joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Lakini nchi inayo ongoza kwa mordern security ni Rwanda.. wanatumia wanajeshi wachache na hawavai magwanda.
Tanzania mlidhani wakenya wataanzisha vita? Kwa nini kupeleka jeshi lote namanga?
Si lazima ifanane hivo ndo owe bomb jammer. Hata zile land cruiser za Uhuru kuna bomb jammer kati yao. Ni vile hawaonyeshi
Huhuhu ushamba iko Kwa damuHehehe mabaunsa wamejianika vifua nje, nani aliwaambia mtu mwenye nia ya kumpiga rais atakuja kiulevi ulevi. Asante Kafrican kwa kuwaonyesha jinsi jammers za Kenya hufichwa, sio ubabaishaji kwa wanavijiji
Halafu mapolisi wa Kibongo hupenda show za kiajabu ajabu, hebu ona hii picha polisi amejihami kwa manati/feya, sasa eti huyu ndiye commando
Amebeba feya😂😂😂😂😂 kupigana na gaidi nayo. Haha watu hawana akili enyeweHehehe mabaunsa wamejianika vifua nje, nani aliwaambia mtu mwenye nia ya kumpiga rais atakuja kiulevi ulevi. Asante Kafrican kwa kuwaonyesha jinsi jammers za Kenya hufichwa, sio ubabaishaji kwa wanavijiji
Halafu mapolisi wa Kibongo hupenda show za kiajabu ajabu, hebu ona hii picha polisi amejihami kwa manati/feya, sasa eti huyu ndiye commando
Si lazima kila kitu ikue exposed jinsi nyinyi mnavyojionyesha. Hayo magari yako. Na sio moja.Hahahahaha lete ushahidi kama Kenya mnayo hiyo Jammer, punguza wivu na kama hamna lazima mkibali kwamba hamna, sio kila kitu kilichopo Tanzania ni lazima kiwepo Kenya, mwisho wa siku mnasema hata Kenya kuna Mlima Kilimanjaro
Hahahahahaha, juzi askari 4 wa USA waliiliwa Niger katika peace keeping mission. DRC tulishamaliza kazi sasa hivi tinafagia tu.Imagine soldiers wanakufa wakiwa kwa peace keeping [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]....Na sasa Kwa vita kama ya Somalia si watakufa wote
What did you just say?😂😂Ndio maana nimesema Kenyans are primitive. Hivi kwa ulimwengu huu wa technology unataka uwe na physical bullet proof!?
Our security is more digitized siyo securities zenu za kishamba.
Hivi unajua bullet detector devices. Unajua kazi zake!?
Kenya is a primitive country.
Anajilinda na nani, wanunuzi wa korosho au wapiga kura wake, mimi naona tatizo ni roho yake, tuu kenya kuna alshaabab, lakini utamuona kenyatta anakwenda muthaiga, naendesha gari mwenyewe, hana haja ya kuwaogopa wapiga kura wakeHebu tuwaangalie vijana wa kenya wanavyo haha:-
View attachment 954291
View attachment 954293
View attachment 954296
View attachment 954298
View attachment 954301
Wtakupasha kwa kusema ukweliAnajilinda na nani, wanunuzi wa korosho au wapiga kura wake, mimi naona tatizo ni roho yake, tuu kenya kuna alshaabab, lakini utamuona kenyatta anakwenda muthaiga, naendesha gari mwenyewe, hana haja ya kuwaogopa wapiga kura wake
Weka ya kenya ikiwa huko united nationalpwahahahaha, are those armies from UNITED NATIONS unaitwa special forces
Acha kudanganya watu, Kenya mpo na Land cruiser moja ambayo ni bomb detector pekee, huwa inatangulia mbele kabisa katika msafara wa Uhuru Kenyatta, ndio hiyo yenye red indicator inayoonyesha, just bomb detector, sio Jammer hiyo.Kwa wale wa Senge ambao ilikua ndo mara yao ya kwanza kuona Frequency jammer kwa mortocade ya rais wao....
Hizi gari mbili hua utaziona kwa motorcade ya Uhuru, mara kwa mara..... Hapa hua zimezibwa ili usianze kuuliza maswali mengi
View attachment 955505
Angalia vizuri, Utaona Counter assault team hapo ndani ya hilo gari la Kwanza, Tofauti na hao wa Tz, hawa jamaa hua hawatoki ndani ya hilo gari kihlela, mara nyingi hata hutajua kama wako..
View attachment 955510
View attachment 955515
Hapo nimeweka mshale mwekundu angalia signal jammer ikiwa haijafunikwa
View attachment 955521
View attachment 955523
White ni gari la Rais, Red ni signal jammer
View attachment 955525
View attachment 955536
Hapa unaiona ikiwa karibu kabisa
View attachment 955542
View attachment 955544
Funzo la siku ni kwamba watu waache ushamba na vitu vya kawaida!!!!!
Nimekuelewa sanaa, kumbe sio lazima kila mlima Kilimanjaro lazima uonekane, hata Kenya kuna mlima Kilanjaro, tena sio mmoja, mingi tu, are happy?. HahahahahaSi lazima kila kitu ikue exposed jinsi nyinyi mnavyojionyesha. Hayo magari yako. Na sio moja.
Wewe nani kakwambia hao wa tz huwa wanatoka, umewaona wakitokaKwa wale wa Senge ambao ilikua ndo mara yao ya kwanza kuona Frequency jammer kwa mortocade ya rais wao....
Hizi gari mbili hua utaziona kwa motorcade ya Uhuru, mara kwa mara..... Hapa hua zimezibwa ili usianze kuuliza maswali mengi
View attachment 955505
Angalia vizuri, Utaona Counter assault team hapo ndani ya hilo gari la Kwanza, Tofauti na hao wa Tz, hawa jamaa hua hawatoki ndani ya hilo gari kihlela, mara nyingi hata hutajua kama wako..
View attachment 955510
View attachment 955515
Hapo nimeweka mshale mwekundu angalia signal jammer ikiwa haijafunikwa
View attachment 955521
View attachment 955523
White ni gari la Rais, Red ni signal jammer
View attachment 955525
View attachment 955536
Hapa unaiona ikiwa karibu kabisa
View attachment 955542
View attachment 955544
Funzo la siku ni kwamba watu waache ushamba na vitu vya kawaida!!!!!
Mkuu hizi antena ni kwa ajili ya Signal jammers inapaswa anapopita mkuu Radius fulani network iwe blocked kuepusha wireless transmission ili kuepusha Vilipuzi au mabomu yanayo kuwa switched wirelesslyHivi hilo li chevrolet lenye antenas, lina kazi gani? Wajuzi kama mpo mtujuze.