joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Modern security ni kutovaa magandwa?
Lakini nchi inayo ongoza kwa mordern security ni Rwanda.. wanatumia wanajeshi wachache na hawavai magwanda.
Tanzania mlidhani wakenya wataanzisha vita? Kwa nini kupeleka jeshi lote namanga?