kuvunjwa Nyumba za watu. Johannesburg ni kuuza dawa za Kulevya.

Sasa Kama Marekani Kuna huo upuuzi wa kijinga, ni haki na halali na sisi tuuruhusu tusifanye jitahada za kuzuia, mbona USA wameruhusu ushoga lakini sisi tunaukataa kwa nguvu zote?
Taifa gani halina wezi ughaibuni?
 
Mbona Ethiopia haina tatizo la kiusalama Kama Kenya wakati imepakana na Somalia Kama Kenya?, Wacheni kutetea "failed states Kama Kenya.
Unachoongea unakijua ? Ethiopia kuna.usalama? Wanatwangana mabomu.na mavifaru na wapigamaji wa Tiigray daily.

Pili tatizo la Ethiopia na Tanzania kwenye ugumu wa kutoa passport wanafanana
Ndio maana Tanzania kutwa tunakamata wa Ethiopia kibao wanatoroka kupitia njia za hatari kutafuta maisha nje ya.nchi hasa South Afrika

Sisi kutwa tunawadaka kwa kuingia nchini bila passport hivyo kuhesabika wameingia kiharamu wakati wao hapa wanapita tu .
 
Kiongozi, una uhakika kwamba ninawashangaza watu? Are you serious?

No reference, no right to argue!!! Kwa nini kuandikia mate na wino ungaliko?

Itisha kura humu jukwaani kubaini kati yangu na wewe ni nani watu wanamshangaa.

Wataacha kushangaa na kuanza kukustaajabia!!!
Mkuu, soma alama za nyakati, jaribu kupima kina kabla ya kuvuka mto.
 
Back
Top Bottom