Wakenya waanza kufurika kwenye mipaka ya Tanzania,ni sintofahamu ya tarehe 26.

Wakenya waanza kufurika kwenye mipaka ya Tanzania,ni sintofahamu ya tarehe 26.

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mamia kwa mamia ya raia wa Kenya wameonekana na mabegi yao katika mipaka ya Tanzania na Kenya kutafuta hifadhi baada ya sintofahamu ya tarehe 26/10.
Kwa siku ya jana watu zaidi ya 700 kutoka Kenya walionekana katika mpaka wa Tarakea,huku wngine zaidi 1300 wakionekana katika mipaka ya Holili na Tarime huku maelfu wakihofiwa kuvuka bila vibali maalum.
Wakenya hao piga ua hawezi kwenda Sudan wala Somalia na hivyo kuamua kukimbilia nchi ya amani na ustaarabu wa kiswahili,huku wakitegemea kupata maziwa na asali.

MAONI.
Jamani karibuni sana mjisikie mko nyumbani lkn mjue kabisa Uhuru na baba Odinga familia zao ziko na zitaendelea kuwa salama hata kama kila Mkenya atakufa.
 
So far so good ni kuwa Wakenya wengi wanaofanya kazi Tz hawana habari ya kurudi kwao tena.. Wengi wao wandai hapa Bongo ndio wamekwisha fika kwenye nchi ya maziwa na asali.
Nashangaa wakenya wanaoiponda nchi yetu kwa kuiona kwenye picha, ila siku wakibahatika kufika huku hawatotamani kurudi kwao!
 
Hadithi za vijiweni hizi. Tovuti ya Chimbuko la habari yako ii wapi?

Eti mkenya akifika Tz kaona maziwa na asali. Anyway, I'll adhere to the gentleman code and allow you folks to maintain your fiction.

Lakini jua ukiona mkenya kakatalia kwenu huyo ameona pesa za bure za kukamuliwa. Ni bongo LA biashara.
 
Mamia kwa mamia ya raia wa Kenya wameonekana na mabegi yao katika mipaka ya Tanzania na Kenya kutafuta hifadhi baada ya sintofahamu ya tarehe 26/10.
Kwa siku ya jana watu zaidi ya 700 kutoka Kenya walionekana katika mpaka wa Tarakea,huku wngine zaidi 1300 wakionekana katika mipaka ya Holili na Tarime huku maelfu wakihofiwa kuvuka bila vibali maalum.
Wakenya hao piga ua hawezi kwenda Sudan wala Somalia na hivyo kuamua kukimbilia nchi ya amani na ustaarabu wa kiswahili,huku wakitegemea kupata maziwa na asali.

MAONI.
Jamani karibuni sana mjisikie mko nyumbani lkn mjue kabisa Uhuru na baba Odinga familia zao ziko na zitaendelea kuwa salama hata kama kila Mkenya atakufa.
 
Nipo kericho hapa,aisee kuna foleni ya watu utafikiri wakimbizi wa syria wanaelekea kwenye nchi ya ahadi tz,kwa hofu ya machafuko kutokea wakati wa kupiga kura alhamisi.
 
Nipo kericho hapa,aisee kuna foleni ya watu utafikiri wakimbizi wa syria wanaelekea kwenye nchi ya ahadi tz,kwa hofu ya machafuko kutokea wakati wa kupiga kura alhamisi.
Mkuu turushie mapicha tujionee,
 
Hadithi za vijiweni hizi. Tovuti ya Chimbuko la habari yako ii wapi?

Eti mkenya akifika Tz kaona maziwa na asali. Anyway, I'll adhere to the gentleman code and allow you folks to maintain your fiction.

Lakini jua ukiona mkenya kakatalia kwenu huyo ameona pesa za bure za kukamuliwa. Ni bongo LA biashara.

Ni bora msali na kuomba, tarehe 26 msiwe kama warohingya
 
Hahaha Niliwasiliana na Rafiki zangu juzi
Kiukweli tujipange Kupokea Ugeni tena mkubwa
Wengi wana hofu sana
nawengine wanashindwa kuondoka kutokana na kipato Kidogo kuhimili Safari ya kuvuka mpaka
 
Hizo sio habari njema hata kidogo kwa tz.

Faida inayoweza patikana kutokana na machafuko huko ni ndogo sana ukilinganisha na hasara.

Ni jirani,ndugu,wawekezaji na wateja wetu,tuwawazie mema.
 
Haha watz bana wanaongea uongo hadi inakuwa ndo ukweli. Wakenya wakiamua kutafuta hifadhi labda Uganda, tz wakenya wengi sana watahofia. Siunajua watz kukaribisha wageni weusi kwao ni shiida?
 
Back
Top Bottom