Wakenya waanza kufurika kwenye mipaka ya Tanzania,ni sintofahamu ya tarehe 26.

Wakenya waanza kufurika kwenye mipaka ya Tanzania,ni sintofahamu ya tarehe 26.

Naona Leo wengi zaidi wamevuka mipaka
msagaji, kenyans are not cowards. We are not meek and compliant. We will resist and do what you have failed to even dream about under the iron fist of CCM.
 
msaga sumu kenyans are not cowards. We are not meek and compliant. We will resist and do what you have failed to even dream about under the iron fist of CCM.
Ahha haah,pambaneni na hiyo fault line, yaani upande mmoja wa nchi unapiga kura wengine hata hawajui kama kuna uchaguz
 
Mbona omba omba toka Tanzania wapo Mtaani tu wanapiga mhela hapa kenya! Uvumi, umbea Na magonjwa ya kiakili Kwa watz ni tishio kubwa bongolala.
 
Ikifika kipindi cha uchaguzi huko Kenya,Hotel mjini Arusha zinafurika kweli,mpaka huko vichochoroni🤔
 
Back
Top Bottom