Freddie998
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 675
- 370
Acha kuwamaliza[emoji28][emoji28][emoji28] wanajiskia sana na hawakoKununua vitu kama hivi pengine muuze port ya Dar[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]View attachment 954926View attachment 954927
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuwamaliza[emoji28][emoji28][emoji28] wanajiskia sana na hawakoKununua vitu kama hivi pengine muuze port ya Dar[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]View attachment 954926View attachment 954927
Sawa ngoja Gezaulole atanisaidiaNi day vision
Unaletewa special force, wewe umeanza kuhepa topic[emoji23][emoji23] sindano inaingia vilivyoKiukweli Kenya mlikosea sana mlivyohandle west gate...eti vifaru kwa ajili ya watu watatu...mi nilidhani kuna watu wangewajibishwa hasa wale wanaodili na operation. Tanzania ujinga kama ule usingewezekana abadani asilani
Unaletewa special force, wewe umeanza kuhepa topic[emoji23][emoji23] sindano inaingia vilivyo
Wewe jamaa ume panic tena sana😂😂😂Watu wanaongelea security ya Raisi wewe unatuletea majeshi...😂😂😂
Hapo nimekubali. Lakini watu hujifunza kutokana na makosa. Sasa hivi situations kama hizo ni kazi ya recce squadIlitakiwa hao special force wafanye mambo sikuzile. Put jokes aside hamkuhandle ile inshu vizuri kubali hapo kwanza
Walitaka kuteka nchi yao wenyewe😂😂😂😂Kiukweli Kenya mlikosea sana mlivyohandle west gate...eti vifaru kwa ajili ya watu watatu...mi nilidhani kuna watu wangewajibishwa hasa wale wanaodili na operation. Tanzania ujinga kama ule usingewezekana abadani asilani
Wezi wa biscuit tu hawa pale westgate,wala usitishwe na hizo gwanda zao
kuna watu wamepinda na wana utayari wa muda wowote kuipambania nchi yao,iangalie kwa umakini hii video halafu unipe jibu km huko kwenu kama hao wezi wa biscuit wenu wanaweza kujitoa kama hivi we mkiberaHua naona jeshi ya kanchi fulani ikifanya mazoezi kwenye viwanja afu nasikia wakisema hiyo ndio jeshi bora Afrika..... lakini hapa Kenya huo ujinga unafanywa na National youth service [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]View attachment 954975View attachment 954976View attachment 954977