Kenya kuwa na kiwango kikubwa cha elimu kimewasaidia sana kupunguza kuwa na tabia za kiswahili ambazo ni very common among the people of Tanzania.
Na hii kwa kiasi kikubwa ndio inasababisha Tanzania kuwa na uchumi mdogo tofauti na Kenya pamoja na kuwa na rasilimali nyingi zaidi kuishinda Kenya.
Nyerere aliharibu sana kuruhusu kiswahili kutumika kama lugha rasmi, hii ikajega tabia za kiswahili swahili ambazo asili yake ni pwani na huko uarabuni, hapo lazima uone tofauti kubwa kati yetu na wakenya ambao lugha yao rasmi ni kiingereza.
Aina ya lugha unayotumia ndo inaamua hata namna ya kufikiri..........ukijifunza na kutumia kiingereza utatenda na kufikiri sawa na waingereza, yaani akili kubwa. Ukijifunza na kutumia kiswahili utatenda na kufikiri sawa na wazaramu na waarabu, akili ndogo.
Aina ya lugha unayotumia ndo inaamua hata namna ya kufikiri..........ukijifunza na kutumia kiingereza utatenda na kufikiri sawa na waingereza, yaani akili kubwa. Ukijifunza na kutumia kiswahili utatenda na kufikiri sawa na wazaramu na waarabu, akili ndogo.