Wakenya wanajua kuitumia ardhi kwa manufaa zaidi kuwazidi Watanzania?

Wakenya wanajua kuitumia ardhi kwa manufaa zaidi kuwazidi Watanzania?

Kenya kuwa na kiwango kikubwa cha elimu kimewasaidia sana kupunguza kuwa na tabia za kiswahili ambazo ni very common among the people of Tanzania.

Na hii kwa kiasi kikubwa ndio inasababisha Tanzania kuwa na uchumi mdogo tofauti na Kenya pamoja na kuwa na rasilimali nyingi zaidi kuishinda Kenya.
Uko sahihi
 
Wewe ni mpumbavu thus why huwezi elewa mantiki ya hoja zangu. Kama unalima kilimo cha kutegemea uvune gunia 7 uuze gunia 5 mbili uweke chakula basi tuko dunia tofauti kimawazo.
Kaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
 
Kaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
Siyo eka 1.5, ni 0.25 ndiyo inayoingiza hicho kiasi. Kwa eka moja tu ni zaidi ya milioni sitini kwa mwaka.

Kusema Wakenya wangekimbilia huko si rahisi. Ardhi ni adimu sana Kenya. Si rahisi kwa mtu wa kipato cha kawaida kumudu kununua shamba Kenya.
 
Kaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
Siyo eka 1.5, ni 0.25 ndiyo inayoongoza hicho kiasi. Kwa eka moja tu ni zaidi ya milioni sitini in kwa mwaka.

Kusema Wakenya wangekumbilia huko si rahisi. Ardhi ni adimu sana Kenya. Si rahisi kwa mtu wa kipato cha kawaida kumudu kununua shamba huko.
🙏
 
Kaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
Sidhani kama ni lazima uamini
 
Kaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
Hata ww usingeacha hio fursa aisee
 
Kuna kabinti kanalima nyanya pale Malawi kapo vizuri sana. Mwingine Mkenya anafuga kuku. Nilichokigundua kwao kikubwa ni kwamba wanajiamini halafu wanapenda kulima
Kwamba binamu yako na dada zako hawajiamini wao wakawa kama hao wakenya 🤣
 
Hivi ni visingizio tu ili usilime.

Moja ya kanuni za mkulima bora ni pamoja na kutokulima kwa kulenga soko. Sisemi kwamba usiuze isipokuwa, mtu anatakiwa alime kwa kupenda yaani kilimo ukipende kwanza, halafu ukishapenda ndipo utapata mazao mazuri ambayo utayauza kutokana na ubora wake.

Si kweli kwamba kila mkulima hupata soko la uhakika kila wakati. Kwa hiyo kilimo unatakiwa ukipende katika shida na raha. Vinginevyo huwezi kuwa mkulima.
Hizo hela za kulima for fun zinapatikana wapi mkuu? 😀 Hebu naomba nipe connection mkuu.
 
Siku chache zilizopita, nilimtembelea mkulima mmoja wa matunda nchini Kenya. Taswira ya shambani kwake ilinipa ujumbe kuwa ni mkulima mwenye mafanikio mazuri.

Japo hana na eneo kubwa sana, analitumia kikamilifu eneo lililopo. Sidhani kama shamba lake lote linazidi ekari tano!

Aliniambia kuwa kwa kawaida, robo ekari humwingizia shilingi milioni moja hela ya Kenya kwa mwaka

Milioni moja ya Kenya ni kama milioni kumi na sita hela ya Tanzania.

Sitilii mashaka maelezo yake, ila najiuliza kama kuna Watanzania wanaopata mafanikio kama hayo kupitia kazi za shamba.

Na kwa kuwa bado sijamsikia Mtanzania mwenye mafanikio kama hayo, nimebaki najiuliza: Wakenya wenye uhaba wa ardhi wanajua namna bora ya kutumia ardhi kwa kilimo chenye tija kuwazidi Watanzania wenye ardhi bwerere?
Hiyo yote ni kazi bure kama hamna soko , soko kama ni la uhakika na purchasing power ipo ,hutaona mtu anaambiwa kalime , watu watakimbilia kumiliki ardhi bila kuambiwa wala kushinikizwa na watalima na kuzalisha mara dufu .
Tanzania soko la agricultural products ni bovu , wakulima wanakula loss Tu na sera mbovu za serikali zinazoharibu mfumo wa soko na ukiritimba hata kwenye kusafirisha nje ya nchi ,tumeona kwenye korosho ,mbaazi ,kahawa ,list ni ndefu mno
 
Siku chache zilizopita, nilimtembelea mkulima mmoja wa matunda nchini Kenya. Taswira ya shambani kwake ilinipa ujumbe kuwa ni mkulima mwenye mafanikio mazuri.

Japo hana na eneo kubwa sana, analitumia kikamilifu eneo lililopo. Sidhani kama shamba lake lote linazidi ekari tano!

Aliniambia kuwa kwa kawaida, robo ekari humwingizia shilingi milioni moja hela ya Kenya kwa mwaka

Milioni moja ya Kenya ni kama milioni kumi na sita hela ya Tanzania.

Sitilii mashaka maelezo yake, ila najiuliza kama kuna Watanzania wanaopata mafanikio kama hayo kupitia kazi za shamba.

Na kwa kuwa bado sijamsikia Mtanzania mwenye mafanikio kama hayo, nimebaki najiuliza: Wakenya wenye uhaba wa ardhi wanajua namna bora ya kutumia ardhi kwa kilimo chenye tija kuwazidi Watanzania wenye ardhi bwerere?
Kenya serikali haiingilii soko na kuharibu bei na soko lipo stable + wanafanya export ya mboga ,nyama , matunda ,maua nk ,na mali nyingi hizo wanalangua Tanzania na sera za nchi yao zinaruhusu ,so soko ni la uhakika na sera bora thus ni tofauti na Tanzania
 
Back
Top Bottom