Wakenya wameogopa kuhusu Modern Security ya JPM katika ufunguzi wa Namanga - From *********

Wakenya wameogopa kuhusu Modern Security ya JPM katika ufunguzi wa Namanga - From *********

The only reason Kenya is not bombed is because of these our brothers and sisters.
a19b264209620752147ff15ed8007b6e.jpeg
6808313a0f2da8d8eb918c4793f0a63d.jpeg
1b244809a3513b65d607a16b16d7b794.jpeg
1df6d375ac9b431e94d1139bdd4611bc.jpeg
 
.jwtz sasa hivi wamejikita kubangua koroshooo!... mtwara kumedamshi hehe
 
Naomba kujua nini kazi ya hii gari, nakumbuka Obama alivyokuja Dar niliona km hii Gari lkn niliipotezea nikijua sitoiona tena Africa lkn kumbe leo iko Bongo hata bila Obama au the like.

Najua Generally ni security lkn sijui kivip!

Mwenye kujua plz...View attachment 954925
Hii ndiyo inawatoa povu wakenya. Ndio maana wanahaha kweli. Inaitwa Mobile Jamming System.
 
1543898542186.png
Sasa Askari kama huyu hata upepo waweza sukuma!!! hata bunduki wanyang'anya bila taabu.
 
Lakini nchi inayo ongoza kwa mordern security ni Rwanda.. wanatumia wanajeshi wachache na hawavai magwanda.

Tanzania mlidhani wakenya wataanzisha vita? Kwa nini kupeleka jeshi lote namanga?
 
Compare na hao ndio ujue special force hafai kua mnene kama mhudumu wa hoteli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 954715View attachment 954716
Sasa wewe mbona huyo si Army special force, utalinganishaje na Special force. Huyo ni kikosi maalum cha kumlinda rais si Afisa wa TPDF.
Special force wa jeshi la Tanzania hawavai hivyo, huyo ni special force ila hatoki ndani ya jeshi. Usilinganishe


Ukubwa wa mwili si kipimo cha wepesi wa mtu, usikariri. Ungetaka kujua wepesi wake, ungejaribu kuvamia. Ndiyo utuletee majibu
 
Lakini nchi inayo ongoza kwa mordern security ni Rwanda.. wanatumia wanajeshi wachache na hawavai magwanda.

Tanzania mlidhani wakenya wataanzisha vita? Kwa nini kupeleka jeshi lote namanga?
Walidhani Uhuru ataliamsha vifaranga vya kuku.
 
Back
Top Bottom