GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #41
🙏Hapana. Mimi huwa ninawaona Facebook; kuna pages za kilimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏Hapana. Mimi huwa ninawaona Facebook; kuna pages za kilimo.
Uko sahihiKenya kuwa na kiwango kikubwa cha elimu kimewasaidia sana kupunguza kuwa na tabia za kiswahili ambazo ni very common among the people of Tanzania.
Na hii kwa kiasi kikubwa ndio inasababisha Tanzania kuwa na uchumi mdogo tofauti na Kenya pamoja na kuwa na rasilimali nyingi zaidi kuishinda Kenya.
Nimekuwekea link
Kaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursaWewe ni mpumbavu thus why huwezi elewa mantiki ya hoja zangu. Kama unalima kilimo cha kutegemea uvune gunia 7 uuze gunia 5 mbili uweke chakula basi tuko dunia tofauti kimawazo.
Mimi nataka nijue hayo matunda nikalime na mimi nina eka 3 bagamoyo,eka 4 ziko jaribu rufiji nikalime fasta hayo matunda 😂Analima matunda gani
Nimekuwekea link
View: https://www.facebook.com/100067809491936/posts/pfbid0sKUNAFMQTtZXC9aSLDPLzFUaEMdzrstgDkNBbDVa3QbytiZBstckyEbpGNKqMkN3l/?app=fbl
Japo haihusiani na hao wadada wa Kenya na Malawi
Siyo eka 1.5, ni 0.25 ndiyo inayoingiza hicho kiasi. Kwa eka moja tu ni zaidi ya milioni sitini kwa mwaka.Kaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
PoaNashukuru sana mkuu! Mtaji ni mtaji tu mkuu! Iwe dola au paundi, yote ni "hela"
Shukran🙏
Siyo eka 1.5, ni 0.25 ndiyo inayoongoza hicho kiasi. Kwa eka moja tu ni zaidi ya milioni sitini in kwa mwaka.Kaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
🙏
Sidhani kama ni lazima uaminiKaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
Hata ww usingeacha hio fursa aiseeKaka umeua sisimizi kwa tofali 😂,ila sana hizi stori nyingi za kucompare sisi na kenya zinakua chai zinakuja kutuamsha kwa kuona as jamaa wanatumia fursa flan ambayo sisi pia tunaweza,ni jambo zuri japo ni chai,eka 1.5 kuingiza m 16 per year kwa kilimo cha matunda 😂 kila mkenya angekimbilia kwenye fursa
Kwamba binamu yako na dada zako hawajiamini wao wakawa kama hao wakenya 🤣Kuna kabinti kanalima nyanya pale Malawi kapo vizuri sana. Mwingine Mkenya anafuga kuku. Nilichokigundua kwao kikubwa ni kwamba wanajiamini halafu wanapenda kulima
NitawaulizaKwamba binamu yako na dada zako hawajiamini wao wakawa kama hao wakenya 🤣
Hizo hela za kulima for fun zinapatikana wapi mkuu? 😀 Hebu naomba nipe connection mkuu.Hivi ni visingizio tu ili usilime.
Moja ya kanuni za mkulima bora ni pamoja na kutokulima kwa kulenga soko. Sisemi kwamba usiuze isipokuwa, mtu anatakiwa alime kwa kupenda yaani kilimo ukipende kwanza, halafu ukishapenda ndipo utapata mazao mazuri ambayo utayauza kutokana na ubora wake.
Si kweli kwamba kila mkulima hupata soko la uhakika kila wakati. Kwa hiyo kilimo unatakiwa ukipende katika shida na raha. Vinginevyo huwezi kuwa mkulima.
Nafikiri ulishakaa Afrika Kusini! Ulikionaje kilimo chao? (Kama ulifanikiwa kufika mashambani lakini)Uko sahihi
🤣🤣🤣Hizo hela za kulima for fun zinapatikana wapi mkuu? 😀 Hebu naomba nipe connection mkuu.
✅🙏🙏🙏wakulima Tz wanapiga hela sawa na wa kenya na maeneo mengine tumewazidi mi mkulima wengi mnaaocommeent hapa hata shamba huna
Hiyo yote ni kazi bure kama hamna soko , soko kama ni la uhakika na purchasing power ipo ,hutaona mtu anaambiwa kalime , watu watakimbilia kumiliki ardhi bila kuambiwa wala kushinikizwa na watalima na kuzalisha mara dufu .Siku chache zilizopita, nilimtembelea mkulima mmoja wa matunda nchini Kenya. Taswira ya shambani kwake ilinipa ujumbe kuwa ni mkulima mwenye mafanikio mazuri.
Japo hana na eneo kubwa sana, analitumia kikamilifu eneo lililopo. Sidhani kama shamba lake lote linazidi ekari tano!
Aliniambia kuwa kwa kawaida, robo ekari humwingizia shilingi milioni moja hela ya Kenya kwa mwaka
Milioni moja ya Kenya ni kama milioni kumi na sita hela ya Tanzania.
Sitilii mashaka maelezo yake, ila najiuliza kama kuna Watanzania wanaopata mafanikio kama hayo kupitia kazi za shamba.
Na kwa kuwa bado sijamsikia Mtanzania mwenye mafanikio kama hayo, nimebaki najiuliza: Wakenya wenye uhaba wa ardhi wanajua namna bora ya kutumia ardhi kwa kilimo chenye tija kuwazidi Watanzania wenye ardhi bwerere?
Kenya serikali haiingilii soko na kuharibu bei na soko lipo stable + wanafanya export ya mboga ,nyama , matunda ,maua nk ,na mali nyingi hizo wanalangua Tanzania na sera za nchi yao zinaruhusu ,so soko ni la uhakika na sera bora thus ni tofauti na TanzaniaSiku chache zilizopita, nilimtembelea mkulima mmoja wa matunda nchini Kenya. Taswira ya shambani kwake ilinipa ujumbe kuwa ni mkulima mwenye mafanikio mazuri.
Japo hana na eneo kubwa sana, analitumia kikamilifu eneo lililopo. Sidhani kama shamba lake lote linazidi ekari tano!
Aliniambia kuwa kwa kawaida, robo ekari humwingizia shilingi milioni moja hela ya Kenya kwa mwaka
Milioni moja ya Kenya ni kama milioni kumi na sita hela ya Tanzania.
Sitilii mashaka maelezo yake, ila najiuliza kama kuna Watanzania wanaopata mafanikio kama hayo kupitia kazi za shamba.
Na kwa kuwa bado sijamsikia Mtanzania mwenye mafanikio kama hayo, nimebaki najiuliza: Wakenya wenye uhaba wa ardhi wanajua namna bora ya kutumia ardhi kwa kilimo chenye tija kuwazidi Watanzania wenye ardhi bwerere?