Wakenya wameogopa kuhusu Modern Security ya JPM katika ufunguzi wa Namanga - From *********

Wakenya wameogopa kuhusu Modern Security ya JPM katika ufunguzi wa Namanga - From *********

Bullet proof itafanya raia waogope?....kichwa bure wewe
Ndio maana nimesema Kenyans are primitive. Hivi kwa ulimwengu huu wa technology unataka uwe na physical bullet proof!?
Our security is more digitized siyo securities zenu za kishamba.
Hivi unajua bullet detector devices. Unajua kazi zake!?

Kenya is a primitive country.
 
Ndio maana nimesema Kenyans are primitive. Hivi kwa ulimwengu huu wa technology unataka uwe na physical bullet proof!?
Our security is more digitized siyo securities zenu za kishamba.
Hivi unajua bullet detector devices. Unajua kazi zake!?

Kenya is a primitive country.
Bullet detector devices.... pwahahahahahahahahha.... niokoteni jameni nafa... pwakahahahahha
 
Hivi we jamaa unaakili kweli.
Hivi maana ya mobile ni nini!? Acha ushamba wewe. car always called automobile.
Usituletee ushamba wa kikenya hapa.
Hakuna lolote unalojua, ushamba mwingi ndo unakusumbua,
 
According to them, wameshinda Germany
Pwaaah
tapatalk_1543910083465.jpeg
 
Lol. Sensors or?
Anaongelea kuhusu gunshot detection system .... Ambayo kazi yake ni kudetect direction ambako first shot was fired.... Hii hutumika especially Kwa sniper fire.....
Lakini hii sio personal protection .... Hao security watakua wameshauliwa na rais atakua amebaki pekeyake bila assault team ya kumlinda
 
pwahahahaha, are those armies from UNITED NATIONS unaitwa special forces
Naona unajitekenya mwenyewe, Special forces iliwahi kutumwa Congo mbali na hao wanajeshi unaowajua wa UN. Ndiyo baada ya operesheni yao wakapewa Namba 27 miongoni mwa special forces bora duniani. Walipomaliza kazi yao waliondoka.

Hebu tutajieni wenu hao wanaovaa kama wazibua vyoo, walifanya operesheni gani ya hatari. Au ya kuchukua biskuti
 
Mara nyengine Uhuru akitembea utadhani hana ulinzi.....

 
Naona unajitekenya mwenyewe, Special forces iliwahi kutumwa Congo mbali na hao wanajeshi unaowajua wa UN. Ndiyo baada ya operesheni yao wakapewa Namba 27 miongoni mwa special forces bora duniani. Walipomaliza kazi yao waliondoka.

Hebu tutajieni wenu hao wanaovaa kama wazibua vyoo, walifanya operesheni gani ya hatari. Au ya kuchukua biskuti
Hata mi naeza kuandika ripoti kwa blog yangu na nikaeka Kenya number moja manake nimeona special force wa Kenya!!!!!! mnachojulikana kule congo ni ubakaji wa watoto
 
Naona unajitekenya mwenyewe, Special forces iliwahi kutumwa Congo mbali na hao wanajeshi unaowajua wa UN. Ndiyo baada ya operesheni yao wakapewa Namba 27 miongoni mwa special forces bora duniani. Walipomaliza kazi yao waliondoka.

Hebu tutajieni wenu hao wanaovaa kama wazibua vyoo, walifanya operesheni gani ya hatari. Au ya kuchukua biskuti
hahahaha huyu msee ananijazz bana so ur special force is better than german??, I knw kenya we have 2 groups of special forces, 1 that trains in US and another one in Israel but bado hawajafikia germany hata kidogo
 
Kwa wale wa Senge ambao ilikua ndo mara yao ya kwanza kuona Frequency jammer kwa mortocade ya rais wao....

Hizi gari mbili hua utaziona kwa motorcade ya Uhuru, mara kwa mara..... Hapa hua zimezibwa ili usianze kuuliza maswali mengi

1543954956407.png



Angalia vizuri, Utaona Counter assault team hapo ndani ya hilo gari la Kwanza, Tofauti na hao wa Tz, hawa jamaa hua hawatoki ndani ya hilo gari kihlela, mara nyingi hata hutajua kama wako..

1543955077926.png



1543955315218.png



Hapo nimeweka mshale mwekundu angalia signal jammer ikiwa haijafunikwa

Untitled.png


1543955634107.png



White ni gari la Rais, Red ni signal jammer
Untitled.png


1543956190887.png



Hapa unaiona ikiwa karibu kabisa
1543956250090.png


1543956341015.png







Funzo la siku ni kwamba watu waache ushamba na vitu vya kawaida!!!!!
 
Sasa wataona unawapatia sifa,what kind of side shows are this ?
3rd world dictators have one of the most fancy motorcades and security..... The only thing is that they have never been tested in a real security threat cause 1. no one dares 2. there are no sophisticated criminals in these 3rd world countries
 
Hehehe mabaunsa wamejianika vifua nje, nani aliwaambia mtu mwenye nia ya kumpiga rais atakuja kiulevi ulevi. Asante Kafrican kwa kuwaonyesha jinsi jammers za Kenya hufichwa, sio ubabaishaji kwa wanavijiji
Halafu mapolisi wa Kibongo hupenda show za kiajabu ajabu, hebu ona hii picha polisi amejihami kwa manati/feya, sasa eti huyu ndiye commando

img_20181130_111819-jpeg.951258
 
Back
Top Bottom