Wakenya wameogopa kuhusu Modern Security ya JPM katika ufunguzi wa Namanga - From *********

Wakenya wameogopa kuhusu Modern Security ya JPM katika ufunguzi wa Namanga - From *********

Bullshit wanafuatana kama kumbikumbi hao ni rahsi kuwamaliz akiwepo profiler mzuri. Tz jipngeni hilo jeshi J natishia wapinzani wa Chadema tu. Gaidi huez mzuia kishamba hivo, kama huyo askar kajitundika vzur ni rahsi kushoot kifua alivojiitundika
 
General Service Unit - recce squad, this is the real deal.
1543848572743.png


1543848679964.png


1543848824525.png
 
ha ha mtu ameweka kifua mbele ya watu wote, on higher ground halafu amevaa t-shirt plain.
Hii ni ya kushtua wanakijiji wamasai wa Namanga..
Hawa watu hawajui Uhuru ana security noma sana lakini huwa hajionyeshi hovyo hovyo.....Kwa event kadhaa nimeona special forces wa Ap wakimlinda na sikukuu kama jamhuri analindwa na special forces wa Kdf, lakini sana sana security yake ni GSU (Recce squad)
 
Hilo bunduki ni kwaajili ya snipers. Wrong weapons to a mission. Kama mlivyobeba vifaru kuwafukuza vibaka watatu.
Wewe jinga kabisa......hiyo bunduki sio ya kitoto kama hizo toy za kwenu[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]eti security....bure kabisa
tapatalk_1543847869128.jpeg
 
Hizo takata tupa kule. Sisi tunaongelea modern security. Hebu onesha hapa jamming system yenu.

Security and protection level depends on threat level, sasa Namanga hatuoni ikiwa na threat ya kutaka hiyo jammer.
Kama ingekuwa kwenye North Eastern province ingekuwa hapo kwa sababu ya al-shabab na IEDS zao.
 
Wakenya waogope ujinga kama huu... wakati mambo kama haya ni kawaida Sana hehee ebu jaribu Ku compare huyo soldiers wenu na wa kikenya tuone[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 954672View attachment 954673
Sasa wewe huyo sordier wa Kenya ndio anakutisha na huo mzula na miwani ya kuogelea,angalia hata afya zao majibu unapata.
 
Sasa hawa mbona wanaonekana wapo vzr si wangetumika pale westgate au kikosi kilikuwa hakijaundwa? mlipatwa na aibu mbaya sana.
They were the first to go inside and evacuate the mall,had pushed the terrorists to the supermarket and were about to engage them, then some politician decided the army was a better option and in the change-over the mess hapned. That is the question every Kenyan asks to today.. was it a deliberate delay for political reasons...because that time Ruto was in ICC Hague for his case and came back during the attack..A very sad day.
 
Sasa wewe huyo sordier wa Kenya ndio anakutisha na huo mzula na miwani ya kuogelea,angalia hata afya zao majibu unapata.
Askari wa special force hafai Kua mnene sana kama huyo wa kwenu utadhani ni jamaa wa kupasua majabali upande wa kwale....sasa niambie hatari ikitokea kama ataweza kurusha risasi faster na huo uzito wote?[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]

tapatalk_1543847869128.jpeg
 
Yule fala alileta huu ujinga hapa alikimbia?
 
Back
Top Bottom