Wakenya waanza kufurika kwenye mipaka ya Tanzania,ni sintofahamu ya tarehe 26.

Wakenya waanza kufurika kwenye mipaka ya Tanzania,ni sintofahamu ya tarehe 26.

Link na picha za huu uvumi wa bongo lala ziko wapi?
 
Haha watz bana wanaongea uongo hadi inakuwa ndo ukweli. Wakenya wakiamua kutafuta hifadhi labda Uganda, tz wakenya wengi sana watahofia. Siunajua watz kukaribisha wageni weusi kwao ni shiida?

Una pingana na ukweli, mimi nipo namanga hapa wakenya zaidi ya 2k wamevuka siku 3 mfululizo
 
Una pingana na ukweli, mimi nipo namanga hapa wakenya zaidi ya 2k wamevuka siku 3 mfululizo
Shenz type Kajiado county ni kwetu mida ya saa kumi nimekuwa hapo just next to Diamond plaza. Uko wapi hasa hapo Namanga? Biashara imekuwa ni kama kawaida hamna cha wakimbizi wala nini!
 
MAONI.
Jamani karibuni sana mjisikie mko nyumbani lkn mjue kabisa Uhuru na baba Odinga familia zao ziko na zitaendelea kuwa salama hata kama kila Mkenya atakufa.

Masimango ya nini tena?? Hii sio mila ya kitz huenda umetokea kulee magharibi ya mbali sasa umeshajichimbia na kuwa mwenyeji. Kumbuka ulikotoka ndg
 
Haha watz bana wanaongea uongo hadi inakuwa ndo ukweli. Wakenya wakiamua kutafuta hifadhi labda Uganda, tz wakenya wengi sana watahofia. Siunajua watz kukaribisha wageni weusi kwao ni shiida?
Hatutaki mabalaa sisi. Uwaneni msije huku.
 
Hadithi za vijiweni hizi. Tovuti ya Chimbuko la habari yako ii wapi?

Eti mkenya akifika Tz kaona maziwa na asali. Anyway, I'll adhere to the gentleman code and allow you folks to maintain your fiction.

Lakini jua ukiona mkenya kakatalia kwenu huyo ameona pesa za bure za kukamuliwa. Ni bongo LA biashara.
Hata tovuti anaye publish ni mtu tu kama mtoa post
 
Hatutaki mabalaa sisi. Uwaneni msije huku.
Usiwe na hofu wala hatutakuja tz. Nyang'au tukitua huko kwa wingi baada ya miezi mitatu tutakuwa si ndo tunauza bidhaa zote kutoka switi, mkaa, bidhaa za ujenzi, silaha kali kali na haramu pia. Mtageuka wakimbizi huko huko kwenu tz. Siunatujua vizuri? Wakenya hatunaga utani jombaa. 😀😀😀
 
Wakikimbia wanaacha nani watakao piga kura au watapiga wakiwa tz kama mwanzo
 
Serikali ya awamu hii inakula nao sahani maja nasikia huko kqenye vi nursery na English medium wengi hawana permit wamesombwa balaa wako ndani, alafu badae waanza kuiponda tz kumbe wengi walikuwa wanaishi kiwizi wizi, wapambane na hali zao hawa watu
 
Mamia kwa mamia ya raia wa Kenya wameonekana na mabegi yao katika mipaka ya Tanzania na Kenya kutafuta hifadhi baada ya sintofahamu ya tarehe 26/10.
Kwa siku ya jana watu zaidi ya 700 kutoka Kenya walionekana katika mpaka wa Tarakea,huku wngine zaidi 1300 wakionekana katika mipaka ya Holili na Tarime huku maelfu wakihofiwa kuvuka bila vibali maalum.
Wakenya hao piga ua hawezi kwenda Sudan wala Somalia na hivyo kuamua kukimbilia nchi ya amani na ustaarabu wa kiswahili,huku wakitegemea kupata maziwa na asali.

MAONI.
Jamani karibuni sana mjisikie mko nyumbani lkn mjue kabisa Uhuru na baba Odinga familia zao ziko na zitaendelea kuwa salama hata kama kila Mkenya atakufa.

Ila nimeona foleni za omba omba toka Tanganyika tayari kuingia Kenya. Wakenya tunawasafirisha kwa mabasi kufikia sehemu za mpakani Na Tanganyika. Nashangaa hawa omba omba hawaogopi Kenya palivyo hatari kwa Sasa!!!
 
Hivi huo uchaguzi bado wakina Chebukati wameukomalia tu? Bora wangetafuta maridhiano ya Raila na Uhuru kwanza kabla ya kuukurupukia uchaguzi
 
Kwani hamuogagi ? Hizi comments zinanuka jaman..
393274.jpg

hahahahaahah
 
Usiwe na hofu wala hatutakuja tz. Nyang'au tukitua huko kwa wingi baada ya miezi mitatu tutakuwa si ndo tunauza bidhaa zote kutoka switi, mkaa, bidhaa za ujenzi, silaha kali kali na haramu pia. Mtageuka wakimbizi huko huko kwenu tz. Siunatujua vizuri? Wakenya hatunaga utani jombaa. 😀😀😀
Umesahau na baadhi ya bidhaa mtakazo kuja nazo
1)Ukabila
2)Corruption
3)Insecurity
4)Njaa
5)Poverty
 
They are seeking for asylum let them come but we dont want their English
 
Watakua wajinga yani wanatoka kwenye mto wanakimbilia baharini?
 
nawashauri wasithubutu kuingia kwenye mikono ya nduli
 
Kuna mkenya yupo mkoa flani Tanzania hataki hata kujiita mkenya anaipenda Tanzania mpaka unamshangaa a naona Tanzania ni kama ulaya akilinganisha na maisha aliyokua anaishi huko Kenya
Ulisha wahi kufanya kazi na raia wa kenya kwenye ofisi moja?
 
Back
Top Bottom