Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Nyangau mwingine katika ubora wake. Jambazi mkubwa wewe kutoka kwa Moi. Naona ulikuwa na Uhuru bar mkinywa pombe. Umekuja hapa kutapika story zakinyangau. Kalale utaandika kesho pombe zikiisha.View attachment 541653
Kwa
Kwani hii ni nini? Umeanza kuleta siasa hapa.! Acha ujinga tupo serious juu yahili swala. Nyangau mwingine uliekosa matunzo. Wakenya mbadilike muache propaganda zakizamani. Unasikia nyangau??View attachment 541651View attachment 541652 View attachment 541651
Tanzania tunatangaza sana huko CNN penyewe wanatujua sana tusasa wewe ldc unalialiia kama mtoto kanyimwa peremende. munafanyiwa advert ya tourist destination site ya bure ya mlima wenu na unacatch mafeelings ka dem. pesa za ku-run advert kwa CNN na BBC pia hamuna.
do you know how much it costs to have a 10seconds ad running on CNN?
ask yourself why Kenya always beats you in attracting more tourists and tourism revenues year in year out. mind you, Kenya has less to offer compared to you despite you being so cheap and having a wide variety
Nyie mna pesa ya kutangaza premier league, mtatoa wapi mpaka muisaidie Tanzania.sasa wewe ldc unalialiia kama mtoto kanyimwa peremende. munafanyiwa advert ya tourist destination site ya bure ya mlima wenu na unacatch mafeelings ka dem. pesa za ku-run advert kwa CNN na BBC pia hamuna.
do you know how much it costs to have a 10seconds ad running on CNN?
ask yourself why Kenya always beats you in attracting more tourists and tourism revenues year in year out. mind you, Kenya has less to offer compared to you despite you being so cheap and having a wide variety
haya ndio mambo tuliyokuwa tukiyashuhudia last season katika uwanja wa KCOM Stadium wakati Hull City ikiwa uwanjani.Nyie mna pesa ya kutangaza premier league, mtatoa wapi mpaka muisaidie Tanzania.
Hiyo bado haijafika na ikifika basi iandikwe...tatizo letu watz hatujaandaliwa tangu utotoni kutofautiana hoja...mtu akiwa tofauti na hoja yako tayari unamwona kama mbishi ama mjinga kama ulivyoniita...kumbuka sifa kuu ya binadamu ni kutofautiana hoja na ndio maana kuna mikutano, makongamano na social platform kama JF ili mwisho wa siku kufikia muafaka....Kwa
Kwani hii ni nini? Umeanza kuleta siasa hapa.! Acha ujinga tupo serious juu yahili swala. Nyangau mwingine uliekosa matunzo. Wakenya mbadilike muache propaganda zakizamani. Unasikia nyangau??View attachment 541651View attachment 541652 View attachment 541651
Upuuzi tu hiyo sportspesa kuna watanzania wenye hisa kwa Tanzania sportspesa pia wazungu nao wana hisa za kutosha badly enough hapo nimeongelea tourist attractions advertisement sio mambo ya gambling Dah aisehaya ndio mambo tuliyokuwa tukiyashuhudia last season katika uwanja wa KCOM Stadium wakati Hull City ikiwa uwanjani.View attachment 541695
Kenyan flag & Kenyan brand being on display kwenye banners za stadium... and the Tshirts too.
