mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Analima matunda gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukitembea dunia utagundua hamna mwaafrika amefika level ya kucheka mwenzake. There is a reason tunaitwa Third world. Ukiona mashamba ya Corporations ndio utanielewa.Siku chache zilizopita, nilimtembelea mkulima mmoja wa matunda nchini Kenya. Taswira ya shambani kwake ilinipa ujumbe kuwa ni mkulima mwenye mafanikio mazuri.
Japo hana na eneo kubwa sana, analitumia kikamilifu eneo lililopo. Sidhani kama shamba lake lote linazidi ekari tano!
Aliniambia kuwa kwa kawaida, robo ekari humwingizia shilingi milioni moja hela ya Kenya kwa mwaka
Milioni moja ya Kenya ni kama milioni kumi na sita hela ya Tanzania.
Sitilii mashaka maelezo yake, ila najiuliza kama kuna Watanzania wanaopata mafanikio kama hayo kupitia kazi za shamba.
Na kwa kuwa bado sijamsikia Mtanzania mwenye mafanikio kama hayo, nimebaki najiuliza: Wakenya wenye uhaba wa ardhi wanajua namna bora ya kutumia ardhi kwa kilimo chenye tija kuwazidi Watanzania wenye ardhi bwerere?
Analima nini? Na kilimo eidha greenhouse, nimesaidia kueleźea.Mkuu, natamani kukujibu lakini sijakupata ipasavyo! Unaweza ukalirudia swali lako?
Analima DRAGON FRUITS na APPLE, pia anauza mbegu/ miche ya apple na dragon fruits.Analima nini? Na kilimo eidha greenhouse, nimesaidia kueleźea.
🙏🙏🙏Uzi mzuri na watu wanachangia kitaaluma
Niliwahi kujaribu kuulizia jinsi ya kununua kahawa bongo na kuuza nje, nilichoka na hiyo milolongo iliyopo katika utaratibu wake katika ununuzi , haukuwa na tofauti kati ya mtu anayetaka kununu dhahabu bongo na kuuza njeHata Tanzania walioelimika ni wengi mno ila system imeshikiliwa na waswahili. Siku mfumo ukishikiliwa na mtu alienyooka mabadiliko ni ndani ya miaka michache mno.
Nani wa kulaumiwa?Kilimo kimekuwa na madalali wengi sokoni na wao ndiyo wanudaikaji kuliko mkulima.
Hiyo bureaucracy nafikiri ipo pia kwenye ununuzi wa korosho na pamba. Inafanyika hivyo kwa manufaa ya nani?Niliwahi kujaribu kuulizia jinsi ya kununua kahawa bongo na kuuza nje, nilichoka na hiyo milolongo iliyopo katika utaratibu wake katika ununuzi , haukuwa na tofauti kati ya mtu anayetaka kununu dhahabu bongo na kuuza nje
Mfumo, sababu serikali wangeweka senta za kuuzia km vile maziwa wanavyopeleka watu center. Wanalipwa naona kila mtu angelima na kupata pesa. Lakini aaaahh dalali akuzingue na kukuibia juuu aiseee.Nani wa kulaumiwa?
1. Dalali?
2. Serikali?
3. Mkulima?
4. ?
Mabadiliko huanzia kwa mtu mmoja. Inawezekana wewe si mkulima lakini bado unaweza Ukafanya kitu kitakacholeta mabadiliko ya kudumu. Una mpango gani kwa ajili ya kuibadilisha hali hiyo?Mfumo, sababu serikali wangeweka senta za kuuzia km vile maziwa wanavyopeleka watu center. Wanalipwa naona kila mtu angelima na kupata pesa. Lakini aaaahh dalali akuzingue na kukuibia juuu aiseee.
Mimi siyo kazi niliyojikta nayo, ila nalima nina ekali 5 za mpunga. Kwa mifumo iliyopo kutoboa kwa mkulima kazi sana.Mabadiliko huanzia kwa mtu mmoja. Inawezekana wewe si mkulima lakini bado unaweza Ukafanya kitu kitakacholeta mabadiliko ya kudumu. Una mpango gani kwa ajili ya kuibadilisha hali hiyo?
Kwa wastani, hizo ekari tano zinakuingizia shilingi ngapi kwa mwaka?Mimi siyo kazi niliyojikta nayo, ila nalima nina ekali 5 za mpunga. Kwa mifumo iliyopo kutoboa kwa mkulima kazi sana.
Huu ni ukweli mchungu ambao Wabongo hatutaki kuambiwaKenya kuwa na kiwango kikubwa cha elimu kimewasaidia sana kupunguza kuwa na tabia za kiswahili ambazo ni very common among the people of Tanzania.
Na hii kwa kiasi kikubwa ndio inasababisha Tanzania kuwa na uchumi mdogo tofauti na Kenya pamoja na kuwa na rasilimali nyingi zaidi kuishinda Kenya.
Hivi ni visingizio tu ili usilime.Mkenya ana masoko ya uhakika baada ya kuvuna tukianzia nchini kwao pamoja na nchi za nje. Wabongo wanategemea dalali.
Napenda kujifunza kutoka kwa wengine. Unaweza kuweka link ya YouTube "zao?"Kuna kabinti kanalima nyanya pale Malawi kapo vizuri sana. Mwingine Mkenya anafuga kuku. Nilichokigundua kwao kikubwa ni kwamba wanajiamini halafu wanapenda kulima
🙏Huu ni ukweli mchungu ambao Wabongo hatutaki kuambiwa
Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Hapana. Mimi huwa ninawaona Facebook; kuna pages za kilimo.Napenda kujifunza kutoka kwa wengine. Unaweza kuweka link ya YouTube "zao?"