sababu nyingine ni za kihistoria, toka dunia iumbwe nyie mlikuwa mabepari na mabwanyenye na makabaila. on the other side sie tulianza na ujamaa na sasa tuko half ubepari even I hv not mentioned harakati zetu za kusaidia waafrika wenzetu. mdogomdogo mbona tutawapita Pamoja na kutangulia kwenu. tuko smart hatukurupuki.And still we're greater than you. You're just a bitter Bongo lala. With all our problems we continue to prosper.
Na by the way, DSE cannot even come close to NSE.
Hapa Nairobi twanunua hisa zote bila kubagua.
Si kweli 95% came from KenyansNi vigumu kupata link so many years later. But nakumbuka news wakati huo. The government had allocated 20% of the shares on offer to foreigners, but it turned out Kenyans had much more interest. 800,000+ individual Kenyans put money. Kuna wengi walirudishiwa pesa juu ya oversubscription, but from the 500% oversubscription, more than 95% was Kenyan money.
Kuna vitu viwili hapa vya kuzingatia.Nafkir safaricom hisa zao
Zlichangamkiwa sana
Kwa sababu ya kuwa na
Wateja weng wa huu mtandao
Safaricom ndo imebeba kenya
Nzima kwa mtandao na hawana mpinzan yan
Tofaut na Tanzania ambako
Vodacom ana upinzan mkubwa sana kama uhuru na raila Vodacom anashindana
Na kampuniy 4
Sasa mtu kwenda kununua
Hizo hisa lazma ajifkirie mara 2,mbili pengine anahofia
Kampuniy icje ikaanguka kwa
Upinzan uliopo tz
Then this IPO ni 100% for Tanzanians,by seeing 20% is allocated for foreigners i guess wananchi wakajua hii ishu ni hot cake! Ni mtazamo wangu tu.Ni vigumu kupata link so many years later. But nakumbuka news wakati huo. The government had allocated 20% of the shares on offer to foreigners, but it turned out Kenyans had much more interest. 800,000+ individual Kenyans put money. Kuna wengi walirudishiwa pesa juu ya oversubscription, but from the 500% oversubscription, more than 95% was Kenyan money.
ww umenunua hizo hisa unapiga domo tu....Hivyo vyote ni vijisababu vya kiujamaa, mara eti ingekua wakati wa Kikwete, mara Safaricom ndio mtandao pekee Kenya, mara mvua imenyesha sana.....uzembe mtupu. Mfungulie hiyo Voda muone kama tutakua na hivyo vijisababu vya Waswahili, tunafagia zote na kupitiliza, haijalishi kama kuna mitandao minigne Tanzania, haijalishi kama ni Kikwete au JPM, haijalishi nini wala nini, unawekeza kwa kwenda mbele.
hao washenzi wanapenda kupata mali kirahisi rahisi.......Mbwa nyie mjifunze kununua unga kwanza badala ya hisa...
hajibu huyo maana yeye mwenyew hajawekeza kwenye hiyo hisa anayoisema na swali ulilomuuliza mpaka aka google ndyo atakujibu..Tutajie gawiwo (dividend) ya Safaricom ni ksh. ngapi?
Nijipime laki mbili yangu nikiiwekeza huko italipa kuliko nikilima heka kumi za nyanya.
(najua kwenyu hamko na ardhi)
acha kujidanganya wew huku vodacom wateja wengi wapo vijijini huku vodacom si mtandao unaotamba kama ufikiriavyo.....vodacom haina wateja wengi kama tigo na airtel na sasa hivi kuna halotelRisk takers ndio huwa wenye mafanikio. Sasa wewe unataka uwekeze sehemu isiyokuwa na ushindani!
Tena kampuni ya vodacom ndio nilitegemea watz wengi wanunue share zote kwa sababu ndiyo kampuni yenye umri mkubwa baada ya ttcl na performance yake ni juu ya zote zinazosubiriwa kuuza share zao.
Kuwekeza ni tabia na inahitaji ujasiri sana. Nadhani wachagga na Wahaya ndio watakuwa wamenunua kwa wingi share.
hata elimu ingetolewa mtu kama hajisikii kufanya jambo kwa vyovyote vile hatolifanya........Tatizo kubwa ni elimu kuhusu hisa
hilo nilikenyaTz yako sio tunayoishi. Hakuna Mtanzania anaadika Tz. Tulikuwa tunaadika TZ, with big Z kwenye number plates zamani.
Tafuta nchi yako ya Tz, iwe colonized tena. Mke wako afanye kazi ya vibarua kwa wazungu ili azae manigga.
Uchaguzi wenyewe unawashinda.
Kweli unajua kama Nafsi haija kutuma kamwe huwezihata elimu ingetolewa mtu kama hajisikii kufanya jambo kwa vyovyote vile hatolifanya........
Bongo unajichagulia upendacho@leadersofleaders huko kwao hawana choice innovation kwao ni Mpesa tu bila kuangalia the overall product that a phone company offers Tigo wanaweza mchezo. Hata Halotel ni tishio kwenye data.
wakenya mimi huwaga nawaitaga mataila wa dunia hawatupagi shida sababu tushawajua....@lusematic huyu @leaderofleaders huko kwao hawana choice innovation kwao ni Mpesa tu bila kuangalia the overall product that a phone company offers Tigo wanaweza mchezo. Hata Halotel ni tishio kwenye data.
asa wenyewe kwaakili yao wanajua vodacom ndyo mtandao wenye wateja wengi tanzania hawajui kama tunamitandao mingi ambayo vodacom haigusiBongo unajichagulia upendacho
Leo Halotel kwenya Data hata polini full kasi
Sasa mkuu utanunuaje hisa hauna uhakika wa kula jioni?Mkiambiwa kuna tofauti kubwa kati yetu manakataa, mnabisha na kutukana. Mkenya akiona fursa, huifuata kwa nia, akili, uwezo na nguvu zote, lakini Mtanzania anaishia kununa na kuwa mwoga mwoga kwa kila hatua, anaishia kuwa na maneno mengiiiiiii.
Vodacom ya Tanzania walitangaza uuzaji wa hisa, naona kwenye taarifa hadi wameongeza muda wa makataa/deadline yao ili walau wapate Watanzania watakaonunua hadi ziishe. Wakati nakumbuka kipindi Safaricom walitangaza hisa zao, Wakenya walipitiliza kwa asilimia 532%
Halafu ukizingatia hisa za Safaricom zilikua zaidi ya maradufu ya hizo mnazouziwa na Vodacom.
Hebu muachie Wakenya hizo za Vodacom huko, muone tutakavyotiririka na kuzifagia asubuhi kabla saa nne muda wa chai.
Adviser rules out Vodacom Tanzania oversubscription
UPDATE 2-Kenya's Safaricom IPO oversubscribed by 532 pct
Ni watu wa ku-exxagerate mambo...hamna kampuni itakayoipa shida Halotel in the region kwenye data! So far is the fastest growing as the newest entrant na niko sure in 2 years time itakuwa na market share ya double digits i.e. over 10% considering the massive infrastructure they r constructing.wakenya mimi huwaga nawaitaga mataila wa dunia hawatupagi shida sababu tushawajua....
@lusematic huyu @leaderofleaders huko kwao hawana choice innovation kwao ni Mpesa tu bila kuangalia the overall product that a phone company offers Tigo wanaweza mchezo. Hata Halotel ni tishio kwenye data.