Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Hawa hapa kina nani?Wewe nani kakwambia hao wa tz huwa wanatoka, umewaona wakitoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa hapa kina nani?Wewe nani kakwambia hao wa tz huwa wanatoka, umewaona wakitoka
Nikubali nini, signal jammers tuko nazo, wewe ndo umeona ya kwanza leo unapayuka kwa ushamba na kitu cha kawaida!!!Povu limekutoka.
Unatakiwa ukubali yaishe. Kenya is very poor and primitive in security.
Pwahahaha unadhani hatuwajui ninyi?
Hepu tuoneshe Security Unity ya Uhuru.
Check demostration hapa:
Hao hata mlima Kilimanjaro pia wanao, ila haataki kuonyesha hadhari Kama Tanzania mnavyouonyesha mlima wenu.Pwahahaha unadhani hatuwajui ninyi?
Hepu tuoneshe Security Unity ya Uhuru.
Check demostration hapa:
Halafu wakenya wa humu wote mmefundishwa hostoria na mwalimu mmoja. Wote mnaita MajiMaji War rebellion hahaaaaaa.....Naona bado itikadi za majimaji rebellion mko nazo... Akivaa chupi nje-ndani risasi zitageuka na kua maji...
Wewe Kivu kusini si peace keeping ile wasauth na mavifaa yao yote hawataki ingia pale bila kuwa na waImagine soldiers wanakufa wakiwa kwa peace keeping [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]....Na sasa Kwa vita kama ya Somalia si watakufa wote
Naona unazidi kubabaika tu.
Hebu pitia hii clip Ulete na upande wenu. TZ is modern kijana
mnapata modern weapons kwa kuenda kulialia kwa Marekani ili kupigana na alishabab basi mnakuja kututambia sio wajinga sana nyie watuKununua vitu kama hivi pengine muuze port ya Dar[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]View attachment 954926View attachment 954927
ACT-Maendeleo mnaendeleaje huko?Tutamlinda kwa nguvu zote
Kwanza naona bado ulinzi uongezwe zaidi
Pwahahahaa!!! I told you to show us Uhuru security. Unapiga kelele tu.typical 3rd world presidential motorcade, Special forces na mabundukia yao wanafukuza gari la rais....... Radio jammers zimekua zikitumika tangu kitambo sana, there is nothing mordern about radio jammer, lakini msamba kama wewe unajikuta umefurahishwa sana... unavyozidi kuonyesha ndo unazidi kuchoma picha kabisa..........
Una cheka uku ka moyo kame kuchoma povuuuWakenya waogope ujinga kama huu... wakati mambo kama haya ni kawaida Sana hehee ebu jaribu Ku compare huyo soldiers wenu na wa kikenya tuone[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 954672View attachment 954673
Ila huu sio Ushambatypical 3rd world presidential motorcade, Special forces na mabundukia yao wanafukuza gari la rais....... Radio jammers zimekua zikitumika tangu kitambo sana, there is nothing mordern about radio jammer, lakini msamba kama wewe unajikuta umefurahishwa sana... unavyozidi kuonyesha ndo unazidi kuchoma picha kabisa..........
Miwani ya usiku kavaa mchana ..[emoji23][emoji23][emoji23]Nyinyi bado Sana[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]View attachment 954924
Dada umetoka jammers umeenda Security.... Ushamba unakusumbua wewePwahahahaa!!! I told you to show us Uhuru security. Unapiga kelele tu.