Wakenya waanza kufurika kwenye mipaka ya Tanzania,ni sintofahamu ya tarehe 26.

Wakenya waanza kufurika kwenye mipaka ya Tanzania,ni sintofahamu ya tarehe 26.

Mamia kwa mamia ya raia wa Kenya wameonekana na mabegi yao katika mipaka ya Tanzania na Kenya kutafuta hifadhi baada ya sintofahamu ya tarehe 26/10.
Kwa siku ya jana watu zaidi ya 700 kutoka Kenya walionekana katika mpaka wa Tarakea,huku wngine zaidi 1300 wakionekana katika mipaka ya Holili na Tarime huku maelfu wakihofiwa kuvuka bila vibali maalum.
Wakenya hao piga ua hawezi kwenda Sudan wala Somalia na hivyo kuamua kukimbilia nchi ya amani na ustaarabu wa kiswahili,huku wakitegemea kupata maziwa na asali.

MAONI.
Jamani karibuni sana mjisikie mko nyumbani lkn mjue kabisa Uhuru na baba Odinga familia zao ziko na zitaendelea kuwa salama hata kama kila Mkenya atakufa.
Nawasihi polisi wasimruhusu MK254 kupenya hapo mpakani kabisa.
 
There is no a country which is known as Kenya, instead,
1)People's Republic of Kenya
2)Central Republic of Kenya

It is the result of embracing tribalism, it pays back.
Mmh! Kenyaaaa! Its very disturbing country. We need amani in East Africa. Hatutaki vita jamani.
 
Mmh! Kenyaaaa! Its very disturbing country. We need amani in East Africa. Hatutaki vita jamani.
Waache wapigane kidogo ndiyo wataheshimiana kama Rwanda, hivi sasa kila kabila linajionw bora kuliko lingine, stupid hawa.
 
Wasilete balaa zao huku. Sisi wenyewe tunazo balaa zinazotuzidi uwezo mpk tumejiandaaje submit kwa Mungu mwenyewe kwani ndiye muweza peke yake
 
Mamia kwa mamia ya raia wa Kenya wameonekana na mabegi yao katika mipaka ya Tanzania na Kenya kutafuta hifadhi baada ya sintofahamu ya tarehe 26/10.
Kwa siku ya jana watu zaidi ya 700 kutoka Kenya walionekana katika mpaka wa Tarakea,huku wngine zaidi 1300 wakionekana katika mipaka ya Holili na Tarime huku maelfu wakihofiwa kuvuka bila vibali maalum.
Wakenya hao piga ua hawezi kwenda Sudan wala Somalia na hivyo kuamua kukimbilia nchi ya amani na ustaarabu wa kiswahili,huku wakitegemea kupata maziwa na asali.

MAONI.
Jamani karibuni sana mjisikie mko nyumbani lkn mjue kabisa Uhuru na baba Odinga familia zao ziko na zitaendelea kuwa salama hata kama kila Mkenya atakufa.
Weka Picha
 
Yani kwa east African countries hivi iko ambayo iko close kama Kenya & Tanzania?
 
Ivi kwanini watu ni wajinga? Sasa watapigana weeeh wakati odinga,kenyatta pamoja na familia zao wao watakuwa wameshakimbia nchi mapema kuacha mazwazwa wachinjane ,Africa aise..what a shame
 
kama ni kweli hiyo hali basi kuna asilimia ndogo mno za wao kupigana.
 
Haha watz bana wanaongea uongo hadi inakuwa ndo ukweli. Wakenya wakiamua kutafuta hifadhi labda Uganda, tz wakenya wengi sana watahofia. Siunajua watz kukaribisha wageni weusi kwao ni shiida?
Nendeni Somalia
 
Watu wa uchumi wa kati (walioendelea) wanakimbilia nchi masikini ya dunia ya tatu!
 
sidhani kama ni kweli maana muda si mrefu nilikuwa boda
 
Back
Top Bottom