Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]ina maana hawakujiandikisha kupiga kura? wasiingie huku mpaka wapige kura.... wapambane na hali yao kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]ina maana hawakujiandikisha kupiga kura? wasiingie huku mpaka wapige kura.... wapambane na hali yao kwanza
Nipo kericho hapa,aisee kuna foleni ya watu utafikiri wakimbizi wa syria wanaelekea kwenye nchi ya ahadi tz,kwa hofu ya machafuko kutokea wakati wa kupiga kura alhamisi.
Wakenya huwa wana tamani sana nchi yao ingekuwa kama Bongo sema ndo hivyo tena familia kadhaa zinamiliki nchi nzima. Lol, Kenyans welcome to East African paradise
Kuna mkenya yupo mkoa flani Tanzania hataki hata kujiita mkenya anaipenda Tanzania mpaka unamshangaa a naona Tanzania ni kama ulaya akilinganisha na maisha aliyokua anaishi huko Kenya
Haya bwana naona mnatekeleza majukumu ya kaziSo far so good ni kuwa Wakenya wengi wanaofanya kazi Tz hawana habari ya kurudi kwao tena.. Wengi wao wandai hapa Bongo ndio wamekwisha fika kwenye nchi ya maziwa na asali.
Nashangaa wakenya wanaoiponda nchi yetu kwa kuiona kwenye picha, ila siku wakibahatika kufika huku hawatotamani kurudi kwao!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Watakunyima dada zao ukiwaita wezi, mimi ninampango wa kumuoa Lupita Nyong'o ninaogopa kuwaita weziMkuu umesahau wizi
Wanajifanyaga wajanja kumbe mburura tu, Oohh wasukuma wawili wanaswaga ng'ombe milioni 50, Leo wamegeuka nyumbu kuhama kutoka Kenya kuja Tanzania.So far so good ni kuwa Wakenya wengi wanaofanya kazi Tz hawana habari ya kurudi kwao tena.. Wengi wao wandai hapa Bongo ndio wamekwisha fika kwenye nchi ya maziwa na asali.
Nashangaa wakenya wanaoiponda nchi yetu kwa kuiona kwenye picha, ila siku wakibahatika kufika huku hawatotamani kurudi kwao!
Kuna mmoja hapa mtaani ni kinyozi tu hana kazi nyingine, saluni yenyewe spana mkononi, hataki hata kusikia taarifa za kwao, ukimuita mkenya anatamani akumeze. Shuwaini wakubwa.Kuna mkenya yupo mkoa flani Tanzania hataki hata kujiita mkenya anaipenda Tanzania mpaka unamshangaa a naona Tanzania ni kama ulaya akilinganisha na maisha aliyokua anaishi huko Kenya
Tunatengeneza Somalia, hali ikiwa shwari mbona tusitue huko?Nendeni Somalia
Wasilete balaa zao huku. Sisi wenyewe tunazo balaa zinazotuzidi uwezo mpk tumejiandaaje submit kwa Mungu mwenyewe kwani ndiye muweza peke yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ina maana hawakujiandikisha kupiga kura? wasiingie huku mpaka wapige kura.... wapambane na hali yao kwanza
Haha watz bana wanaongea uongo hadi inakuwa ndo ukweli. Wakenya wakiamua kutafuta hifadhi labda Uganda, tz wakenya wengi sana watahofia. Siunajua watz kukaribisha wageni weusi kwao ni shiida?
Kwa huu mwaliko wako? Sijui kwanini lakini ghafla tu nimejipata nahofia usalama wa maisha yangu. hehehe 🙂Acha ujinga wewe paki mizigo ingia Tz tutakupa hadi mahindi ule ugali ushibe vita ikiisha urudi kwenu na mdomo wako mchafu
Lol, jirani we mkorofi ila tunakupenda tuKwa huu mwaliko wako? Sijui kwanini lakini ghafla tu nimejipata nahofia usalama wa maisha yangu. hehehe 🙂
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ina maana hawakujiandikisha kupiga kura? wasiingie huku mpaka wapige kura.... wapambane na hali yao kwanza
Dah niwie radhi mamii, ukorofi si kisukari kubadilika jambo rahisi sana.Lol, jirani we mkorofi ila tunakupenda tu