watch Everton's home games this season to see more
Msishangae hata wazungu na wenyewe ni washamba tuu. Mtu ana safiri anashindwa hata kuangalia Google Map yake na kujua kwamba. Hiki kitu kipo sehemu gani? Ya afrika,Ukiingia kwenye page ya Facebook ya Wayne Rooney utasitaajabu ya Mkenya. Wakenya wanadai Mt. Kilimanjaro ipo Kenya bila kupapasa macho au aibu. Page ya Rooney imegeuka battle ground ya Tanzania vs Kenya vs Nigeria. vs Ghana. Ningeomba tujadili hili swala nanyie wakenya. View attachment 541502View attachment 541504
Wakenya wanajulikana mkuu...mie ni Mtanzania mwenye maono tofauti na wewe ambae mtu akienda against unapanic ...fungua profile yangu angalia nyuzi ambazo nimechangia huwezi kuta nimetukana mtu ama nini ...ninaifahamu ATCL kuliko wewe unavyoifahamu hata tukiitwa tutoe maoni ya nini kifanyike nina mambo mengi mazuri ya kuchangia kuhusu mustakabari wa shirika letu kuliko weweWe
Wewe sio mtanzania. Nikoko wahuko Kenya. Usijifanye mtanzania kenge wewe.
hili suala ingawa tunalichukulia kwa masihara ila limetuathiri mno,bado kuna watu wengi wanaamini huu mlima upo Kenya,lazima turudi back to basic tujitangaze ili ukweli ujulikane,why wakati balozi wa Kenya anapofanya maonyesho ya Kenya ughaibuni na kutangaza huu mlima upo Kenya,balozi zetu zinafanya nini kwa hili,mabalozi wetu ambao wengi ni cadre deployed wametulia kimya ,why mpaka leo bado suala hili la mlima ni tatizo?
Mbona wewe mwenyewe akili yako haina akili[emoji23] [emoji23] [emoji23]akili haina akili...duh! ndio nini hio
Povu ! Ulitaka umkumbatie wewe[emoji23] tafuta alshababu mmoja mkumbatiejamaa sijui ni shoga...kakimbilia Rooney na kumrukia...hawa watz sijui wana nini...ushamba kwel kwel...wanatutia wana afrika mashariki aibu..Rooney hawez akarudi tena...yaani jamaa amehakikisha sehemu nyeti zake zimemkamata Rooney...sijui ni hug ya aina gani ile...yule jamaa atakuwa ana kasoro...
Yaani hata angefanya mambo ya usagaji inakuumia nini ?[emoji23]Wanafanya mambo ya kishoga alafu wanamsifia jamaa, akili sijui za kuazima ama nini, ila hongera kwa bbc swahili kwa kuliangazia, dunia iwaelewe walivyo..
https://www.facebook.com/View attachment 541548
shoga ww..nenda kamtafute yule mwenzako mtafute hostel...idiotPovu ! Ulitaka umkumbatie wewe[emoji23] tafuta alshababu mmoja mkumbatie
Nonsenseshoga ww..nenda kamtafute yule mwenzako mtafute hostel...idiot
.....Somehow hii ni comment nzuri kutoka kwa our Neighborhood Kenya, Be blessedKwanini msipartent hilo jina na kufanya marufuku taifa au kampuni lolote kulitumia?
Kenya airways haisemi ya kwamba huyo mlima upo Kenya wala kuwapotosha wasafiri kutoka ng'ambo ya kwamba mlima huo upo Kenya.
Lakini si ni kweli mtu anaweza kuutazama mlima huo akiwa Kenya?
Na kama hawa wasafiri wangependa kufika kwenye mlima huo, si ni lazima watakuja Tanzania, wakiletwa hapo na ndege ya KQ.
Kwa hivyo manufaa itakuwa kwa mataifa yote mawili, hasa Tz. Sisemi hili kwa ubaya, lakini Kenya kwa sasa ndio iko na uwezo zaidi ya kutangaza hivi vivutio vya kitalii vya kanda hili kote duniani kushinda Tanzania, nanyi mmewahi kukiri hilo humu.
KQ hawasemi ya kwamba Kilimanjaro ama Serengeti yako Kenya. Surely, that would be harmful to the company to lie to its customers like that. All they say is that, watawafikisha kwenye vivutio vile, na yeyote atakuwa na interest ya kufika sehemu hizo, bila shaka watapewa maelezo yote.
It is a symbiotic relationship btn the Kenyan airline and the Tanzanian tourism sector going on here. If Tanzania didnt like it, they would have demanded of KQ to stop advertising its attraction sites long time ago.